Magu na Sirro walikuwa kama pete na kidole. Magu alilifanya jeshi la polisi ndio kila kitu hapa nchini. Mungu hakika ni fundi, kwa kuondoka yule mzee mengi yanafichuka sasa. Ndiomana Samia alitaka aachie nafasi yake kipindi kile akakataliwa, akabaki amejikalia kimya tu akipelekwa pelekwa.
Mama amtoe tu Sirro kwenye ile nafasi
Tunapo sema kwa Ujasiri kuwa Magufuli alikuwa muovu na kibaraka wa Ibilisi muwe mnaelewa na Wala hatuna ugomvi binafsi bali ni matendo yake ya kifedhuli dhidi ya Binadamu.
Kama yule mzee hayupo motoni basi hakuna Mungu tuendelee kutenda dhambi.
Kwanza walisema yule anaitwa Henri Kisandaku sijui, huyu ana jina la kiislam. Isitoshe huyu yupo Mtwara miaka mingi sana, sasa sijui Dar alipelekwa lini
Hivi kwa nini Siro anatumika sana kwenye uongo? Tukio la MO yeye ndo alidanganya Umma kwa kuleta picha za kawaida kusema ni za CCTV camera, ili la Nape nalo akadanganya kumbe bado ni askari, limekuja la Mbowe kaja kwenye camera anatoa na macho kua Kuna ushahid wa kutosha kua mbowe ni gaidi afu ushahidi wake ni huu tunao usikia. Huyu Siro inawezekana ana maovu mengi ndo inakua rahisi kutumika na waovu
Gilbert nimemfahamu akiwa polisi Kawe,tulipoenda kumkabizi mtu alietutapeli dola 5000. Baadae alitugeukia kibao hapo hapo kua boss wangu anaendesha gari ya wizi!! Akatutaka tuiache polisi(lengo kututingisha kwenye mhalifu wetu kwani ni rafiki yao)
Uzuri gari ile tulikodi na mmiliki ilikua ni Jimmy Mwang'onda.
Baadae akahamishiwa osterbay.
Ni shabiki mkubwa sana wa Yanga, kwa muda mchache niliomjua,sishangai sana anayohusishwa nayo,alijiona mungu mtu fulani,utumishi ulimlevya!!
Acha kukurupuka, soma mada uelewe, Mada iliyopo ni kuhusu alie mtolea bastora waziri Nape kuwa ni mmoja wa watuhumiwa, na ikawekwa picha yake. Hizo ni habari za uongo, askari alie tuhumiwa si alie mshikia Waziri Nape silaha, ndicho nimekanusha kuwa Gazeti limedanganya. Penye ukweli tuache ukweli, si kutumia uongo kumchafua mtu. Huyo askari ana haki ya kushitaki hilo Gazeti.
Sasa weye unakuja na mambo ya Magufuli kwani hapa umeona nimeongelea Magufuli? Chuki zako na Magufuli tuache gazeti lipotoshe kuwa askari alietuhumiwa Mtwara, ati ndiye alie mtolea silaha Nape. Wewe ni waajabu saana. Fikiria, changanua kinachosemwa, na tafakari si kukurupuka na chuki zako na unaongea nje ya mada. Nadhani unamuota hata huyo ulie muongelea.
Achana na mambo ya picha zakwenye mitandao.mtu anatambulika kwa majina yake.Hilo gazeti itakua limemhusisha huyo bwana kwa majina yake picha zimetumika tu kupambia habari nahiyo sio issue kubwa kuliko mhusika mwenyewe kutenda jambo na kutambulika kwa majina.
Uwezi weka picha ya mtu katika habari isiyoendana na muhusika, tena habari yenyewe ni tuhuma. Huu ni uandishi ucharwa. Hiyo wamemzalilisha Bwana Kalanje ambaye sasa picha yake inasambaa mitandaoni na watu wanajua kuwa yeye ndo alimtolea Nape silaha. Tusubiri!
Gilbert nimemfahamu akiwa polisi Kawe,tulipoenda kumkabizi mtu alietutapeli dola 5000. Baadae alitugeukia kibao hapo hapo kua boss wangu anaendesha gari ya wizi!! Akatutaka tuiache polisi(lengo kututingisha kwenye mhalifu wetu kwani ni rafiki yao)
Uzuri gari ile tulikodi na mmiliki ilikua ni Jimmy Mwang'onda.
Baadae akahamishiwa osterbay.
Ni shabiki mkubwa sana wa Yanga, kwa muda mchache niliomjua,sishangai sana anayohusishwa nayo,alijiona mungu mtu fulani,utumishi ulimlevya!!
Ndugu yangu sipingi usemacho, ila alie mtolea Nape silaha si Gilbert kulingana na picha na video. Kama unamfahamu kweli Gilbert. KIla binadamu anamadhaifu. Sidhani kama kuna mtu ambaye hajawai tenda baya. Kosa fulani aliwezi kuwa ndiyo hukumu ya kosa jingine au kuhalalisha kosa. Hapa issue je yule alomtolea Nape silaha kweli ni Gilbert? Wakati ule zilisambaa picha za mtu anaitwa Kisasandu.
Na Gilbert wakati wa hiyo Issue hakuwepo Dar, alikuwa huko Musoma, baadae alihamishiwa Mtwara miaka mingi tu!
Ni kweli ni mshabiki kindakindaki wa Yanga!
akili yangu ya jicho la tatu imegoma kuamini kuwa yule askari aliyemtolea nape risasi, yupo katika orodha ya asakari waliofanya tukio la mauaji mtwara. kuna mchezo unachezwa, tutafahamu tu mbele ya safari.
hivi tarehe tatu ndio siku ambayo makonda anatakiwa kufika mahakamani?.
Mie nafikiri kuna haja ya haraka sana ya kuwa na kitengo kinachojitegemea ambacho kitakuwa chini ya ofisi ya rais kuchunguza makosa yanayofanya na hawa watu wetu wa vyombo vya ulinzi na usalama
Tuache siasa sasa hivi vyombo vya ulinzi na usalama havina tena imani kwa wananchi
Yaani siyo tena sehemu salama ya kupata msaada manake wanaamini kuwa wakifanya tukio watalindana manake hao hao ndo watakao unda tume
Yaani haki ya raia kuishi kwa amani yeye na mali zake siyo tena swala la msingi
Na siasa zimeteka sana majeshi yetu kwa kweli. Manake kuna baadhi ya viongozi wLidirikikusema alomtishia Nape hakuwa askari ili kulinda ugali wao na bado wako kwenye system.
Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.
Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.
Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.
Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara
ALIYEMTISHIA NAPE KWA BASTOLA NI ASKARI - MWIGULU. Waziri wa zamani wa mambo ya ndani aliyefurushwa, Bw.Mwigulu Nchemba amesema hajawahi kusema kuwa mtu aliyemtishia Nape Nnauye kwa basola sio askari. Mwigulu amedai alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari, na kudai kwamba alichosema yeye ni...
Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.
Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.
Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.
Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara
ALIYEMTISHIA NAPE KWA BASTOLA NI ASKARI - MWIGULU. Waziri wa zamani wa mambo ya ndani aliyefurushwa, Bw.Mwigulu Nchemba amesema hajawahi kusema kuwa mtu aliyemtishia Nape Nnauye kwa basola sio askari. Mwigulu amedai alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari, na kudai kwamba alichosema yeye ni...
Hasa! Kosa kubwa lipi la gazeti la Mwananchi au polisi kutotimiza wajibu wake kwa wananchi wa kumtambua mtu aliyefanya jinai dhidi ya Nape mchana mbele ya watu wengi!
Ndugu yangu sipingi usemacho, ila alie mtolea Nape silaha si Gilbert kulingana na picha na video. Kama unamfahamu kweli Gilbert. KIla binadamu anamadhaifu. Sidhani kama kuna mtu ambaye hajawai tenda baya. Kosa fulani aliwezi kuwa ndiyo hukumu ya kosa jingine au kuhalalisha kosa. Hapa issue je yule alomtolea Nape silaha kweli ni Gilbert? Wakati ule zilisambaa picha za mtu anaitwa Kisasandu.
Na Gilbert wakati wa hiyo Issue hakuwepo Dar, alikuwa huko Musoma, baadae alihamishiwa Mtwara miaka mingi tu!
Ni kweli ni mshabiki kindakindaki wa Yanga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.