Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Pendekezo

Ushauri Mwanasheria mkuu wa serikali afanye debate na Dr Nshala pale chuo kikuu uso kwa uso kuhusu huu mkataba wa Tanzania na Dubai. Uzuri Dr Nshala hayuko kwenye siasa ni mzalendo na msomi mzuri wa kimataifa.
Hawezi ni muoga na pia anajua uovu wa dola yetu
 
Pendekezo

Ushauri Mwanasheria mkuu wa serikali afanye debate na Dr Nshala pale chuo kikuu uso kwa uso kuhusu huu mkataba wa Tanzania na Dubai. Uzuri Dr Nshala hayuko kwenye siasa ni mzalendo na msomi mzuri wa kimataifa.
Hawezi ni muoga na pia anajua uovu wa dola yetu
 
Pendekezo

Ushauri Mwanasheria mkuu wa serikali afanye debate na Dr Nshala pale chuo kikuu uso kwa uso kuhusu huu mkataba wa Tanzania na Dubai. Uzuri Dr Nshala hayuko kwenye siasa ni mzalendo na msomi mzuri wa kimataifa.
Sisi kama CCM hatutafanya upuuzi huo.

Nyie pigeni kelele huko kwenye mitandao, lakini Sisi kama chama dume, hapo jana, tumeamua DPW apewe bandari zote za Tanganyika aziendeshe bila ukomo wa muda na hatutamtoza chochote.
 
Pendekezo

Ushauri Mwanasheria mkuu wa serikali afanye debate na Dr Nshala pale chuo kikuu uso kwa uso kuhusu huu mkataba wa Tanzania na Dubai. Uzuri Dr Nshala hayuko kwenye siasa ni mzalendo na msomi mzuri wa kimataifa.
Hivi tuna Mwanasheria mkuu kweli Kwa sasa? ....corrupt system....haina maajabu
 
 
Back
Top Bottom