SAI-ELECTRICIAN
Senior Member
- Jun 29, 2016
- 194
- 117
Umenena mkuuNaye avuliwe cheo Kwa kuruhusu mkataba mbovu wa DP World
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena mkuuNaye avuliwe cheo Kwa kuruhusu mkataba mbovu wa DP World
Hatma yake haiwezi kuwa matatani.. Sisi sio mafala kama wale watumwa WA Enzi za mangungu [emoji28][emoji28]Kupitia account yake ya twitter, mwabukusi amesema, "Ni kweli nimepata complaint ninayotakiwa kujibu ndani ya siku 21. Tuhuma zangu katika complaint hiyo zinahusiana na mkataba wa bandari ambao binafsi nimekuwa nikiupinga kutokana na mapungufu yake. Nitazingumza na vyombo vya habari kuweka msimamo wangu juu ya hili."
Anaye taka kuwagawa Ni Yule anayevunja Katiba ya nchi na Si vinginevyoAfungiwe tu mpuuzi anaye taka kutugawa Watanzania Kwa kujifanya yeye ana akili kuliko MAWAKILI wote
Anaye taka kutugawa ni chadema na mwambukusi Tena walianza kwenye serikali tatu ,mama Samia tunampenda Hadi 2030Anaye taka kuwagawa Ni Yule anayevunja Katiba ya nchi na Si vinginevyo
Umejificha Kwa PCHatma yake haiwezi kuwa matatani.. Sisi sio mafala kama wale watumwa WA Enzi za mangungu [emoji28][emoji28]
Lissu wanamhanyaMbona lissu nae Ni wakili na juzi kasema " "matopee" huyo fulushi hajamlalamikia? Au anamuogopa?
Hayo maadili ya mawakili yako wapi ili tulinganishe na makosa anayotuhumiwa nayo tuone iwapo yanakiuka maadili hayo?Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.
kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.
Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.
wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Anaelezea maoni yake. Sio lazima tufanane mawazo,SIO LAZIMA.Afungiwe tu mpuuzi anaye taka kutugawa Watanzania Kwa kujifanya yeye ana akili kuliko MAWAKILI wote
Maoni ya chuki ya kusema kuwa yeye ana akili kuliko Waziri mkuu,wabunge na wakili wengine huyo ni wakili wa ChademaAnaelezea maoni yake. Sio lazima tufanane mawazo,SIO LAZIMA.
NI MAONI YAKE, KWANI UMEWAPIMA???Maoni ya chuki ya kusema kuwa yeye ana akili kuliko Waziri mkuu,wabunge na wakili wengine huyo ni wakili wa Chadema
Sawa kiongozi ila ujue Mimi mtu akitaja utanganyika dah namuona adui tu wa hii nchiNI MAONI YAKE, KWANI UMEWAPIMA???
MAMBO MENGINE SIO USHABIKI..
Japo mawazo yake yanaweza kuwa na upungufu(ni binadamu nae) ila kila mtu achangie ili mwishoni tupate muafaka mzuri,.Sawa kiongozi ila ujue Mimi mtu akitaja utanganyika dah namuona adui tu wa hii nchi
Nimekuelewa kaka nahisi wewe ni raia unaye jielewa saluti kwako I respectJapo mawazo yake yanaweza kuwa na upungufu(ni binadamu nae) ila kila mtu achangie ili mwishoni tupate muafaka mzuri,.
Bila hii michango tutabakia kulipa madeni na mali zetu kukamatwa nje ya nchi au kulipa mamilioni kama tuliyowapa hapo nyuma.
Kwani Pascal Mayalla Petro E. Mselewa na mawakili wengine wana maoni gani ?Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.
Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:
1. Mwabukuzi ni mchochezi.
2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.
3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.
Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.
Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.
Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.
Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!
Wananchi hatutokubali!
Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
View attachment 2704399
View attachment 2704644
Pungunza mihemko ya kishabiki pasipo hoja.. unapiga Kelele kushabikia uchafu kama wale nzi WA KIJANI chooni [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Anaye taka kutugawa ni chadema na mwambukusi Tena walianza kwenye serikali tatu ,mama Samia tunampenda Hadi 2030
Mkuu mimi pia nahitaji nchi isonge mbele, tupate wawekezaji. Tatizo ni pale walipa kodi au wananchi hawashirikishwi kikamilifu, hii itasaidia hata ukisikia ndege imekamatwa hulalamiki maana ulishiriki kuamua mustakabali wa nchi, ila akiamua mmoja halafu hasara tupate wengi sio poa..Nimekuelewa kaka nahisi wewe ni raia unaye jielewa saluti kwako I respect