Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Hivi hali ya kupanda gharama za maisha huko kwenye vikao vyenu huwa hamjadili kabisa?

Naona LATRA wameamua kuwatengea penalty wapinzani.
 
Ndugu saigilomagema, umepanga kuhamia Nchi Gani?

Uhai wa chama chakavu, Si zaidi ya 2026.
 
Ujinga tu...kwani mlikuwa wapi kutafuta mtu kipindi chama kinayumba....utazuia ili umlete nani...mkiulizwa makonda kawakosea nn...? Hamsemi..ila hamtaki Ateuliwe... si mseme kawakosea nn?
Huyo mtu hafai hata kidogo. Hukumbuki enzi ni mkuu wa mkoa ujinga aliokuwa anafanya. Bashite, wewe na Jiwe ni kitu kimoja
 
Ile tu kwamba Makonda ni muenezi wa chama, wakati wewe ulikuwa unamsagia sumu siku nyingi, inaonesha kabisa wewe ni kidagaa tu hapo ccm na huna la kufanya wakubwa wakiamua.
Mama alikosea sana kumleta Bashite. Huyu ilitakiwa awe jera
 
Uko sahihi kabisa mkuu, hata sisi wachache tuliokuwa tunamuunga mkono kwa sasa hatumtaki tena. Unamleta Bashite, kweli [emoji848]
 
Kuna mkubwa zaidi ya mwenyekiti kwenye chama na serikalini kuna mkubwa zaidi ya Rais?
Angekuwa Rais ndio mkubwa mno, Jiwe asingeondoka huku anapenda kuishi!
Msidanganyike na hizi power za kuchonga, kuna mizizi imeota zaidi na haionekani.
Hata dada mkuu aache kujidanganya au kudanganywa na hao Wakolomide, wanavimbisha makalio na kutembea kwa mbwembwe na bado wakituhumiwa kuhusu mauaji wanaishia kujibu "kamuulize mama yako"
 
(Paraphrase) Tumepokea barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wetu, Ndugu Daniel Chongolo. Tumeridhia. Tunafanya uchunguzi na jambo hili linaweza likachukua muda kukamilika, kwa sababu hiyo Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) utakaimu hadi hapo taarifa ya uchunguzi itakapokamilika…. (Haya ni maneno ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya kikao cha NEC kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…