Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wafuasi wa Magu watakwambia CORONA haipo.😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
😅😅😅😅😅 Mkuu mwambie Mangi akupe bia naja soon😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kifo ni adui mwenye nguvu Sana [emoji1787][emoji1787] Sisi tunasema amechanganya mbaliga [emoji125]
Hata ningekua mimi ningekula kona😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
Mkuu kweli kabisa, leo ndio nimeamini kuwa IPO tena Mwananyamara!!!! 😈, sasa huko hospitali za Rufaa kukoje?Halafu wafuasi wa Magu watakwambia CORONA haipo.
Unatumia Alcatel?Hiyo video inagoma kufunguka kwenye simu yangu
Kule wanakuwa uchi na watu wako actively kazini , pia hatari ya kuingiza maambukizi. Alitumia akili, yule mwingine angeingia na angejaribu kuzalisha mubaasharaMbona hata kwa wajawazito kasema hakuingiliki
EKwamba anaogopa corona?