Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
duuuuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo hawapo ?Mwanamke mwenye waume wawili?
HakunaWapo hawapo ?
Ni wapi uko?Huku ushenzini nilipo mke akifumaniwa jamaa wanadai fidia maisha yanaendelea, kwa kweli sijaona aliyeachwa kisa kuchepuka, huku hakunagana mke wa mtu Wala Mme wa mtu yaani watu wamejichokea
kisome tena ulichoandika.Umeelewa kilichoandikwa?
AHAHAHAHHAHAHHAHAMwanamke mwenye waume wawili?
tatizo una perspective ya wanawkae duni sana!Tatizo mwanamke akicheat kama kulipiza kisasi huwa anajikomoa mwenyewe na akibainika imekula kwake
kisome tena ulichoandika.
talaka zimekuwa nnyingi hasa kwa wanawake,
Nikakuuliza mwanamke akipata talaka , mwanaume anabaki na hiyo ndoa?
tatizo una perspective ya wanawkae duni sana!
Hiki ndo kinakutesa!
bado uko na akili ya kuamini talaka ni kitisho kwa mwanamke, bado unaamini kujikomoa sijui nini kwa mwanamke, anajikomoa nini na kojo anapata na raha anasikia?
We bana!
Huyo aina ya mwanamke unamfikria hata hayupo kweye dunia ya leo!
Wanapeana. Divorce to each otherPoint ilikuwa kama wanawake ndio wanapewa sana talaka na waume zao basi inamaanisha chsnzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanawake
Wanapeana. Divorce to each other
Na kila mtu ana become single parent
It hurts both ways
NOTE: mwanamke na mwanaume were never meant to live pamoja.
Nilishawahi kutakiwa na mke wa mtu and she wanted me badly, only my prudence nikawq nampiga chenga yule dada. She was sayin anahisi jamaa yake kapoteza mvuto nae, pia wanaishi tu for kids but hakuna connections tena
Ndani. So she wanted kuwa na mm.
She was Tellling me alot about her familia na matatizo na mume yake , yani nilikuwa najua matatizo yao probably more than her mother , its bad
Kaka, wanawake kama hao wapo. Baadhi hiyo ni tabia yao.Bustan man atamla. Mpe uhuru mfanye ajielewe, mfanye atambue heshima ya mwanamke ni kukitunza, only for her man . However dont force au kumtisha. III a ameona ni sahihi kugawa nje sawa, wewe utaamua kuachana nae au la
Wakati wewe unampa hizo beat , make sure na wewe hauchepuki…… ila kama unkula nje….. the likelihood kuwa ataliwa ni kubwa
Nilishawahi kutakiwa na mke wa mtu and she wanted me badly, only my prudence nikawq nampiga chenga yule dada. She was sayin anahisi jamaa yake kapoteza mvuto nae, pia wanaishi tu for kids but hakuna connections tena
Ndani. So she wanted kuwa na mm.
She was Tellling me alot about her familia na matatizo na mume yake , yani nilikuwa najua matatizo yao probably more than her mother , its bad
mwanamke akishaanza kuliwa nje, Hata usalama wa familia yako unapungua, not
Recommanded at all . Sikutaka kuwa sabbu ya kuvuruga familia ya watu maana najua angenogewa, mpaka nasepa TZ , yule dada anasema nimembania sana . I am sure vijana wa hovyo walimtembelea
Huyo ni malayaKaka, wanawake kama hao wapo. Baadhi hiyo ni tabia yao.
Anakueleza kila kitu, jamaa yake alivyo, familia yake, n.k.
Tamaa ikiwa mbele unamkula. Baada ya kumkula mara tatu nne hivi anakuwa mshikaji wako tena. Anatafuta mwingine naye anaelezewa hivo hivo kama ulivyoelezewa wewe. Kule analiwa tena mara tatu nne hivi. Yule naye anakuwa mshikaji tena. Anaenda kutafuta mwingine. 😄
Hii ni live kaka na bado inaendelea hadi sahivi. Mwanamke anataka kumaliza tarafa nzima. 😂
Na mavuzi alinyoaaaa??? Bro poleeeeUkweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, wanaume huwa wanadhani wanaweza lakini hawawezi.
Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume
KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.
KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.
Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.
KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.
Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.
Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Learn or perish
🤣🤣🤣mnanipenda nyie kama ninavyowapenda nimeona tag nimecheka sana, na vuzi lilinyolewa nakwambia ili jamaa akute kitu laini asipate kikwazo,,, ukifikiria hivyo pumbu zinanywea kwa ndani🤣🤣🤣
Na mavuzi alinyoaaaa??? Bro poleeee
Ila wanaume wa saiv mnateseka sana, maana wanawake wenu hatutishiki na kitu, hatuogopi kuachika kabisa
Nipo hapaHakuna mwanamke asiyeogopa kuachika
Nipo hapa
Hutaamini ila wanawake wengi miaka hii hatuogopi kuachika, huo ndo uhalisiaUnaongea tu nyuma ya keyboard ila ukweli unaujua. Nyinyi wanawake kumuacha mwanaume hata mjue mchepukaji hamuwezi sembuse kuachika