Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Ujinga mtupu... Yeye Mwabukusi ,huo Uwakili anaendelea nao mpaka majukwaan, kwamba hatakiwi kuongea na vyombo vya Habari kwakua tu wakili?.


Akilibua Joho lake, so ni Mtanzania wa kawaida kabisaaaaa ambaye anatakiwa kutumia Utanzania wake


Suala liko wazi, lina sura ya Sheria na Siasa !!.

FELESHI AMEONYESHA NI MJINGA WAKUPINDUKIA !!
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Awajibishwe kwanza rais kwa kukiuka katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuzitenga bandari za Zanzibar katika mkataba wa DPw
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa
Akishamfutia Lesseni Bandari Yetu itarudi??
 
Kwa sheria hizi mbovu za Tanzania, hata huwezi kujivunia usomi wa sheria. Maana sehemu kubwa utakuta unalazimishwa kuishi kikondoo badala ya kitaaluma.
yule mwamba Sio mwoga. tunatamani tuwe na vijana wasio waoga na weledi kama yeye, kadhaa, kisha nchi itaamka. tumelala mno!


Yesu ni Masihi
 
Dawa ni kumleftisha huyo leshi mmoja ki Jadi kabla hajafanya hayo maujinga yake ili iwe funzo kwa viazi wengine wajibu hoja hakuna namna
Wakiwa wajanja kwa namna yao na sisi wanyonge kwa namna yetu
tusiwe wanyonge moja kwa moja
 
Singapore kuna Mama wamemnyonga mpaka kufa kwa sababu ya kukutwa na gram 30 za pure heroines mwaka 2018 ambazo alikua anazitumia mwenyewe, ngoja niishie hapo
Hilo ni kosa la jinai dunia nzima. Je Mwabukusi?
 
Hilo ni kosa la jinai dunia nzima. Je Mwabukusi?
Mimi namzungumzia Felesi AG wa Tanzania kutetea mkataba wa ovyo na KUKANDAMIZA wanasheria wanaosema mkataba wa ovyo, mtu km huyu angekua Nchi zenye kujua sheria vizuri angekua kashavuliwa u AG na angekua ameshtakiwa kwa kutaka kuliibia Taifa
 
Back
Top Bottom