Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.

Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
 
Hivi kuna rais/mawaziri walio laumiwa kusaini mkataba kwa sehemu walio tokea?.

Au Mnyamwezi kulaumu Mchaga kwa kusaini mkataba mbovu.
Acha ujinga hapa Kuna nchi mbili tanganyika na Zanzibar na ndio maana huyo mwanasheria koko kasema Zanzibar kama nchi inasheria zake kwenye bandari zake Sasa iweje waliotoka huko Zanzibar hamtaki watajwe kwamba ni wazanzibar?
 
Ndugai aliposema nchi itakuja kupigwa bei, mlimfurusha uspika na Wengine mlienda mbali zaidi na kumpa majina yote mabaya.

Hili lGA ya bandari ni moja kati ya IGAs /MOU nyingi zilizosainiwa pale Dubai na serikali yenu tukufu.

MOU ya 17 ikiwa implimented, itawarudisha utumwani.

Nyie endeleeni tu kupayuka anaupiga mwingi
 
Hapa hapa tz kuna mwenye moyo wa kumwendeleza jirani yake?

Hiki kilichotokea kinafikirisha.
 
Sasa ulitaka mtu MWEHU kama huyo asiyejua kuwa hatuna nchi inayoitwa TANGANYIKA aendelee kupewa nafasi ili achangie nini!?.Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964 huko.

Mamburura mko wengi sana hapa Tz.
 
Hahahaaa!.Watoto wazuri kama hawa wanapatikana CCM pekee.
 
Ndiyo ni uhuru kwa Watanzania.Huyo MTANGANYIKA ni mzimu,maana Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Tanzania ili pata uhuru Mwaka gani?

Na muungano wa Tanzania na Zanzibar je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…