Jamaa kwenye fomu ya malalamiko anajiita Mheshimiwa😃😃. Mheshimiwa hutumiwa na watu wengine kukuaddress na sio wewe mwenyewe kujiaddressNina hakika kamati ya maadili TLS haiwezi kumvua uwakili Boniface Mwabukusi. Zaidi wakiona kama ana kosa wataishia kumuonya tu.
Alafu Pia Feleshi aache double standard. Mbona anamuogopa Lissu
Ndo maana nikasema kule safari ya wewe kupuuzwa inaendelea kusogea.Huo ni ujinga uliojazwa nao, nawe kwa kuwa ni kondoo unakubali kila unachoambiwa na mchungaji wako, hata likiwa bwabwa.
Sikushangai.
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.
Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:
1. Mwabukuzi ni mchochezi.
2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.
3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.
Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.
Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.
Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.
Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!
Wananchi hatutokubali!
Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
View attachment 2704399
Ndio dawa yenu,Kwa hiyo mtabakia kwenye siasa 😂😂Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.
Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:
1. Mwabukuzi ni mchochezi.
2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.
3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.
Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.
Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.
Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.
Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!
Wananchi hatutokubali!
Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
View attachment 2704399
Nina hakika kamati ya maadili TLS haiwezi kumvua uwakili Boniface Mwabukusi.
Hivi yule Mdude we unamwonaje!?Mdude na Lissu hawa jamaa ni hatari sana yaani wamejikataa ,hawaogopi chochote! Watu wa aina hii ndiyo wanaoleta mageuzi kwenye nchi ,ukiwa muoga muoga hauwezi kuwa mpambanaji.
Big Up Sumu Ya Nyigu.
Iwapo nguvu ya umma itashinda na ushindi huo ukaheshimiwaMdude anafaa kuingia Bungeni.
Nasisitiza Tena naTenaNaye avuliwe cheo Kwa kuruhusu mkataba mbovu wa DP World
Hawajifichi nyuma ya ID fake 😂😂🔥Mdude na Lissu hawa jamaa ni hatari sana yaani wamejikataa ,hawaogopi chochote! Watu wa aina hii ndiyo wanaoleta mageuzi kwenye nchi ,ukiwa muoga muoga hauwezi kuwa mpambanaji.
Big Up Sumu Ya Nyigu.
WEll said!Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.
kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.
Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.
wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili