Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Bwana mkubwa, mjadala usihamishwe!

Hamza aliporwa madini yake na waliyopewa dhamana ya kulinda usalama wa raia na mali zake. Ndiyo akachukua hayo maamuzi ya ajabu kwa hao jezi khaki.

Alichokifanya si kizuri ila hakiondoi uhalali walichokifanya jezi khaki ndiyo chanzo. Wasitanue magoli.

Hili lilishawahi kutokea hata kipindi cha Zombe yule askari na wenzake. Waliwaua wafanyabiashara ya madini wa Mahenge kwa kuwapora madini yao na kuwapachika jina walikuwa majambazi.

Askari bado wana utovu wa nidhamu mkubwa sana! Video tofauti mwaka jana kilichotokea Znz baada ya kuwagonga kwa term waliyotumia wao "wahalifu" ajabu wakawa wanawawasachi kwenye mifuko yao na kuchukua fedha zao.

Wengine wanafungua waleti za wahalifu na kuchukua chenye thamani kilichomo humo! Walibeba mpaka nyama za vingunguti na kwenda kugawana vituoni na raia wakishuhudia baada ya mamlaka kudai hizo nyama si salama mamlaka ambayo ilipishana na wauzaji/wachinjaji wa nyama hapo!

Hayo yote waliyakataa ijapokuwa ushahidi ulikuwa wazi mithili ya mwezi mpevu. Na wakuu wao wanatetea huu uhalifu wao.
Tena hapo kwenye nyama jamaa angeamua awawekee sumu angekua na tofauti gani na Hamza
 
Yote yasemwe ila binafsi naangalia tu alipopolwa dhahabu tu hapo hapo akajua vema matumizi ya:- Cover & Concealment
AK Manoeuvre & handling
Tactical reload
Tactical progression
Tactical mindset
Hayo yote ni mambo ya kitaalamu sana ambayo Hamza aliya apply vema kabisa juzi na si rahisi raia au mpiganaji asie na mafunzo kuyakumbuka na kuyatumia wakati wa mapigano.

Watu huru tunatakiwa KUFIKIRIA nje ya box
Mkuu unachambua kama mwalimu kashasha.
 
Sababu ya kutumia nguvu kubwa kutaka kuonedha Hamza sio gaidi haitasaidia taifa hili kutokana na tatizo la watu wa aina ya Hamza. The guy was just another prodigal son aliye amua kuhusudu ugaidi kama nyezo yake kupigania jihad ya Allah!

Serikali iwe sereous na jambo hili, hata hiyo sekondari aliyo soma ichunguzwe inawezekana wako watu wanaofanyia vijana recruitment hapo. Hawa magaidi on waiting katika kutekeleza ugaidi inaonesha wanapenda mabodaboda makubwa wakiwaiga wenzao wa taliban.
 
Katika Serikali za kidikteta ni kawaida kabisa vyombo vya habari kutumikia madhalimu ili kesho viendelee kuwa hewani bila ya kujua kuwa mwisho wa siku vitakosa wateja na vitakufa vikiwa mdomo wazi🤡🤡🤡
Aisee kweli kabisa anayeandika story tu anapewa mpunga and some few tokens kwa editors. Hii ni kipimo kizuri kuona media gani ziko corrupt.
 
Kwanini AWAUE POLISI TU?
Swali fikirishi...naamini ingekuwa msongo wa mawazo na akaamua ajimalize kwa style ile...kwanza hasingekuwa na target yaaani polisi tu...pili angeuwa kila aliyekutana naye na mwisho angejimaliza mwenyewe na siyo kunyoosha mikono juu akiashiria ku
surrender..kuna wingu nne nyuma ya alichoamua kikufanya Hamza...na inawezekana jeshi la polisi wanajua ndo maana wakampa ya kichwa.
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
unachekesha sana eti watu waliokuwa kwenye dala dala waje watuambie alichokuwa anasema ha ha abiria walikuwa wameshakufa kiakili wapate muda wa kumsikiliza watu walikuwa wanawaza dhambi zao, mashamba, watoto wataishije baada ya kifo chake halafu wasikilize hotuba ya Hamza.
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
Speculations tu ukweli uko na marehem
 
Je wakuu? Kwani uchunguzi umekamika? Au ni taarifa ya awali? Au huwa ni kwa awamu?
 
Huyo ni gaidi. Kwanza alikwenda Misri kusoma dini.Wanasema alivyorudi alikuwa mtu mkimya sana. Hapo alikuwa radicalisé .


Sasa kwa nn awe selective kwenye kufanya ugaidi wake. Mm mwenyewe mkimya Sana naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu...na nilishaenda misri pia...kwa hyo na mm ni gaidi???
 
Sijabisha, ila wewe una uhakika kuwa ile ni sauti ya Hamza?
Kwanini wewe huna uhakika? Kaanze kuangqliq clip za mwanzo kabisa zilizochukuliwa akiwa pembeni yabile daladala, ni kweli ilionyesha Hamza anaongea jambo! Pili fatilia taarifa ya kwenda Misri kusoma aliporudi alikuwa ana dhamira gani hasa tatu fikiria juu ya tukio lake na nne kabisa malizia ayo matamshi unayodhania sio ya kwake.
 
Yote yasemwe ila binafsi naangalia tu alipopolwa dhahabu tu hapo hapo akajua vema matumizi ya:- Cover & Concealment
AK Manoeuvre & handling
Tactical reload
Tactical progression
Tactical mindset
Hayo yote ni mambo ya kitaalamu sana ambayo Hamza aliya apply vema kabisa juzi na si rahisi raia au mpiganaji asie na mafunzo kuyakumbuka na kuyatumia wakati wa mapigano.

Watu huru tunatakiwa KUFIKIRIA nje ya box


Sawa ila kwa nn ajifunze hayo yote kwa ajili ya kuwalenga polisi tu. Mm sijui Sana kuhusu hayo mambo ila nipoona video jamaa alivyokuwa anapambana na polisi nilijiuliza maswali kibao kuwa huyu jamaa anajua vema kutumia silaha, kujilinda na kujihami....ila swali likabaki kwa nn polisi tuuuuu...kwa nn polisi tuuu....
 
Back
Top Bottom