Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Ulishawai kupata majibu yoyote ya time huru tangu uzisikie? Si BorA polisi huwa wanatoa majibu ata Kama hamyataki
 
Zinatakiwa mioyo kama hii na dharau za Dar na Dodoma zingeshaisha .

Lakini kwa maneno maneno tutakesha
Kwa nini Usiwe wa pili kujitolea mkuu ili baada ya kifo chako ndo wengine pia wajitolee, make kwenye keyboard hpa unaonesha Una hasira, hamasisha basi ukiwa front kma jamaa lkn Usiwe kwenye keyboard hivi na kutudanganya.
 
Tusiweke mioyo yetu kwenye hela.
 
Huyo ni gaidi. Kwanza alikwenda Misri kusoma dini.Wanasema alivyorudi alikuwa mtu mkimya sana. Hapo alikuwa radicalisé .
Acha kuleta story za "Wanasema" kina nani hao wanao sema? Na umewaamini vipi? Kumbe kila mtu aliye mkimya ni gaidi?

Watu kama nyie ndio mnaoiaibisha JF tunaonekana wote ni mapunguani kama wewe.
 
Kabisa kabisa, kwa hili ngosha hawachomoi, IGP akubali au aendelee kuwa kwenye "self denial" lakini ofisi yake has got big big problems, its time to act or to let the rot to continue...
 
Kwanini AWAUE POLISI TU?
Kwa sababu polisi ni chombo cha dola ..na gaidi huwa adui yake ni vyombo vya dola vya ulinzi na usalama ....

Ww ushawah kusikia gaidi kaenda kuvamia mbuga ya wanyama na kushambukia askari pori ?
 
Acha kuleta story za "Wanasema" kina nani hao wanao sema? Na umewaamini vipi? Kumbe kila mtu aliye mkimya ni gaidi?

Watu kama nyie ndio mnaoiaibisha JF tunaonekana wote ni mapunguani kama wewe.

Watu ambao hamna ujasiri kusema Hamza anaonekana na watu gani mbalimbali kwenye picha mtakubali vipi ukweli huu mchungu wa Hamza ni gaidi? Hamza ni gaidi lililofanikiwa kuinflitrate mpaka CCM na likapewa uongozi ngazi ya Wilaya. Chunguzeni mjue magaidi kama Hamza wako wangapi, wapi, wanapanga nini, mtandao wao ni nani, wanafadhiliwa na nani vipi? Maswali ni mengi kùliko majibu.
 

Kuna jamii kutumia silaha na kufunzwa matumizi yake ni jambo la kawaida. Jamii zao si kama za kibantu.

Kuna wahindi, waarabu na wasomali. Wanaomba mpaka na vibali vya kwenda kuwinda huko wabantu ni lini wanafanya hivi? Licha ya hivyo kama alipitia JKT nayo utasemaje?
 
Kila mtu naona anakuja na yake.
Ngoja wakimaliza nije kumalizia.
 
Unapenda ukiritimba
 
Tena hapo kwenye nyama jamaa angeamua awawekee sumu angekua na tofauti gani na Hamza
Alichokifanya Hamza si kizuri na walichokifanya askari polisi si kizuri pia kwa sababu wao ndiyo chanzo cha haya yote. Yafaa vilevile wafahamu asili za watu. Asili ya Wasomali ndivyo walivyo hawana uoga. Atafanya kile atakachokiona kinafaa kujitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…