Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 586
π€£π€£π€£Sasa ndio nimeelewa. π€£π€£
Kwa kweli we mtoto mtundu sanaKifo kinatisha
Ni sawa na uambiwe yule jamaa ana ngoma ila enda nae ukiwa umevaa ndom....
Weeeh kama ni mwamaume haisimami ngβooo ....π π π
Kovido hana masihara, hata mie ningeita tena nikiwa mbaalii... nyiiiii tokeni hukoo....!
Tunarudia, jiwe alikuwa jiwe, wengine nyanya tu..πππππ niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
Kwani bado hajajivaccinatiwa...!!????[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
We are measured by our IQ and EI to be Great Thinkers. I want to believe there is someone anakuchukulia kama role model but πis too low.Kajiongeza maana angeona mubashara jinsi boss wake alivyokufa kwa kutoa ulimi nje kama jibwa koko
Mbayawashaingia ndani dahNimecheka sana alivyowaita walinzi wake eti 'Nyie tokeni'
Sasa unataka waambukizwe ili wamuambukize!?Nimecheka sana alivyowaita walinzi wake eti 'Nyie tokeni'
Mkuu nimecheka sana [emoji28][emoji28][emoji28]Angekuwa JPM angeingia na kama angekuta wanakula angegonga nao nguna! RIP Jiwe!!!!
HaaahaaaaKule wanakuwa uchi na watu wako actively kazini , pia hata kuingiza maambukizi. Alitumia akili, yule mwingime angeingia na angejaribu kuzalisha mubaashara
Angesema lazima nione kama wanyonge nao wanajifungua vizuriHaahaa, angekuwa mwendazake angelazimisha kwenda...
Sasa kumbe hii MiBARAKOA ni ya kupigia picha tu. Si alikuwa amevaaHaa [emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
Mambo Ni Moto