Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwanza kwenye hiyo incidence niliwadharau sana wana Usalama ambao wanafanya racking kabla na kupanga maeneo mheshimiwa atapita. Sasa ilikuwaje wampitishe maeneo hatari mpaka Mh. Rais akashtuka namna Ile? Rais siku zote anapaswa kulindwa na kila aina ya udhaifu. Rais siyo mtu wa mchezo. Wajiangalie sanaa watendaji wake
 
Magufuli alikua kiongozi level ya juu sana kwa watanzania kwa upendo na kutetea maslahi ya umma.

Tofauti na magufuli kwa maneno yake mwenyewe mama samia kwenye matembezi yake hospitali ya mwananyamala alipofikishwa kwa wenye matatizo ya kupumua aliuliza kwa kushtuka kama ni wodi ya wenye corona. Alipojibiwa ndio aliwatoa haraka waandishi wake waliyokua wameshaingia ndani ya wodi hiyo na yeye kutimka haraka.

Ninachotaka sema nchi hii mtu aliyekua mbinafsi na muoga hawezi kuiongoza kusudi watu wake watoke kwenye umaskini. Nina hakika waganga waliyokua wanataka kumpitisha kwenye wodi hiyo walikua wamechukua tahadhari kuhusu afya ya rais na aliyofuatana nao kwa hiyo hapakua na sababu ya amiri jeshi mkuu wa taifa kuonyesha woga na kutimka badala ya kuwaona raia zake wagonjwa.

Mama yetu bado ni mgeni wa madaraka makubwa aliyoshika. Ajitahidi kuondoa woga na aongeze ujasiri na kuwaepuka wanafiki. Urais sio mapambo ni ujemadari wa vita.
 
Naona unafikiria kwa kutumia akili zako za usiku...sawa,tumekuelewa
 
Magufuli alikua kiongozi level ya juu sana kwa watanzania kwa upendo na kutetea maslahi ya umma.
Kwa maneno yake mwenyewe mama samia kwenye matembezi yake hospitali ya mwananyamala alipofikishwa kwa wenye matatizo ya kupumua aliuliza kwa kushtuka kama ni wodi ya wenye corona alipijibiwa ndio aliwatoa haraka waandishi wake waliyokua wameshaingia ndani ya wodi hiyo na yeye kutimka haraka.
Ninachotaka sema nchi hii mtu asiyekua mbinafsi na muoga kuiongoza kusudi watu wake watoke kwenye umaskini. Nina hakika waganga waliyokua wanataka kumpitisha kwenye wodi hiyo walikua wamechukua tahadhari kuhusu afya ya rais na aliyofuatana nao kwa hiyo hapakua na sababu ya amiri jeshi mkuu wa taifa kuonyesha woga na kutimka badala ya kuwaona raia zake wagonjwa.
Mama yetu bado ni mgeni wa madaraka makubwa aliyoshika. Ajitahidi kuondoa woga na aongeze ujasiri na kuwaepuka wanafiki. Urais sio mapambo ni ujemadari wa vita.


IMG_20210626_102831_485.jpg
 
Wa level ya juu wanakufaga kizembe hivyo.
 
Kwa hyo ushujaa ni kujaribu kitu ambacho kitakudhuru?
Jamani ameshakufa, kama ni muhumin basi subiri siku ya ufufuo kama kutakua na muda wa kusalimiana hakikisha unamuona na kumjulisha yaliyotokea baada ya yeyr kuondoka
Polr tena kwa msiba
 
Kwanza kwenye hiyo incidence niliwadharau sana wana Usalama ambao wanafanya racking kabla na kupanga maeneo mheshimiwa atapita. Sasa ilikuwaje wampitishe maeneo hatari mpaka Mh. Rais akashtuka namna Ile? Rais siku zote anapaswa kulindwa na kila aina ya udhaifu. Rais siyo mtu wa mchezo. Wajiangalie sanaa watendaji wake
Wale ni wapambe tu. Hawana maajabu.

Si unaona hata huko Ufaransa Macron kapigwa kibao wakiwepo.
 
Kaambiwa mule kwa wenye matatizo ya kupumua ila yeye kauliza kama ni covid akajibiwa ndio, sasa sijaelewa kwamba matatizo ya kupumua huwa ni corona tu kwamba hakuna matatizo ya kupumua tofauti na corona? halafu chengine ina maana hadi muda ule rais hakuwa na taarifa za uwepo wa wagonjwa wa corona huko mahospitali yani hadi kaenda kujulia palepale? hii imekaaje?
 
Mkuu wewe ungeingia???unafanya masihara nini!!!

Kuna bwana mmoja hatunaye, kututhibitishia kuwa Corona si kitu angeweza kuchoma ndani.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom