Kumbukeni Msigwa ni Mwandishi wa habari, just an ordinary reporter aliyetunukiwa kusogezwa karibu na mfalme.
Sio expert wala nini, anajiongeza tu! Then we should not expect wonders from ordinary brain kama hii yake!
Tumsamehe bure tu wala hajui kama issue ya bandari ina magnitude gani! Anahisi ni kama bwawa la kijiji kule mtambaswala!