Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

utarudiii unatambaaa wakikuchakazaaa huko msamaha utaukumbuka😂
 
Huku ushenzini nilipo mke akifumaniwa jamaa wanadai fidia maisha yanaendelea, kwa kweli sijaona aliyeachwa kisa kuchepuka, huku hakunagana mke wa mtu Wala Mme wa mtu yaani watu wamejichokea
Ni wapi uko?
 
Tatizo mwanamke akicheat kama kulipiza kisasi huwa anajikomoa mwenyewe na akibainika imekula kwake
tatizo una perspective ya wanawkae duni sana!
Hiki ndo kinakutesa!
bado uko na akili ya kuamini talaka ni kitisho kwa mwanamke, bado unaamini kujikomoa sijui nini kwa mwanamke, anajikomoa nini na kojo anapata na raha anasikia?
We bana!
Huyo aina ya mwanamke unamfikria hata hayupo kweye dunia ya leo!
 
kisome tena ulichoandika.
talaka zimekuwa nnyingi hasa kwa wanawake,
Nikakuuliza mwanamke akipata talaka , mwanaume anabaki na hiyo ndoa?
Point ilikuwa kama wanawake ndio wanapewa sana talaka na waume zao basi inamaanisha chsnzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanawake
 
Ukikua utanielewa naona kwa sasa changamoto ni umri
 
Point ilikuwa kama wanawake ndio wanapewa sana talaka na waume zao basi inamaanisha chsnzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanawake
Wanapeana. Divorce to each other

Na kila mtu ana become single parent

It hurts both ways

NOTE: mwanamke na mwanaume were never meant to live pamoja.
 
Wanapeana. Divorce to each other

Na kila mtu ana become single parent

It hurts both ways

NOTE: mwanamke na mwanaume were never meant to live pamoja.
Mzee mbona unakuwa mgumu kuelewa. Kunapokuwa na talaka kuna yule anayekuwa wa kwanza kutoa/kuomba talaka mara nyingi anakuwa asiye na makosa. Na utafiti unaonyesha wanaume hasa ndio huwataliki wake zao
 

Kaka, wanawake kama hao wapo. Baadhi hiyo ni tabia yao.

Anakueleza kila kitu, jamaa yake alivyo, familia yake, n.k.
Tamaa ikiwa mbele unamkula. Baada ya kumkula mara tatu nne hivi anakuwa mshikaji wako tena. Anatafuta mwingine naye anaelezewa hivo hivo kama ulivyoelezewa wewe. Kule analiwa tena mara tatu nne hivi. Yule naye anakuwa mshikaji tena. Anaenda kutafuta mwingine. 😄

Hii ni live kaka na bado inaendelea hadi sahivi. Mwanamke anataka kumaliza tarafa nzima. 😂
 
Huyo ni malaya
 
Na mavuzi alinyoaaaa??? Bro poleeee

Ila wanaume wa saiv mnateseka sana, maana wanawake wenu hatutishiki na kitu, hatuogopi kuachika kabisa
 
Unaongea tu nyuma ya keyboard ila ukweli unaujua. Nyinyi wanawake kumuacha mwanaume hata mjue mchepukaji hamuwezi sembuse kuachika
Hutaamini ila wanawake wengi miaka hii hatuogopi kuachika, huo ndo uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…