Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Au kijana ana autism!?Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Kwa kauli hii,huyo karidhi akili kwako.sasa hapo unamchanganyaje na yy anasoma shule ! mi si mwalimu wake
kauli ni hulka ya mtu nenda kwene maada mkuu kama huna cha kuchangia au hujawai kulea mtoto we kausha waje watu wenye michango chanyaKwa kauli hii,huyo karidhi akili kwako.
mkuu ! usonji naujua ningesemaAu kijana ana autism!?
ilikuaje ? bado ana shida hiyoHii ishu alikuwa nayo pia mdogo wangu, binadamu hawawezi kuwa sawa hasa katika uwezo wa kiakili na ufahamu. Chamsingi ni kuhakikisha hamumsemi vibaya au kumuonesha kwamba ana mapungufu hayo maana atazidi kuwa mdhaifu. Hii itamsaidia kujenga uwezo wa kujiamini.
Kweli kabisa. Na tofauti zake zinaoneka wazi wazi. Watoto wa majuu wakiwa watu wazima wanakuwa wanajiamini na hata uwezo wa kuchambua mambo unakuwa mkubwa.parenting kwa sisi raia wa ukimani tatizo sugu. hatujui kwa ufupi.
You can find future from what he likes the most. Nilikuwa na rafiki wa aina hio the guy was like a cartoon. Ila baada ya form four alenda chuo cha graphics ndio waliokuja kutengeneza katuni za Akili Akili TBC zile.Mkuu mi siamini kama maisha ni shule
Na pia yeye huwa namwambia shule si kila kitu.
But
Kama shule huwezi lazima uwe na talent au shughuli unayoipenda au kuifanya.
lakini ye anachopenda ni kuangalia katoon, video za vichekesho, sasa hivi vitu unaona vina future?
Sasa mkuu unapata F KWELI!!Nakumbuka niliwahi pata F ya hesabu form three first term. Yule mzee mkoloni akasema unaona huyo hawezi faulu form four hivi. Akatoa wazo nirudishwe form 1 nianze upya shule.
Na kweli nikaenda kuhamishiwa shule mpya na kuanzishwa form 1. Sikuona tatizo maana nishazoea kuswagwa kama ng'ombe. Nikapiga miezi 6 form 1 ila baadae ndugu wengine waliingilia kati na kuona ni uonevu mkubwa nimefanyiwa. Kama kufeli acha niendelee nikafeli tu ila sio kupotezewa muda. Kile kitu kinaniumizaga hadi leo nikifikiria.
Sikuwahi kuwa kilaza, i was a good performer ila hesabu ndio nilikuwa sizipendi. Naweza pata A masomo yote ila hesabu D au F.
Kumsaidia hapo kapime kwanza DNA, haiwezekani baba uko vzr mtoto mbugiraNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Sasa amebadilika sana, hii imetokana na kumwambia maneno ya kumtia moyo na kumfanya ajiamini hatakama akikosea jambo hatumuoneshi kwamba amekosea bali tunampa njia nyingine ya kufanya jambo hilo.ilikuaje ? bado ana shida hiyo
Ni kijana wangu tumefanana sana sura, macho ,kiburi utotoni na uvivu kasoro tu huo ukilazaKumsaidia hapo kapime kwanza DNA, haiwezekani baba uko vzr mtoto mbugira
Tafuta muda muwe mnatoka out! Kuangalia mpira uwanjani, tafuta muda muwe na matembezi ya jioni hasa kama mazingira yanaruhusu, mtazoeana mtafungukiana, wewe baba ndio pacha wake wa kwanza. Mfano mimi huwa napenda kupanda milima mazingira ya morogoro mjini yana milimamkuu kwene familia zetu ni ngumu sana watoto kumzoea baba hasa kwakua anawafuatilia mambo yao muhimu!!
Kijana wangu nikiwa sipo anakaa sebulen na shangazi zake nakupga stori ila nikiwepo hang’ai hii ni kwasababu siwezi kaa hata nusu saa nisiulize mambo ya shule!
wengine hawana habari nae aende asiende wao sawa tu
mkuu hii inawezekana ni best testimony ya huu uzi!!Sasa amebadilika sana, hii imetokana na kumwambia maneno ya kumtia moyo na kumfanya ajiamini hatakama akikosea jambo hatumuoneshi kwamba amekosea bali tunampa njia nyingine ya kufanya jambo hilo.
Nakumbuka shuleni pia alikuwa hafanyi vizuri lakini baada ya muda alianza kujitahidi hata walimu wakashangaa. Kuna mitihani alifanya vizuri mpaka mwalimu akampa mtihani arudie maana hakuamini kama ametumia akili zake mwenyewe. Mwalimu alimuuliza bimkubwa mbona mtoto amebadilika sana, hata bimkubwa akakosa cha kujibu zaidi ya kumshukuru Mungu tu.
Hahahaha we jamaa bana nimegundua wewe ndio tatizoNi kijana wangu tumefanana sana sura, macho ,kiburi utotoni na uvivu kasoro tu huo ukilaza
Mimi hesabu sizipendi tu, nimekuja kuzipenda chuo maana ilikuwa ni lazima nifaulu ili niende mbele na nikazifaulu zote za QM na Basic Applied.Sasa mkuu unapata F KWELI!!
mimi hapo ndo nashindwa kuelewa unapataje F ?? kwamba we mwanzo mwisho miezi sita hukuwai elewa chocolate darasani!
hili ndo swala tunalogombana na kijana wangu.Mi mtu anaeshindwa shule ni ngumu sana kumuelewa hasa F na D
yawezekana kijana wangu kafata akili zako maana nayy hesabu ndo IMELALA YOOO
Tafuta muda muwe mnatoka out! Kuangalia mpira uwanjani, tafuta muda muwe na matembezi ya jioni hasa kama mazingira yanaruhusu, mtazoeana mrafungukiana, wewe baba ndio pacha wake wa kwanza. Mfano mimi huwa napenda kupanda milima mazingira ya morogoro mjini yana milimaView attachment 2986949
Huyo mtoto sio introvert ila ni kuwa umetengeneza mazingira ya kuogopwa kama baba. Huna muda nae zaidi ya kuulizia madaftari tu full time. Hii inaua confidence kwa mtoto.
Nilikulia mazingira hayo nilikuwa sina maamuzi juu ya chochote na siwezi toa opinion yeyote. Baba mlezi alikuwa mkali kama simba akija tunakimbilia kujificha vyumbani. Muda wote ni hofu tu kwamba ataanza kufoka mara kwanini sijisomei. Sikuwahi enjoy life kama mtoto.
Nilipoondoka kwenye mazingira yale na kurudi kwa baba mzazi ndio nikawa free sasa maana mzazi wangu yeye hakuwa mkoloni ila ni facilitator. Una raise matters anakusikiliza yuko supportive na unaweza kumpinga in short kuna freedom of speech. Hapo ndipo akili ilifunguka zaidi nikawa najihisi ni mtu.
issue ya kawaida tu hiyo.Hapana
mkuu ! usonji naujua ningesema