Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Tunapo sema kwa Ujasiri kuwa Magufuli alikuwa muovu na kibaraka wa Ibilisi muwe mnaelewa na Wala hatuna ugomvi binafsi bali ni matendo yake ya kifedhuli dhidi ya Binadamu.

Kama yule mzee hayupo motoni basi hakuna Mungu tuendelee kutenda dhambi.
Kudadeki umepigilia kwa nguvu hadi nmecheka kifala sana aisee
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Here we go..
 
Tumeumbwa kusahau

12CCBAAC-12DD-4B3D-A6F8-D0FB921DD9C4.jpeg
 
kwa hiyo Mwigulu Nchemba aliudanya umma wa waTanzania live kabisa kuwa huyo jamaa si polisi wakati ki ukweli jamaa alikuwa polisi?? na ni mara ngapi mwigulu audanganya umma wa waTanzania ??
 
Yametimia, ukizoea kula nyama ya mtu, huwezi kuwacha, yule askari aliyemtolea waziri Nape Nnauye bastola ni miongoni mwa askari Polisi wa Mtwara wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini.

Ni wakati muafaka sasa kwa Nape Nnauye kutumia madaraka yake, ili kuifufua na kesi ya kutishiwa kuuawa na hii kima ili kukomesha tabia hizi.

View attachment 2098003
Huu ndio umuhimu wa vyombo vya habari

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
IGP Sirro aliwahi kusema mtu huyo alikimbia na Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta. Amesema kuonekana kwa picha za mtu huyo haina maana kwamba atapatikana kwa urahisi hivyo jeshi hilo linaendelea kumtafuta.

“Mheshimiwa Nape amefungua kesi. Ujue picha kuonekana haina maana kwamba yule mtu ataonekana kirahisi lakini upelelezi unaendelea kumtafuta aliyefanya tukio hilo. Wananchi watusaidie, maana suala la kumpata mhalifu ni ushirikiano, sisi tunaenda kwa taarifa, bila taarifa ya uhakika hatuwezi kufanikiwa,” amesema.

Kumbe baada ya tukio wakampeleka Mtwara halafu akaenda kujiongelesha Mtwara.
Sirro ni jambazi anatakiwa ajisalimishe haraka! lakini kwa nchi waliologwa kama Tz ni bwiii kimya!1 Sauti tena Sirro ni jambazi
 
Mambo nswano! Mungu kashuka sasa jamani tumpe ushirikiano kha! Sirro na Mwigulu tokexeni haraka! You have no damn right to enjoy our taxes,
Imagine jamaa alikuwa mkuu wa upelelezi wilaya! Yaani mtu kamtishia Mbunge hadharani, anaenda kupandishwa cheo..... Unafundisha nini askari wengine?
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979 Kwa hiyo nchi ilirecruit majambazi wa kuzuru wananchi kutoka kwa polisi wanakula kodi za wananchi ama kweli sasa nathibitisha tena! Kwa miaka mitano Nchi iliongozwa na Shetani pure! Mwendazake alikuwa shetani.
 
Leteni picha inayoonekana vizuri na ipostiwe kwenye mitamdao

Nchi nyingine Sirro angeshurutishwa kung'atuka

Hiki ndicho kitakuwa kipimo (indicator) kizuri sana cha mwelekeo wa utawala wa SSH.

Sirro akiendelea kuwa madarakani na jeshi la polisi lisipofanyiwa “OVERHAUL” itakuwa ni UTHIBITISHO kuwa hatuna nchi bali a true “banana republic” sawa kabisa na Equatorial Guinea - the scum of African countries.
 
Back
Top Bottom