Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Umesema ina mamlaka yake si ndio?.

Mamlaka gani?.
Unakumbuka mamlaka ya serikali ya Salmin Amour Juma(rais wa 5 wa zanzibar) alijiunga na OIC kwanini Nyerere alitaka wajitoe?
Wana nchi yao inayoitwa ZANZIBAR,wana Bendera yao ya Taifa la Zanzibar,wana wimbo wao wa Taifa la Zanzibar,wana Rais wao wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
 
Kumbukeni Msigwa ni Mwandishi wa habari, just an ordinary reporter aliyetunukiwa kusogezwa karibu na mfalme.

Sio expert wala nini, anajiongeza tu! Then we should not expect wonders from ordinary brain kama hii yake!

Tumsamehe bure tu wala hajui kama issue ya bandari ina magnitude gani! Anahisi ni kama bwawa la kijiji kule mtambaswala!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bwawa la kijiji mtambaswala
 
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.

Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
Watazuia lakini wasiotaka wanazidi kuongezeka,ni bora sanawangekubali wakati idadiya wasiotaka haijaongezeka
 
Back
Top Bottom