Mwanaume anapooa ni lazima kuzingatia uwezo wa kiuchumi, kielimu na kidini kwa familia ya mwanamke anayemuoa?

Mwanaume anapooa ni lazima kuzingatia uwezo wa kiuchumi, kielimu na kidini kwa familia ya mwanamke anayemuoa?

Mkongwe nakupa mbinu muhimu unaleta ubishi, endelea sasa
Una uhakika mimi sio mkongwe????

If you want peace oa with in your tax bracket

Oa elimu inayotosha kumanage watoto na familia maana mama ndo mlezi key wa watoto

Oa wa imani yako au imani zinazoendana,

mkipishana imani mmoja awe tayari kucompromise

Sasa jichanganye kama hujakimbia familia kwa majuto makubwa
 
Una uhakika mimi sio mkongwe????

If you want peace oa with in your tax bracket

Oa elimu inayotosha kumanage watoto na familia maana mama ndo mlezi key wa watoto

Oa wa imani yako au imani zinazoendana,

mkipishana imani mmoja awe tayari kucompromise

Sasa jichanganye kama hujakimbia familia kwa majuto makubwa
Mapenzi yana nguvu kuliko hizi blah blah zote, ndio maana nakwambia muhimu mpendane kwa dhati , mengine yanamalizwa tu kawaida
 
Una uhakika mimi sio mkongwe????

If you want peace oa with in your tax bracket

Oa elimu inayotosha kumanage watoto na familia maana mama ndo mlezi key wa watoto

Oa wa imani yako au imani zinazoendana,

mkipishana imani mmoja awe tayari kucompromise

Sasa jichanganye kama hujakimbia familia kwa majuto makubwa
Sawa
 
Mwanamke wa kuoa ni muhimu kwao na kwa mwanaume kuwe na uwezo sawa kiuchumi,, kielimu na kidini???.

Wanajukwaa habari zenu,natumaini mu wazima wa afya .mada ni kama ilivyotajwa hapo juu.

Katika miaka ya hivi Karibu swala la kutafuta mwenza wa kuishi naye limekuwa gumu kidogo baina ya vijana wa Karne hii haswa kwa vijana wa kiume.naomba nipate mawazo ya wakubwa ambao kidogo mmeshavuka hatua hii na wenye uelewa pia.

Kwenye swala la kupata mwenza wa maisha kwa mwanaume anayetafuta mwanamke wa kuoa,,swala la uwezo wa kiuchumi,,kielimu na kidini kwa ujumla ni Mambo ambayo mwanaume anapaswa kuzingatia ili kuondoa utegemezi mkubwa kutoka familia ya mwanamke au sio swala la muhimu?? ,

Maana siku hizi Binti akiolewa ni sawasawa na familia yao yote imeolewa na kumtegemea mwanaume husika.
Kwa mfano,kijana ambaye kwao wako vizuri kuanzia kielimu,, kiuchumi,,.anaweza kuoa mwanamke ambaye kwao hawako vizuri kiuchumi na kielemu ukizingatia ni dini tofauti pia.???

NB:ukizingatia kwamba mwanaume ndio kwao Kuna uwezo na kwa mwanamke ni dunia sana
Suala la uchumi ni muhimu kuzingatia. Ukioa kwenye familia masikini mzigo utakua mkubwa kwako.
 
Hivyo kwa maana yako ELIMU sio ya msingi au sio kigezo Cha kuzingatia kwenye kutafuta mwanamke wa kuoa?
Yah Elimu siyo kigezo cha msingi kwenye kutafuta Mke, Muhimu Manaume ajue umuhimu wa Elimu hata kama Mwanaume haja soma, na Mwanaume hata kama hana Elimu lazima atajua umuhimu wa Elimu kwa kizazi chake hii atajua kutokana na Mazingira ya kazi zake za kila siku kwahiyo ni vigumu kuzembea Elimu za watoto wake.
 
Mimi ni muislam, nimeoa mwanamke ambae alikua wa din nyingine, katika vitu vyingi mke wangu ananifaa sana ila changamoto ipo kwenye uchumi wa kwao
Wadau wanapochangia kua zingatia uchumi asee jitahidi uwaelewe, inakua mzigo sana
Ila kwa upande wangu nimeamua kuyavumilia na kuichukulia kama familia yangu kwakua mke wangu amekua mwema sana kwangu hivyo inanipa moyo kuona u duni wa familia yake kwa kiasi niweze kusaidia japi inanielemea
 
Mwanamke wa kuoa ni muhimu kwao na kwa mwanaume kuwe na uwezo sawa kiuchumi,, kielimu na kidini???.

Wanajukwaa habari zenu,natumaini mu wazima wa afya .mada ni kama ilivyotajwa hapo juu.

Katika miaka ya hivi Karibu swala la kutafuta mwenza wa kuishi naye limekuwa gumu kidogo baina ya vijana wa Karne hii haswa kwa vijana wa kiume.naomba nipate mawazo ya wakubwa ambao kidogo mmeshavuka hatua hii na wenye uelewa pia.

Kwenye swala la kupata mwenza wa maisha kwa mwanaume anayetafuta mwanamke wa kuoa,,swala la uwezo wa kiuchumi,,kielimu na kidini kwa ujumla ni Mambo ambayo mwanaume anapaswa kuzingatia ili kuondoa utegemezi mkubwa kutoka familia ya mwanamke au sio swala la muhimu?? ,

Maana siku hizi Binti akiolewa ni sawasawa na familia yao yote imeolewa na kumtegemea mwanaume husika.
Kwa mfano,kijana ambaye kwao wako vizuri kuanzia kielimu,, kiuchumi,,.anaweza kuoa mwanamke ambaye kwao hawako vizuri kiuchumi na kielemu ukizingatia ni dini tofauti pia.???

NB:ukizingatia kwamba mwanaume ndio kwao Kuna uwezo na kwa mwanamke ni dunia sana

Unapotafuta mke, hakikisha ya kuwa na wewe una sifa zinazo endana na huyo unaye muhimu taji.

Yaani, unapotaka mke mzuri wa tabia, dini hakikisha na wewe unazo sifa hizo, kinyume chake ukubali au usikubali utapata wa kufanana na wewe.
 
Unapotafuta mke, hakikisha ya kuwa na wewe una sifa zinazo endana na huyo unaye muhimu taji.

Yaani, unapotaka mke mzuri wa tabia, dini hakikisha na wewe unazo sifa hizo, kinyume chake ukubali au usikubali utapata wa kufanana na wewe.
Hayo ni maneno tu, wapo waaribifu kibao na wanaoa wake wema. Infact badboys ndio wanakua na uwezekano mkubwa wa kupata mke mwema kwa sababu wana uzoefu na tricks, cheating codes na character za wanawake wa kila aina.

In our modern days, dating is a jungle. Mapenzi yameingiliwa na mdudu ni mwendo wa ubinafsi na kuviziana tu.

Mwanaume ana vigezo vinavyombana kikubwa zaidi ni kigezo cha pesa, na mwanamke ana vigezo vinambana kikubwa zaidi ni past yake na flactuation ya mwili wake. Hapo sasa ndipo kila mtu acheze karata zake kwa umakini. Ukitumia peak yako vibaya ni uzembe wako na consequencies zake utazibeba peke ako.
 
Hayo ni maneno tu, wapo waaribifu kibao na wanaoa wake wema. Infact badboys ndio wanakua na uwezekano mkubwa wa kupata mke mwema kwa sababu wana uzoefu na tricks, cheating codes na character za wanawake wa kila aina.

Inaonekana hujui maana ya wema kijana. Sasa wewe ndio unaleta maneno pasi na uhalisia.

Hili nakupa miaka mia ulete ushahidi, zaidi ya kuishia mbona fulani kwa hivi mbona kadha. Kama unavyoashiria hapa.

Kwako wema unafikiri wema ni kutotoka nje au mfano wake, wema ni tabia ya ujumla, na hakuna mwanamke mwema anayekubali kuwa na mwanaume muobu, hili halipo Duniani na hakijawahi kuwepo. Sababu uadilifu unaenda kinyume na hilo.
In our modern days, dating is a jungle. Mapenzi yameingiliwa na mdudu ni mwendo wa ubinafsi na kuviziana tu.

Kuna kanuni haziathiriwi ba muda na ndio muongozo wetu sisi. Ukipita kanuni hizo tarajia salama na kufaulu, hata Dunia ibadilike iwe vipi.

Kwa ufupi Kuna ulimwengu wetu sisi na Kuna ulimwengu wenu nyinyi vichwa mchungwa, na ni mashariki na Magharibi, nyinyi mnatushangaa sisi na sisi kadhalika tunawashangaa nyinyi.
Mwanaume ana vigezo vinavyombana kikubwa zaidi ni kigezo cha pesa, na mwanamke ana vigezo vinambana kikubwa zaidi ni past yake na flactuation ya mwili wake. Hapo sasa ndipo kila mtu acheze karata zake kwa umakini. Ukitumia peak yako vibaya ni uzembe wako na consequencies zake utazibeba peke ako.

Hii ni kwa wote wanaofikiria kitoto, asili inataka haki stahiki kwa kila mmoja, ndio maana tabia njema ikawa ni haja na dharura kwa pande zote, yaani mwanamke na mwanaume.

Sisi wanaume ni wasimamizi kwa Wanawake.

Hata mwanaume naye anahukumiwa na yaliyopita.
 
Back
Top Bottom