Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Kwahiyo hizi hospitali ni za wageni? Hata hivyo nyie kama wawakilishi wa waislamu mnaweza kuchukua hatua ya kuvunja hiyo MoU ya hizo hospitali, lakini ni hivi, bandari haiuzwi fullstop.
Kwa akili zako eti bandari inaweza kuuzwa.

Mkataba utafnyiwa marekebisho na uendeshaji utafanyika kweny magati na hakuna kitu utafanya.

Binafsi wewe hujui chochote wala hauna hoja sema ni hofu za kanisa tu na umbea ,hata hujui kipind cha Ticts still TPA ilikuwa na nafasi yake ni hivyo hivyo kipind Cha Dp world TPA itabaki kama ilivyo.
 
We hauna akili kabisa..Rais wa nchi ni nan ?

Punguza ubaguzi na upumbavu hata maendeleo hauna hao ndo viongozi wao watasaini na hakuna kitu utafanya...Sisi ndo tumekubali wewe hauna kitu zaidi ya maneno ya kibaguzi.
Ndio maana tunasisitiza kila mara uchaguzi uheshimiwe. Haya mambo ya viongozi kuingia madarakani kwa kupora chaguzi ndio inafikia hatua wakipitisha kitu hawapati ushirikiano wa wananchi.

Ni kweli anaweza kusaini maana tuna katiba mbovu, lakini ni hatari hata kwa huyo muwekezaji maana utawala ukibadilika ni rahisi watu kugomea hiyo mikataba ya wizi. Na maelezo itakuwa hao viongozi walikuwa madarakani bila ridhaa ya umma.
 
Ndio maana tunasisitiza kila mara uchaguzi uheshimiwe. Haya mambo ya viongozi kuingia madarakani kwa kupora chaguzi ndio inafikia hatua wakipitisha kitu hawapati ushirikiano wa wananchi.

Ni kweli anaweza kusaini maana tuna katiba mbovu, lakini ni hatari hata kwa huyo muwekezaji maana utawala ukibadilika ni rahisi watu kugomea hiyo mikataba ya wizi. Na maelezo itakuwa hao viongozi walikuwa madarakani bila ridhaa ya umma.
Hii nchi itaongozwa na CCM milele chama chako cha kikanda hakiwezi kuchukua madaraka na wala hakuna chama kinaweza kuchukua madaraka.

Mkataba kupinga sio dhambi sema uwe na hoja sio kukaririshwa na watu wa imani yako wakati hujui Chochote.
 
Hivi kuna rais/mawaziri walio laumiwa kusaini mkataba kwa sehemu walio tokea?.

Au Mnyamwezi kulaumu Mchaga kwa kusaini mkataba mbovu.
Bandari siyo suala la Muungano Kwa mujibu wa Mwanasheria wenu aliyeongea club House, Kwa mujibu Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, na Kwa mujibu wa Ismail Jussa (ACT) mshiriki katika serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar. Kwa vipi Sasa wizara isiyo ya Muungano iongozwe na upande Wenye maamuzi yasiyohitaji Muungano?
 
Hii nchi itaongozwa na CCM milele chama chako cha kikanda hakiwezi kuchukua madaraka na wala hakuna chama kinaweza kuchukua madaraka.

Mkataba kupinga sio dhambi sema uwe na hoja sio kukaririshwa na watu wa imani yako wakati hujui Chochote.
Ni kweli, nchi hii kwakuwa imejaa makondoo itaendelea kuongozwa na CCM. Ila siku makondoo watakapopungua ndio itakuwa mwisho wa CCM. Hata KANU ya Kenya walikuwa na jeuri kama hii hii ya CCM chini ya dictator Moi, lakini siku wananchi walisema enough is enough, KANU ilienda kaburini hadi leo hii. Vuta subira tu utajua kuwa CCM sio chama cha kizazi hiki.

Kwamba sisi hatujui chochote bali tunakaririshwa, ila ww ndio unajua kila kitu bila kukaririshwa! Nimecheka kwa nguvu. Narudia tena, bandari za Tanganyika haiuzwi na Mzanzibari yoyote hutaki jinyonge.
 
Kwa akili zako eti bandari inaweza kuuzwa.

Mkataba utafnyiwa marekebisho na uendeshaji utafanyika kweny magati na hakuna kitu utafanya.

Binafsi wewe hujui chochote wala hauna hoja sema ni hofu za kanisa tu na umbea ,hata hujui kipind cha Ticts still TPA ilikuwa na nafasi yake ni hivyo hivyo kipind Cha Dp world TPA itabaki kama ilivyo.
Kitendo cha kuona huu upingaji wa kuuzwa kwa bandari ni msukumo wa kidini, inaonyesha una akili ndogo, ndio maana umejaa jazba. Ni hivi, bandari haiuzwi iwe kiisilamu au kikristo.
 
Ni kweli, nchi hii kwakuwa imejaa makondoo itaendelea kuongozwa na CCM. Ila siku makondoo watakapopungua ndio itakuwa mwisho wa CCM. Hata KANU ya Kenya walikuwa na jeuri kama hii hii ya CCM chini ya dictator Moi, lakini siku wananchi walisema enough is enough, KANU ilienda kaburini hadi leo hii. Vuta subira tu utajua kuwa CCM sio chama cha kizazi hiki.

Kwamba sisi hatujui chochote bali tunakaririshwa, ila ww ndio unajua kila kitu bila kukaririshwa! Nimecheka kwa nguvu. Narudia tena, bandari za Tanganyika haiuzwi na Mzanzibari yoyote hutaki jinyonge.
Bandari itapatiwa wawekezaji swala la kuuzwa ni uelewa wako mdogo .

Muwekezaji atapewa na hakuna kitu utafnya wala kuandamana naapa kwa Mungu huwezi kuzuia chochote.
 
Kitendo cha kuona huu upingaji wa kuuzwa kwa bandari ni msukumo wa kidini, inaonyesha una akili ndogo, ndio maana umejaa jazba. Ni hivi, bandari haiuzwi iwe kiisilamu au kikristo.
Wenye akili ndogo ni nyie mnayemuogopa muarabu mpaka mnakuwa na wasiwasi.

Mbona hatuhoji kule Kcmc ,hujui chochote wahi mihogo ya chai inaisha huko.
 
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.

Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
Ngoma ni nzito acha wachukulie poa
 
Bandari itapatiwa wawekezaji swala la kuuzwa ni uelewa wako mdogo .

Muwekezaji atapewa na hakuna kitu utafnya wala kuandamana naapa kwa Mungu huwezi kuzuia chochote.
Sasa kama siwezi hata kuandamana wala kufanya lolote, mbona povu linakutoka kwenye hayo mauzo ya bandari?
 
Sasa kama siwezi hata kuandamana wala kufanya lolote, mbona povu linakutoka kwenye hayo mauzo ya bandari?
Kelele za chura ,sasa niambie umeelewa nn kweny mkataba?😅😅
 
Ccm haipaswi kuendelea kutawala nchi hii, kwanza haikai madarakani kwa ridhaa ya wananchi, bali inakaa madarakani kwa shuruti. Ni hatari vyombo vya dola kulinda chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, hata baada ya wananchi kuonekana kukichoka.
CCM wanaweza kuwa sio perfect nakubaliana na wewe lakini shida tuliyonayo watu hawaoini mbadala maana tumeona huko nyuma, kuna kipindi upinzani waliokuwa wanaoekana tishio lakini muda tu wataanza kuvurugana wenyewe nakuuwa nguvu zao, CUF, sijui NCCR mageuzi hata Chadema hii ndio shida. Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu ni afya kwa taifa shida hawaamini, wapinzani ni wale wamepoteza kule wanakuja huku kupiga kelele kurudi kule hii ndio issue ya upinzani Tz. Pia CCM wamejikita sana kila sehemu unaweza kupita huko mitandaoni ukadhani CCM hawana watu ila ukweli CCM wako makini na wamejikita sehemu ambazo ngumu kuwatoa. Kweli ziko sehemu ushawishi wao sio mkubwa lakini sehemu nyingi wako na nguvu sana huo ndio ukweli.
 
Wenye akili ndogo ni nyie mnayemuogopa muarabu mpaka mnakuwa na wasiwasi.

Mbona hatuhoji kule Kcmc ,hujui chochote wahi mihogo ya chai inaisha huko.
Hakuna anayejali muarabu, bali tunajali bandari za Tanganyika kuuzwa na Mzanzibari. Kcmc kahoji ww ambaye tayari umeshawahi mihogo kabla haijaisha. Narudia tena, bandari haiuzwi, hutaki jinyonge.
 
Acha kutoa mapovu mkurugenzi. Hili jambo liko wazi kabisa. Rais anayeitawala Tanganyika kwa sasa ni Mzanzibari! Na Waziri wa ujenzi pia aliyesaini huo mkataba pia ni Mzanzibari. Sasa mbona jambo hili liko wazi kabisa!!

Huo Muungano wenyewe ni kiini macho tu. Maana Wazanzibari siku zote wamekuwa wakijivunia Taifa lao la Zanzibar, na pia Uzanzibari wao! Nongwa iko wapi kwa sisi Watanganyika pia kulipigania Taifa letu ambalo limegeuzwa kuwa shamba la bibi?
Wa huko huko .. ..mwenzenu huyo.. ..

Mnawaonea bure wa znz.. .. kule kadasa tu lkn muulize mwinyi akitulia akwambie ukweli mkuu!
 
Hakuna anayejali muarabu, bali tunajali bandari za Tanganyika kuuzwa na Mzanzibari. Kcmc kahoji ww ambaye tayari umeshawahi mihogo kabla haijaisha. Narudia tena, bandari haiuzwi, hutaki jinyonge.
😅😅😅 Mzanzibar ndo Rais wako hakuna kitu utafanya ,utaongozwa mpaka kufa ..kaa kwa kutulia.!
 
CCM wanaweza kuwa sio perfect nakubaliana na wewe lakini shida tuliyonayo watu hawaoini mbadala maana tumeona huko nyuma, kuna kipindi upinzani waliokuwa wanaoekana tishio lakini muda tu wataanza kuvurugana wenyewe nakuuwa nguvu zao, CUF, sijui NCCR mageuzi hata Chadema hii ndio shida. Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu ni afya kwa taifa shida hawaamini, wapinzani ni wale wamepoteza kule wanakuja huku kupiga kelele kurudi kule hii ndio issue ya upinzani Tz. Pia CCM wamejikita sana kila sehemu unaweza kupita huko mitandaoni ukadhani CCM hawana watu ila ukweli CCM wako makini na wamejikita sehemu ambazo ngumu kuwatoa. Kweli ziko sehemu ushawishi wao sio mkubwa lakini sehemu nyingi wako na nguvu sana huo ndio ukweli.

Hivyo vyama vya upinzani vimekuwa vikihujumiwa na dola na wala sio kukosa imani ya wananchi. Na ukweli huu uko wazi. Kama CCM ingekuwa na ushawishi huo kwa umma, tusingeshudia chaguzi za kihayawani kwa kiwango hiki. Kwa kukusaidia tu, ushawishi wa CCM ndani ya nchi hii ni chini ya 30%, huu ni ukweli unaofichwa kwa nguvu zote na vyombo vya dola.

Ukweli ni kuwa CCM sio chama cha kizazi hiki, ndio maana kinatumia nguvu kubwa hasa ya dola kubaki madarakani. Ikitokea dola ikaamua kuwa neutral wakati wa kutangazwa matokeo, hakuna uwezekano wa CCM kusogelea hata 50% ya kura. Mmeishia kupora chaguzi za nchi hii, matokeo yake kila uchaguzi wapiga kura ambao ni vijana hawajitokezi tena. Hivyo chaguzi zetu kuwa na wapiga kura wachache sana. Kwa hapa tulipofika, machafuko tu ndio yatawatoa ccm.
 
Back
Top Bottom