Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Humu ndani wanapenda habari za uzushi ila ukitizama kwa umakini huyu si yule aliyemtishia nape bastola kwa 100%
 
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Watu wameswitch off ubongo wamewasha makalio tena walivyo moto hawawezi kukuelewa hawa nyumbu.[emoji23][emoji23]
 
Tunapo sema kwa Ujasiri kuwa Magufuli alikuwa muovu na kibaraka wa Ibilisi muwe mnaelewa na Wala hatuna ugomvi binafsi bali ni matendo yake ya kifedhuli dhidi ya Binadamu.
Kama yule mzee hayupo motoni basi hakuna Mungu tuendelee kutenda dhambi.
Polisi walioua mtwara pia walitumwa na Magufuli? Yaani asubuhi yote hii umelewa?
 
Apigwe mvua ya maisha au kunyongwa mpaka kufa apotee kabisa.

Yaani alienda kujificha uko uko kusini, Sirro astaafishwe tu hana uwezo wa kufanya kazi
 
bob-marley-3-720x409.jpg
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Huyu Mwenye jezi ya Yanga anaitwa Gilbert Kalanje na aliyemtishia Nape anaitwa Mbuta kwenye picha hapo hayupo
 
Picha ya 2017 anaonekana ka black flani iviiiii
Picha ya 2022 anaonekana maji ya kunde iviii

2017 vs 2022 ??
 
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Nina mashaka pia mm kuhusu huyo mtu
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
malipo ni hapahapa duniani.watu hao wako wengi sana jeshi la polisi ndo maana unaona makesi ya kubambikiana yapo kibao.Jeshi hilo limejaza vilaza wengi sababu wengi wao ni watoto wa wakubwa na wengine wamekulia kota na tabia zao zilishindikana wazazi wao wakaamua kuwapeleka jeshi la polisi.
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Magufuli alifanikiwa kugeuza jeshi la polisi kuwa genge la majambazi.

Mungu asingefanya yake,hii miaka 5 chini ya Magufuli nchi ingesambaratika sana kiusalama,uchumi nk
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Waswahili wanasema ameingia kwenye 18 mwenyewe 😂
 
Back
Top Bottom