Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Umenena vyema kabisa kulingana na uelewa wako tokea kijiwe cha wapi mkuu?

".. sasa huyo mama yenu alivyo na roho nyepes, kaamua kukubal na kulazmsha covid ionekane ipo, na wakat haipo, pumbv kabsa, tunajua kuwa kuna chokochoko na propaganda za korona, .."

Nikuombe nisiache kukupatia nukuu hii:

View attachment 1830526

Kinachogomba ni uelewa tu mkuu. Hapana haja ya kupata jazba.

Au nasema uongo ndugu zangu?
kuna mambo pia usipo yajua nyuma ya pazia na ukayakubal jinsi yaonekanavyo mbele tu hakika hutoyaelewa kamwe, mm kupinga hil jambo namaanisha maana najua agenda za hiyo kitu, nmefuatilia kwa ukarbu sana hayo mambo na nina ushahid kuwa suara la covid ni hatar na mataifa yanalichangamkia maana kuna chochote kitu wanahongwa viongoz wa taifa kuikubal covid na vaccine, lkn madhara yake mtayajua tu uko mbelenu, kuna nadharia nying sana kuhusu ujio mpya wa uongoz wa dunia, na sasa ni wakat wake wa maandaliz, najua hata tunaopinga tupo weng dunia nzma lkn hatuwez stopisha maana kuna wajinga wengi pia zaid yetu walioamua kutisariti na kuunga mkono agenda zakishenz kuiharbu hii dunia.....ni mpumbav na mjinga pekee atakaye kubar na kujiona yuko safe sana kumbe mambo hayakwend kiivo, dunia yetu ukiitazama kwa upande wa pili hakika hutoitaman wala kutaka kuendelea kuish maana kuna mambo tunayakubal kumbe ndyo yanatuarbu......sina muda wa kueleza sana lakn kila mtu aamn anachokiamn but WE ARE NOT SAFE......
 
kuna mambo pia usipo yajua nyuma ya pazia na ukayakubal jinsi yaonekanavyo mbele tu hakika hutoyaelewa kamwe, mm kupinga hil jambo namaanisha maana najua agenda za hiyo kitu, nmefuatilia kwa ukarbu sana hayo mambo na nina ushahid kuwa suara la covid ni hatar na mataifa yanalichangamkia maana kuna chochote kitu wanahongwa viongoz wa taifa kuikubal covid na vaccine, lkn madhara yake mtayajua tu uko mbelenu, kuna nadharia nying sana kuhusu ujio mpya wa uongoz wa dunia, na sasa ni wakat wake wa maandaliz, najua hata tunaopinga tupo weng dunia nzma lkn hatuwez stopisha maana kuna wajinga wengi pia zaid yetu walioamua kutisariti na kuunga mkono agenda zakishenz kuiharbu hii dunia.....ni mpumbav na mjinga pekee atakaye kubar na kujiona yuko safe sana kumbe mambo hayakwend kiivo, dunia yetu ukiitazama kwa upande wa pili hakika hutoitaman wala kutaka kuendelea kuish maana kuna mambo tunayakubal kumbe ndyo yanatuarbu......sina muda wa kueleza sana lakn kila mtu aamn anachokiamn but WE ARE NOT SAFE......
Waarabu,Pakistan na wengine wenye mawazo butu kama yako wanayoyaita patriotical walikataa chanjo za polio.Waulize leo wanalia pua zao wakielekeza wapi?Siyo kiiila kitu kukataa tu.Utakwama na kulia.😂😂😂😂
 
kuna mambo pia usipo yajua nyuma ya pazia na ukayakubal jinsi yaonekanavyo mbele tu hakika hutoyaelewa kamwe, mm kupinga hil jambo namaanisha maana najua agenda za hiyo kitu, nmefuatilia kwa ukarbu sana hayo mambo na nina ushahid kuwa suara la covid ni hatar na mataifa yanalichangamkia maana kuna chochote kitu wanahongwa viongoz wa taifa kuikubal covid na vaccine, lkn madhara yake mtayajua tu uko mbelenu, kuna nadharia nying sana kuhusu ujio mpya wa uongoz wa dunia, na sasa ni wakat wake wa maandaliz, najua hata tunaopinga tupo weng dunia nzma lkn hatuwez stopisha maana kuna wajinga wengi pia zaid yetu walioamua kutisariti na kuunga mkono agenda zakishenz kuiharbu hii dunia.....ni mpumbav na mjinga pekee atakaye kubar na kujiona yuko safe sana kumbe mambo hayakwend kiivo, dunia yetu ukiitazama kwa upande wa pili hakika hutoitaman wala kutaka kuendelea kuish maana kuna mambo tunayakubal kumbe ndyo yanatuarbu......sina muda wa kueleza sana lakn kila mtu aamn anachokiamn but WE ARE NOT SAFE......

Pole pole mkuu:

"... namaanisha maana najua agenda za hiyo kitu, nmefuatilia kwa ukarbu sana hayo mambo na nina ushahid kuwa suara la covid ..."

Huku kujua kwako labda utuwekee nyama zaidi?

Tunaambiwa mama aliteua timu ya wataalamu wabobezi wa afya wakiwamo wa virusi kumshauri. Unaona je kujua kwao magwiji hawa kwa mujibu wa ubobezi katika elimu dunia zao? Labda ungelinganisha kujua kwao na kujua kwako ingependeza zaidi?

Ninaamini magwiji hawa wana ushahidi ukiwamo wa vipimo, kugusa na hata wa kuviona kwa macho virusi hivi.

Labda pia ukalinganisha ushahidi wako na wa magwiji hawa?

Huoni kuwa ingependeza zaidi mkuu?
 
Matatizo ya kupumua?
Mmh!!?
Wapo humu?
Covid?
Nyie tokeni huku...
 
Back
Top Bottom