Unalipwa ngap bwashee Mana Toka juzi upo unashupaza shingo ,,unaonekana kuwa na chuki binafsi Sana..Mwananchi litakuwa limekula mkwanja kusafisha familia ya gaidi na ukizingatia kaimu mkurugenzi wa mwananchi ni wale wale
Police ichunguze vyombo vya habari vinavyotwist na kutetea magaidi
gazeti limesema wanneSo the man has a lot of frustrations and after careful consideration he choose to kill 3 policemen and leave the civilian alive!
The story is too good to be true
Hata kama ni msongo je kwanini awaue polisi tu? Au unataka sema polisi ndio walimuibia hizo 400mil??Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.
Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua. Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.
View attachment 1912045
Huyu ni gaidi wa ccmHuyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.
Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua. Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.
View attachment 1912045
Hamza ni gaidi Kama magaidi wengine wa bavicha walioko ndani
USSR
Huyo ni gaidi. Kwanza alikwenda Misri kusoma dini.Wanasema alivyorudi alikuwa mtu mkimya sana. Hapo alikuwa radicalisé .
lkn yye alikuwa kada mwenzetu ndani ya ccm
Ndo hufanyika hivyo. Magaidi wengi hulenga mapolisi,wanajeshi.Sio kweli muwe munauliza vizuri, ugaidi aache kuufanyia mkwajuni, mbangala, aje aufanyie Dar tena kwa askari tu?
Ona hili chizi naloMwananchi litakuwa limekula mkwanja kusafisha familia ya gaidi na ukizingatia kaimu mkurugenzi wa mwananchi ni wale wale
Police ichunguze vyombo vya habari vinavyotwist na kutetea magaidi
Unajua maana ya Allah Akbar!Huyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
Unajua maana ya Allah Akbar!
Ndio alikua kada kama mbowe alivo kada hata sabaya ni kada
Mbona Allahu Akbaru inatajwa kila siku mara Tano Misikitini?Huyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
Gaidi aliyekuwa kada mkubwa ndani ya chama kilichopo Madarakani,Huyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
wewe ukitaja mungu wa mbinguni tukiitaje mpendwaHuyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar
Kabendera angetusaidia Sana ktk hili.Milioni 400 ndio chanzo halafu hasira zake akawaelekezea polisi?
Inahitajika Tume Huru iundwe kuchunguza hili tukio, vyombo vya habari na wengine wote wanaogopa kutumia akili zao vizuri kwa hofu ya kufungiwa, tumebaki na speculation za mitandaoni pekee.
Waandishi wa habari za kiuchunguzi wanaoheshimika na walio na uhuru wakufanya kazi zao pia wangesaidia kupata majibu, tatizo ndio hofu ya kufungiwa vyombo vyao imewakumba.