Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.

You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.

Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.

Truth be said that's it,

Kichwamoto is on fire against fellas.

Bugia kama bagia.
 
Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.

You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.

Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.

Truth be said that's it,

Kichwamoto is on fire against fellas.

Bugia kama bagia.
We oa inatosha Mkuu sio kila mtu anahitaji kukaa na Mwanamke hiyo Kazi ya kuosha sufuria mbona ni ya kawaida Sana. Ukilinganisha na kuishi Mwanamke ambaye Hana content kichwani
 
Back
Top Bottom