Mwanasheria Mkuu: Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu waliapishwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba, CHADEMA isiwaguse

Mwanasheria Mkuu: Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu waliapishwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba, CHADEMA isiwaguse

Wacha uongo mbona walitoa tamko tangu juzi tenalimo humu JF.
Nimeona taarifa ya habari ITV wanapigiwa simu zinaita hawapokei.... hilo tamko linasemaje na liko wapi
 
Wabunge wanachapa kazi. Kongole halima mdee
View attachment 1635465
Halima Mdee na mkewe Esther Bulaya ni mashujaa [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
IMG-20201126-WA0053.jpg
IMG-20201126-WA0051.jpg
IMG-20201126-WA0052.jpg
IMG-20201126-WA0049.jpg
IMG-20201126-WA0050.jpg
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

Attorney General amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
upinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.
 
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.

Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.

Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!

Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??

Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
Endlea kuota Moto

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

Attorney General amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
Uzuri wenyewe rafiki zetu wazungu huu utoto wa serekali ya awamu hii wanaujua, so spana pale pale. Ni wenye mtindio tu (retards) ndiyo wanaweza kuzugwa na huu utoto!

Piga spana baba Tundu Lissu, pigaaa hadi bombardier zikose spea dadeki!
 
Anayebidi aongelee hili suala kwa sasa ilibidi awe NEC lakini nao simu hawapokei wakipgiwa. Wanaona aibu hata kutoa matamko. Sasa huyu mwanasheria mkuu huo mchakato wa ndani ya CHADEMA alikuwepo mpaka apingane na Katibu wa chama!

Kweli Tanzania ina ajabu sana.
Duh inashangaza kweli kweli hivi mambo ya ndani ya chadema yanamhusu nini huyu
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

Attorney General amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
Hao Kama hawajaomba msamaha ,ni kuwatumia, hakuna pepesa macho,tz ina katiba ,na vyama vina katiba zake,Kama mbwai mbwai,chadema sio chama pekee viko vingi waende huko kwenye vyama vingine,na ingikua moja Kati ya hao ninae mke ,taraka kabla ya mahamuzi ya chama angikuta kwenye msg ya sim yake kabla hajafika mlangoni nyumbani,
 
Yani CHADEMA nilikuwa nakiamini na kukipigania,but sasa ni chama cha hovyo kabisa.Nitakaa tu bila ufuasi wowote ule
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

Attorney General amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
kesi zote zinazomhusu Mdee kufutiliwa mbali
 
Jaji na waziri Mkuu wetu Mstaafu Mzee Joseph S. Warioba na wazi wakati anafungua baraza la Habari Tanzania alisisitiza watanzania tuanze kufuatilia taarifa za vyombo vya habari vya hapa nyumbani. Ingawa alisisitiza waandishi nao waongoze juhudi. Tuvipende vya kwetu nchi yetu istawi.

Nipende hilo gazeti la Uhuru mtambo wa propaganda za kikomunisti!? Siku hizi ukiachia mitandao ya kijamii, media kama redio, tv nk sizifuatilii kabisa maana zimekuwa za kumuabudu jiwe.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema mchakato wa uteuzi na uapishwaji wa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA ulifuata taratibu zote za kisheria na kikatiba.

Attorney General amewaonya CHADEMA kutowagusa wabunge hao kwani mkono wa sheria utawafuata popote walipo.

Chanzo: Gazeti la Uhuru

Maendeleo hayana vyama!
Asitutishie huyo jamaa

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli chama mboga mboga wana huruma. Kama aliyo nayo mbwa mwitu kwa mwana kondoo!
Yaani unahitaji kujitoa akili kweli kutetea upuuzi kama huo. Na hili hawa jamaa wa mboga mboga wanaliweza kweli. Yaani ni kama mtu mzima na 'akili zako' uchojoe na kuanza kuoga mchana kweupe sokoni!
 
Mwanasheria Mkuu AG huyu huyu alitetea Wakurugenzi wa Halmashauri na miji ambao ni makada wa CCM kusimamia Uchaguzi wa Oktoba 28, 2020 tukaona jinsi walivyofanya uchafuzi.

Video ya Kumbukumbu za mwanasheria kuburutwa kupinga haki za vyama ktk kushiriki uchaguzi wa haki na huru:
Sasa Mwanasheria Mkuu AG huyu huyu anatetea mfumo wa serikali ulioamua suala hili la viti maalum kinyume na sheria za uchaguzi za Tume ya Uchaguzi ya Taifa na kanuni bila kusahau taratibu zinavyotaka vyama kufanya ktk teuzi za viti maalum vya wabunge!
 
Yaani unahitaji kujitoa akili kweli kutetea upuuzi kama huo. Na hili hawa jamaa wa mboga mboga wanaliweza kweli. Yaani ni kama mtu mzima na 'akili zako' uchojoe na kuanza kuoga mchana kweupe sokoni!

Nakubaliana na wewe mkuu na hasa hili hapa: NAWATAFUNA labda kama ni mental case!
 
Back
Top Bottom