Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa Uzi huu hautakuwa na mwanaume[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app

Unaweza kukataa mtu mwenya hei na wewe na ukampenda mtu mwenye shari na wewe.

Hili hutokea sana. Mtazamo waki una dosari lukuki.
 
Hiyo namba 5 ni cha mtoto...ongeza namba 6..wasaka pesa kama mimi...narudi home baada ya mwezi mmoja au miwili....nyambafu.
 
Mwanaume kama kimeo ni kimeo tu kazi haifanyi mtu kuwa na michepuko wangapi hawakazi hizo ila wana masuria mia kidogo

Unachosema uko sahihi ila lazima ujue kuna mazingira hatarishi watu wanaishi ambayo humshawishi mtu kufanya mabaya.

Umakini wa kuchagua mwenza ni jambo la kidharura na ni makosa kulipuuza.

Swali la msingi vigezo gani unatumia kumpata mwenza. Hapa ndipo wengi hukosea.

Ila kila kitu kipo wazi.
 
Mimi Ni Dereva wa Tipa la mchanga ila ninakipaji cha Kuyajua/Kuendesha Aina Nyingi za Magari Nimeitwa na Mabos kibao niende nikachukue Magari ya nje ya Nchi nikagoma Coz Wife Anapenda Sana Dudu! Haipiti Siku 2 Mbili hajaomba dudu sasa huwa nawaza nikisafiri miezi 3 si Itakuwa balaaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa herufi kubwa kaisahau. Itakuwa hajawahi penda maana sio bure aisee.


Kupenda kupita kiasi ni ugonjwa na kujiendekeza.

Ukiona umempenda mtu kupita kiasi mpaka ukionacho machoni mwako na kinachokujia akilini mwako ni mapenzi ujue una kasoro.
 
Back
Top Bottom