Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu si uungwana mkuu, muache jamaa apumzike.Tunapo sema kwa Ujasiri kuwa Magufuli alikuwa muovu na kibaraka wa Ibilisi muwe mnaelewa na Wala hatuna ugomvi binafsi bali ni matendo yake ya kifedhuli dhidi ya Binadamu.
Kama yule mzee hayupo motoni basi hakuna Mungu tuendelee kutenda dhambi.
Hapa Mwananchi wamechemka...Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii...
Huyu Mwenye jezi ya Yanga anaitwa Gilbert Kalanje na aliyemtishia Nape anaitwa Mbuta kwenye picha hapo hayupo
Hii habari ina utata.Picha ya 2017 anaonekana ka black flani iviiiii
Picha ya 2022 anaonekana maji ya kunde iviii
2017 vs 2022 ??
Unachotetea ni watu kutishiwa maisha kwa kunyoshewa silaha za moto. Umeona uchungu habari za mwananchi kuliko matukio ya kifedhuli ?!Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.
Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Utamuone bure..inagawa naye anastahili kuwajibika ipasavyo..tatizo kubwa lipo ccm..ndio wanaolea huu ushenzi.Huyu Zero akwende tu ni aibu kwa Taasisi kubwa kama hiyo kuongozwa na mtu muongo kupitiliza
Shetani hana urafikiPaying the price of being hell bound... karma doesn't cheat !
Leo Imaam, kesho mwanaharamu!
-Kaveli-
Kwanza walisema yule anaitwa Henri Kisandaku sijui, huyu ana jina la kiislam. Isitoshe huyu yupo Mtwara miaka mingi sana, sasa sijui Dar alipelekwa liniTanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.
Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Siyo kung'atuka tu bali kufunguliwa mashitaka ajieleze vizuri mbele ya sheria na haki itendeke!Leteni picha inayoonekana vizuri na ipostiwe kwenye mitamdao
Nchi nyingine Sirro angeshurutishwa kung'atuka
Sawa kabisa,Sirro anatakiwa ajiuzulu mara moja.Leteni picha inayoonekana vizuri na ipostiwe kwenye mitamdao
Nchi nyingine Sirro angeshurutishwa kung'atuka
dunia duaraBAUNSA Kistuli kaingia 18 za Nape.
Inadaiwa ni moja kati ya wale askari 7 wa Mtwara waliomuua mfanyabiashara wa madini na kuchukua mil 70
Mungu huwa anajibu kwa wakati wake, hachelewi wala hawahi.
Hawa mabaunsa wana kazi nyingi sana za uharamu ongezea hapo na kanafasi ka upolisi ndio anakua na meno kamili
View attachment 2098059