Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Kabisa kabisa, kwa hili ngosha hawachomoi, IGP akubali au aendelee kuwa kwenye "self denial" lakini ofisi yake has got big big problems, its time to act or to let the rot to continue...
Hakika!

Na ni damu ya Kisomali ile wasifikiri ya Kibantu! Wasifanye upuuzi, wacheze fare game. Hata ikiwabidi waende kisiri wakawaombe familia msamaha na yaishe.

Hawa wana undugu lakini kuna kabila vilevile.

Ila polisi wa Kibongo sijui wana matatizo gani! Hata raia wanaoenda kituoni kuwaona ndugu zao wanawachukulia kama wahalifu.
 
Unapoteza hela Mbeya kisha unakuja Dar kuua askari wakati Mbeya askari wapo! Askari wa Dar wanahusika nini na matukio ya Mbeya? Hamza kuwa msomali si kigezo cha kutaka kutuaminisha kuwa alikuwa na malengo ya ugaidi, kitendo cha polisi kuikamata familia yake kilikuwa ni cha kibaguzi kikabila na kidini.
Kwani ndugu zake ni wa dini yake , sasa wangewashika akinani ili wasionekane "wabaguzi", na hilo kabila haliuhusiani na ndugu zake
 
Bwana mkubwa, mjadala usihamishwe!

Hamza aliporwa madini yake na waliyopewa dhamana ya kulinda usalama wa raia na mali zake. Ndiyo akachukua hayo maamuzi ya ajabu kwa hao jezi khaki.

Alichokifanya si kizuri ila hakiondoi uhalali walichokifanya jezi khaki ndiyo chanzo. Wasitanue magoli.

Hili lilishawahi kutokea hata kipindi cha Zombe yule askari na wenzake. Waliwaua wafanyabiashara ya madini wa Mahenge kwa kuwapora madini yao na kuwapachika jina walikuwa majambazi.

Askari bado wana utovu wa nidhamu mkubwa sana! Video tofauti mwaka jana kilichotokea Znz baada ya kuwagonga kwa term waliyotumia wao "wahalifu" ajabu wakawa wanawawasachi kwenye mifuko yao na kuchukua fedha zao.

Wengine wanafungua waleti za wahalifu na kuchukua chenye thamani kilichomo humo! Walibeba mpaka nyama za vingunguti na kwenda kugawana vituoni na raia wakishuhudia baada ya mamlaka kudai hizo nyama si salama mamlaka ambayo ilipishana na wauzaji/wachinjaji wa nyama hapo!

Hayo yote waliyakataa ijapokuwa ushahidi ulikuwa wazi mithili ya mwezi mpevu. Na wakuu wao wanatetea huu uhalifu wao.
Lini IGP atotoq ripoti kamili.Naona anawashambulia tu wazazi wa mtuhumiwa.
 
Cha muhimu kaua kenge polisi njaa kali, awe gaidi awe ccm au awe katiwa ndani hainihusu
nafurahi kala vichwa vya washenzi hawa, miporipori hii ikimaliza chuo mshenzi chao wanaona wamepewa leseni ya kutesa na kunyanyasa raia
 
Tunachokisikia ni speculation tuu. Ukweli wote serikali inao kiganjani. Serikali ni kubwa na ina nguvu. Hapo tayari wana mkeka mzima wa Hamza na watu wote ambao aidha amewahi kuchati nao au kuongea nao kupitia simu hivyo yamkini wameshapata picha au wanaendelea kusikiliza na kuchambua kiini. Gari iliyomshusha hapo kama inavyodaiwa pia kwenye cctv vamera itakua imenaswa na pengine wameshaitafuta kumhoji dereva kama abiria wake alikua anaelekea wapi na alipopandia
 
Sasa kwa nn awe selective kwenye kufanya ugaidi wake. Mm mwenyewe mkimya Sana naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu...na nilishaenda misri pia...kwa hyo na mm ni gaidi???


Kwani bokoharam wale magaidi wa Nigeria huwa wanateka mtu yeyote au watu wowote?

Je huwa wanateka watu wazima na wazee?
Au wanatekaga mabinti wa Shule mara nyingi z?!

Kwa hiyo nao utasema si magaidi sababu wako selective?!
 
Kwa sababu polisi ni chombo cha dola ..na gaidi huwa adui yake ni vyombo vya dola vya ulinzi na usalama ....

Ww ushawah kusikia gaidi kaenda kuvamia mbuga ya wanyama na kushambukia askari pori ?
Westgate magaidi yaliwaua akina nani?

Garrisa je? Huyu Hamza kwanini alenge polisi pekeake, ile clip inaonyesha yupo nje ya ile daladala angeweza mimina za kutosha kwa raia lakini yeye alitarget mapolisi tu..

Kwanini hasira zake alimalizia kwa Polisi??
 
Milioni 400 ndio chanzo halafu hasira zake akawaelekezea polisi?

Inahitajika Tume Huru iundwe kuchunguza hili tukio, vyombo vya habari na wengine wote wanaogopa kutumia akili zao vizuri kwa hofu ya kufungiwa, tumebaki na speculation za mitandaoni pekee.

Waandishi wa habari za kiuchunguzi wanaoheshimika na walio na uhuru wakufanya kazi zao pia wangesaidia kupata majibu, tatizo ndio hofu ya kufungiwa vyombo vyao imewakumba.
Tupate kwanza mrejesho wa Tume ya Moto Kariakoo.
Uchotwaji wa mamilioni benki kuu na wizara husika ya fedha alihosema Waziri mkuu.
Vinginevyo kupoteza fedha na muda.
Hakuna atayefufukaa hapo.
Au nasema uongo jamani!?
Msema ujweli mpenzi waa...
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
Na huo ujuzi mkubwa wa kutumia silaha nzito je? Na ni kwa nini polisi?

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Tunachokisikia ni speculation tuu. Ukweli wote serikali inao kiganjani. Serikali ni kubwa na ina nguvu. Hapo tayari wana mkeka mzima wa Hamza na watu wote ambao aidha amewahi kuchati nao au kuongea nao kupitia simu hivyo yamkini wameshapata picha au wanaendelea kusikiliza na kuchambua kiini. Gari iliyomshusha hapo kama inavyodaiwa pia kwenye cctv vamera itakua imenaswa na pengine wameshaitafuta kumhoji dereva kama abiria wake alikua anaelekea wapi na alipopandia
Acha kuangalia movie sana.....polisi ya kibongo sio FBI.
Pumbavu Sirro anaendelea kutapika utumbo hata hajui kitu chochote.......
 
Westgate magaidi yaliwaua akina nani?

Garrisa je? Huyu Hamza kwanini alenge polisi pekeake, ile clip inaonyesha yupo nje ya ile daladala angeweza mimina za kutosha kwa raia lakini yeye alitarget mapolisi tu..

Kwanini hasira zake alimalizia kwa Polisi??


Pia tujiulize Kwanini wale magaidi wa Nigeria bokoharam huwa wanapenda kuteka mabinti wa Shule tu badala ya kuteka watu mchanganyiko ikiwemo wanaume kwa wanawake bila kujali umri wala jinsia?
Mbona hawateki wazee? N.k
 
Hii Kesi haina Tofauti na Kesi ya Zombe kabisa wale jamaa wa Madini waliouwawa kule Msitu wa mambwe pande kwa kusingiziwa ni Majambazi..


HAPA KUNA JAMBO.
 
Back
Top Bottom