TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Okay, kumbe watu wameichoka ccm ila siyo baba mwenye nyumba?CCM IMECHOKWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, kumbe watu wameichoka ccm ila siyo baba mwenye nyumba?CCM IMECHOKWA
Kwahiyo naye kaponya na kufufua wafu?Kwani duniani wavuta bangi wanakosa?
Pamoja na yesu kuponya na kufufua watu lakini wachawi wakataka afe, sasa wewe unashangaa nini?
Magu aitishe mkutano jangwani bila msanii na Kingwendu aitishe onyesho mwembeyanga hakika nakuambia kingwendu atamfunika.Mwenyewe nilizipitia hizo comments nikajiuliza Magu sijui kitu gani kinamfanya afikiri anapendwa, raia wamemsiliba haswa!
Wooiii woteOkay, kumbe watu wameichoka ccm ila siyo baba mwenye nyumba?
Kwakuwa aliyefariki ni Mtanzania ndani ya Tanzania tena kiongozi mstaafu hakupaswa Ku tweet tena hasa kipindi hiki ..Hali si hali watu, watanzania baadhi kama siyo wote wamechoka, kufuatia kifo cha Jaji mstaafu Mark Bomani, hii ni tweet ya rais wa Tanzania;
"Nawapa pole familia na wote walioguswa na kifo cha Jaji Mstaafu Mark Bomani. Nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa Serikalini katika masuala ya sheria na katika chama akiwa Mjumbe wa Baraza la Wadhamini wa CCM. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina."
Baada ya tweet hiyo hapa chini ni baadhi ya comments za wananchi wake wakimpa pole [emoji23]...
View attachment 1566754
Hao wananampenda au hawajui kinachoendelea?Wanaompenda wengi hawaongei na wengine hawana hata access ya mitandao ya kijamii.
WATOTO NA BABA MWENYE NYUMBA WOTE TABIA ZAO MBAYA.WATOTO WAMERITHI KWA BABA YAOOkay, kumbe watu wameichoka ccm ila siyo baba mwenye nyumba?
Wateule wanampenda ila mimi mwananchi wa kawaida namchukia sana.Kamfukuza kazi ya ualimu baba yangu kisa cheti,walimuajiri vipi?mbona wanafunzi aliokuwa anawafundisha wafaulu kwenda sekondariHao wananampenda au hawajui kinachoendelea?
Hivi bado mnamtafuta Kigogo?Maneno yote yale dhidi ya Rais halafu mnasema hakuna uhuru wa mawazo na kusema mwogopeni Mungu
Hi!! Bageshi! Ukiwa unatekeleza mambo yako huku ukiwa na hofu ya utachukiwa (kutopendwa)utakuwa huwezi kufikia lengo Bageshi!Mwenyewe nilizipitia hizo comments nikajiuliza Magu sijui kitu gani kinamfanya afikiri anapendwa, raia wamemsiliba haswa!
Na hao wanao andika ni washabiki wa chadema, baada ya kupigwa za uso kwenye kampeni hivyo wamenuna.
Wale jamaa wanamfeed taarifa apendazo ili washibe kusema ukweli Ni kuhatarisha usalama wa matumbo yaoMwenyewe nilizipitia hizo comments nikajiuliza Magu sijui kitu gani kinamfanya afikiri anapendwa, raia wamemsiliba haswa!
Upo kundi gani la kunufaika au la wanyonge a futureless people wale mtaji wa wanasiasa thamani yao Ni wakati wa uchaguzi tu.Ni hulka ya binadamu kupenda au kuchukia, Mungu wa mbinguni aliyetuumba kuna binadamu wanamchukia vipi kwa mavumbi Magufuli, muhimu anatimiza wajibu wake Kama Rais tunaompenda tupo tena ni wengi zaidi ya hao wachache wanamchukia.
Acha kujidanganya kwa mgongo wa chupa ya gongo wewe apendwe na Nani huyo? labda wewe na wenzio fisi wa Gamboshi.Ni hulka ya binadamu kupenda au kuchukia, Mungu wa mbinguni aliyetuumba kuna binadamu wanamchukia vipi kwa mavumbi Magufuli, muhimu anatimiza wajibu wake Kama Rais tunaompenda tupo tena ni wengi zaidi ya hao wachache wanamchukia.