Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Duh! Ni kubaya sana huko inaonesha. Huku mkongo, kule waganga, na hizi mambo zilitakiwa kuwa burudani. Kweli Tanzania imelaaniwa.
 
Hawa wanapatikana wapi, nataka kulogwa nitulize moyo- kumwagilia moyo kunasababisha nafsi isistawi nataka kulogwa nitekwe nipotee mazima
Utakutana nao tu
 
Masikini 💔💔💔ndio maana mnakufa haraka.mnamengi mnayoyapitia.poleni
 
Fafanua mkuu. Unaposema "kwa asili" unamaanisha nini. Hatuwezi kwa nguvu ama ujanja wetu. Ndio maana tunamhitaji Mungu.

Jesus is Christ!
Kufanikiwa hili, unatakiwa kwanza uwe na upungufu wa nguvu za kiume ili kupunguza ile hali ya kutamani tamani
 
Duhhh!! Huu utamaduni hata Cuba wanasubili.. si kuuana huku
 
Kuna fala alinifanyia hivyo akishirikiana na mama yake , wakakuta siingiliki kiboya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…