Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

😅😅😅 Mzanzibar ndo Rais wako hakuna kitu utafanya ,utaongozwa mpaka kufa ..kaa kwa kutulia.!
Ni rais wa Tanzania, lakini hayuko madarakani kwa uchaguzi halali. Hutaki saga chupa unywe.
 
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.

Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
Huyo mdADA n mjinga tu
 
😅😅😅Ndo nakuuliza isijekuwa nabishana na mtu hajui chochote ..

Niambie hili nijui uelewa wako.
Kwahiyo umekuja na marking scheme au? Ww kama nani wa kuniuliza mimi na niwajibike kukujibu? Au kwakuwa unatetemekewa huko ofisini kwako ndio unadhani hata huku social media?
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Mzanzibar ndo Rais wako hakuna kitu utafanya ,utaongozwa mpaka kufa ..kaa kwa kutulia.!

Mkuu unahamini kabisa kua Bugando nae kcmc haziwezi kujiendesha bila usaidizi wa serikali? Wewe au mwanafamilia yako aumwe ndo utajua umuhimu wa hizo tahasisi. Hospital yoyote inaweza kujiendesha bila msaada wa serikali maana watu wanaumwa kila siku na lazima utibiwe ata kwa kuuza nyumba au ukoo uchange
 
Ni rais wa Tanzania, lakini hayuko madarakani kwa uchaguzi halali. Hutaki saga chupa unywe.
😅😅Ndo Raisi hakuna kitu utafanya ,we ni wa kuongozwa tu .
 
Sasa ulitaka mtu MWEHU kama huyo asiyejua kuwa hatuna nchi inayoitwa TANGANYIKA aendelee kupewa nafasi ili achangie nini!?.Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964 huko.

Mamburura mko wengi sana hapa Tz.
Tanganyika ipo Ila umevaa Joho la Muungano macho dhaifu km ww ndio hawaioni lkn IPO TANGANYIKA na inafanya KAZI zake kila siku
 
Yaani hana confidence na haamini kwamba kwa rasilimali tulizonazo tunaweza kujisimamia wenyewe bila mwarabu.
Wakati Magufuli aliamini tuna uwezo wa kufanya chochote bila ya kumtegemea mtu yeyote.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Hajui kutumia akili yake kuamua mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa, yeye anasubiri kuambiwa tu na anaowaamini, asijue hata kuchanganya na zake, matokeo yake akiharibu lawama zote kwake.
 
Kwahiyo umekuja na marking scheme au? Ww kama nani wa kuniuliza mimi na niwajibike kukujibu? Au kwakuwa unatetemekewa huko ofisini kwako ndio unadhani hata huku social media?
Hamna unachojua ndo maana huna jibu kaangalie kipindi TICTS inafanya kazi kweny zile gati je bandari ilikuwa imeuzwa?
 
Ndiyo ni uhuru kwa Watanzania.Huyo MTANGANYIKA ni mzimu,maana Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanganyika ipo imevaa Joho la Muungano
 
We hauna akili kabisa..Rais wa nchi ni nan ?

Punguza ubaguzi na upumbavu hata maendeleo hauna hao ndo viongozi wao watasaini na hakuna kitu utafanya...Sisi ndo tumekubali wewe hauna kitu zaidi ya maneno ya kibaguzi.
Wewe naye ni pimbi tu! Sasa kati ya Tanganyika na Zanzibar nani ana itikadi za kibaguzi? Jibu ni simple tu, wabaguzi ni hao wala urojo. Hawajivunii u-tanzania bali u-zanzibar wao. Kisiwa kina mikoa miwili tu lakini kina makamu wawili wa Rais.....hovyo kabisa! Imefika mahala kila upande wa muungano ujivunie utaifa wake kama ambavyo ni nadra sana kumsikia m-zanzibar akijiita yeye ni m-tanzania labda iwe kwa kumlazimisha!
 
Hivi, mume na mke wakioana,bahati mbaya baba akafa,mjane uzuiwa kutaja jina la marehemu mume wake!??[emoji2958][emoji850]
 
Mkuu unahamini kabisa kua Bugando nae kcmc haziwezi kujiendesha bila usaidizi wa serikali? Wewe au mwanafamilia yako aumwe ndo utajua umuhimu wa hizo tahasisi. Hospital yoyote inaweza kujiendesha bila msaada wa serikali maana watu wanaumwa kila siku na lazima utibiwe ata kwa kuuza nyumba au ukoo uchange
Sina maana tunaongelea ruzuku na mkataba ni milele .

kama kitu kinatoa huduma kwa ufanisi hamna shaka kwa vile wote wananufaika,

Kama Dp world ataleta ufanisi katika kuhdumia shehena mbali mbalimbali basi sisi sote ni wanafaika pamoja serikali ,hii haina shida ya kuleta wasiwasi mimi na wewe wote tunafaidika.
 
Sasa ulitaka mtu MWEHU kama huyo asiyejua kuwa hatuna nchi inayoitwa TANGANYIKA aendelee kupewa nafasi ili achangie nini!?.Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964 huko.

Mamburura mko wengi sana hapa Tz.
Tanganyika ilizikwa Zanzibar ikabaki sio
 
Yaani hana confidence na haamini kwamba kwa rasilimali tulizonazo tunaweza kujisimamia wenyewe bila mwarabu.
Wakati Magufuli aliamini tuna uwezo wa kufanya chochote bila ya kumtegemea mtu yeyote.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Alifanya kipi mwenyewe bila kumtegemea mwingine? SGR tunajenga Tanzania? Tunajenga kwa hela zetu?
 
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.

Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
Sasa ww Kwa akili Yako huo ni uungwana tuache ushabiki wa kijinga huyo mnayesema c mtanganyika ndio anajenga vituo vya afya,shule,barabara,uhuru wa vyombo vya habari tuache ujinga wa kubaguana
 
Back
Top Bottom