Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Ugonjwa wa kuambukiza kwa njia ya hewa na kugusana sasa hapo hakuwa na nguo za kujikinga zaidi ya barakoa hata Mimi ningekimbia.
 
Wapo humu??? enh Nyie tokeni huko oh... Inachekesha lakini πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kwa kweli we mtoto mtundu sana
 
Tunarudia, jiwe alikuwa jiwe, wengine nyanya tu..
 
Ni hatari sana kuingia....amefanya vyema kutoingia....
 
Kwani bado hajajivaccinatiwa...!!????
 
Kajiongeza maana angeona mubashara jinsi boss wake alivyokufa kwa kutoa ulimi nje kama jibwa koko
We are measured by our IQ and EI to be Great Thinkers. I want to believe there is someone anakuchukulia kama role model but πŸ‘†is too low.
 
Ni hataree maana wale walinzi wanoingia na magobore walikuwa weshatangulia ndani ,sasa kama rona amewahi kuwarukia ni mtihani.
Ndio raisi Samia uvumilivu ukamshinda kuwaita wanawe kwa makelele watoke haraka....nyie tokeni huko,,,,,bodigadi wakike alisikika akiita maamah.
 
Isije kua hapo Mwananyamala hospt wamemficha mama madudu yao kwa uongo wa Covid 19???
Anyway wote wenye matatizo ya kupumua Mola awajalie shifaa mpone...
 
Kule wanakuwa uchi na watu wako actively kazini , pia hata kuingiza maambukizi. Alitumia akili, yule mwingime angeingia na angejaribu kuzalisha mubaashara
Haaahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…