Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Huyu Feleshi, naye kumbe ni mpuuzi kiasi hiki? Ndiyo maana hata wakati madudu ya bandari yanafanyika, walimpuuza wakijua ni mtu wa namna gani.
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili

Kwann wasianze kushughulikuw wale waliosaini mkataba wa hovyo kwny rasilimali za nchi, mnamshughulikia alietaharuki ubovu wa mkataba mkimpangia namna ya kutaharuki?

Adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi mwenzie.
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Mhhhh ipo kazi.
 
Huyu alikua wapi muda watu wanamuulizia ?

Nchi ina mambo hiyo utakuta hapo AG ni kada ana kadi ya kijani.

Siku akistaafu, unashangaa anajitokeza kugombea kwa chama cha kijani.
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Wanasheria ndo wanawekeana sheria zenye makengeza namna hii
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Atakufa mdomo wazi mda ni mwalim
 
Sisi wenye nchi, tuliye mkasimisha madaraka bosi wako tunaona upuuzi unaofanye wewe mwanasheria unayejifanya upo juu ya sheria. Ila kumbuka unatuongezea hasira ambazo zitampa bosi wako wakati mgumu atakaporudi kwetu kuomba kura,ili achaguliwe kisha akuchague wewe mwanasheria unayetuongezea makasiliko. Endeleeni kumsifia malkia kama kapende kumbe yupo utupu, baada ya kumsitiri kwa kuvesha nguo. Kuna akina Mwambusi wengi wanaisubiri 2025 ili muanyang'a leseni vizuri.
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Shida siyo wakili Mwabukusi kwenda kinyume na maadili ya kazi yake, shida ni kwa wakili Mwabukusi kusifiwa na Jaji Ndunguru.
Mimi nimefanya kazi miaka 30 hadi nimekuwa mkuu wa sheria wa serikali lakini sijawahi kusifiwa, yeye anasifiwaje kirahisi rahisi namna hiyo? Lazima nimtemeshe uwakili wake.
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Lengo hasa ni lipi? Kumnyamazisha au kumkosesha ugali anaoupata kupitia taaluma yake ya uwakili?

Vipi asingelikuwa ni wakili, labda, tuseme, angelikuwa ni mkulima wa kawaida, angechukuliwa hatua gani?

Serikali ijue kuwa kama lengo ni kumnyamazisha, wakimnyang'anya leseni ya uwakili, Watanganyika wanaoamini kuwa anawafanyia kazi nzuri wanaweza wakaamua kuchangishana hela ya kumlipa mshahara mnono kuliko wa Waziri.
 
Lengo hasa ni lipi? Kumnyamazisha au kumkosesha ugali anaoupata kupitia taaluma yake ya uwakili?

Vipi asingelikuwa ni wakili, labda, tuseme, angelikuwa ni mkulima wa kawaida, angechukuliwa hatua gani?

Serikali ijue kuwa kama lengo ni kumnyamazisha, wakimnyang'anya leseni ya uwakili, Watanganyika wanaoamini kuwa anawafanyia kazi nzuri wanaweza wakaamua kuchangishana hela ya kumlipa mshahara mnono kuliko wa Waziri.
Lengo ni kusilence sauti ongozi zinazopinga mkataba huu.
 
Back
Top Bottom