Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World



Kupitia account yake ya twitter, mwabukusi amesema, "Ni kweli nimepata complaint ninayotakiwa kujibu ndani ya siku 21. Tuhuma zangu katika complaint hiyo zinahusiana na mkataba wa bandari ambao binafsi nimekuwa nikiupinga kutokana na mapungufu yake. Nitazingumza na vyombo vya habari kuweka msimamo wangu juu ya hili."


 
Hatma yake haiwezi kuwa matatani.. Sisi sio mafala kama wale watumwa WA Enzi za mangungu [emoji28][emoji28]
 
Hizi ni propaganda tu hakuna kitakachoendelea mtasikia kimyaaa muda si mrefu nipo pale nasubiri
 
Hayo maadili ya mawakili yako wapi ili tulinganishe na makosa anayotuhumiwa nayo tuone iwapo yanakiuka maadili hayo?

Na mbona mawakili kama Peter Madeleka, Tundu Lissu na wengine wengi bado ni wakili na wakati huo huo ni mwanasiasa wanaoipiga supana za kwelikweli serikali?

Mbona hawajawahi kuwashitaki kwenye kamati hii (unless ni niwe sina kumbukumbu)?
 
Nchi haiwezi kwenda mbele kwa mawazo ya mtu mmoja, lazima tuchange mawazo.
 
Sawa kiongozi ila ujue Mimi mtu akitaja utanganyika dah namuona adui tu wa hii nchi
Japo mawazo yake yanaweza kuwa na upungufu(ni binadamu nae) ila kila mtu achangie ili mwishoni tupate muafaka mzuri,.
Bila hii michango tutabakia kulipa madeni na mali zetu kukamatwa nje ya nchi au kulipa mamilioni kama tuliyowapa hapo nyuma.
 
Japo mawazo yake yanaweza kuwa na upungufu(ni binadamu nae) ila kila mtu achangie ili mwishoni tupate muafaka mzuri,.
Bila hii michango tutabakia kulipa madeni na mali zetu kukamatwa nje ya nchi au kulipa mamilioni kama tuliyowapa hapo nyuma.
Nimekuelewa kaka nahisi wewe ni raia unaye jielewa saluti kwako I respect
 
Kwani Pascal Mayalla Petro E. Mselewa na mawakili wengine wana maoni gani ?
 
Anaye taka kutugawa ni chadema na mwambukusi Tena walianza kwenye serikali tatu ,mama Samia tunampenda Hadi 2030
Pungunza mihemko ya kishabiki pasipo hoja.. unapiga Kelele kushabikia uchafu kama wale nzi WA KIJANI chooni [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Alafu aliyekwambia Mimi Ni chadema Nani?.. Mimi Ni CCM kitambo sana
 
Nimekuelewa kaka nahisi wewe ni raia unaye jielewa saluti kwako I respect
Mkuu mimi pia nahitaji nchi isonge mbele, tupate wawekezaji. Tatizo ni pale walipa kodi au wananchi hawashirikishwi kikamilifu, hii itasaidia hata ukisikia ndege imekamatwa hulalamiki maana ulishiriki kuamua mustakabali wa nchi, ila akiamua mmoja halafu hasara tupate wengi sio poa..
Ni wakati sasa wa kushirikisha wananchi kwenye maamuzi makubwa ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…