Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ushanivuruga sasa! Anyway ngoja nilipe mia mbili nikajilipue huko chooniBaby care for lifeeeee
Usirudie kutaja babycare ovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushanivuruga sasa! Anyway ngoja nilipe mia mbili nikajilipue huko chooniBaby care for lifeeeee
namwanamke anaegoma kuolewa jee?Nakazia
Ataolewa kwa lazimanamwanamke anaegoma kuolewa jee?
Raha jipe mwenyeweUshanivuruga sasa! Anyway ngoja nilipe mia mbili nikajilipue huko chooni
Usirudie kutaja babycare ovyo
Nimesema polepole hawajasikiaUnataka baby care zipande bei.
[emoji1][emoji1]
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌Raha jipe mwenyewe
Kwani kuoa ni lazima?Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
msalimie shemeji.Ataolewa kwa lazima
Kwani kuoa ni lazima?Nimesema polepole hawajasikia
Hata ukioa mwanamke akikataa kupika utawapikia wanao wale huwezi shindana na mjinga,Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Me hata sijuiKwani kuoa ni lazima?
Kwani kuoa ni lazima?Hao kataa ndoa wengi wao bado wanaishi kwao na kwa ndugu. Mwanaume kamili huwezi kukataa ndoa
Kuna jamaa alikuwa ameoa, anatupigia kelele za kuoa.Me hata sijui
HahahahahUkweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Unapiga mimba unachukua watoto wako, unawapikia tuu fresh huku unawaina wanakuakua . wakianza kukua dingi unawafundisha kupika wakijua unastaaff sasa wanao wanakua wanakupikia unakula matunda yako kilaini sana,.Kwani kuoa ni lazima?
Huwa mnafikiria kuoa ni jambo jepesi sana km unaenda kununua nyanya sokoni?
Kuna jamaa hapa ninapoishi alikuwa anapiga kelele kama za kuoa, kachapiwa mke wake na sasa ni single.
Wanawake wenyewe hawa 50/50, ndani anataka yeye ndiyo awe na sauti. Mwanamke anasikiliza ndugu zake.
Bora kutafuta hela, mali na watoto (piga mimba chukua watoto)