Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wa sasa ni pasua kichwa.Unapiga mimba unachukua watoto wako, unawapikia tuu fresh huku unawaina wanakuakua . wakianza kukua dingi unawafundisha kupika wakijua unastaaff sasa wanao wanakua wanakupikia unakula matunda yako kilaini sana,.
Unanunua na kigari siku moja moja dingi unatoka out na machalii (wanao) unaenda kula nao bata . Na hao ndiyo ndugu zako maisha safi
Kuliko kuoa mwanawake anayepiga makelee tuu na hata kupika na kupasi nguo hajui.
Huna akili, matrilineal jobs na patrilineal jobs hujulikana kwa misingi ya mila, desturi na tamaduni za Africa, unatuletea mahusiano ya ndoa za kifilipino Bongo?Sasa kama unaoa ili usaidiwe kupika basi unashida mzee ndio ninyi kesho mnakuja hapa kulalamika oh mke wangu anamchepuko bodaboda
Sawa mkuu kwahiyo wewe unaoa ili upikiwe sio?Huna akili.
Alaa kumbe wengine mnaoa ili mupate watu wa kukupikieni?Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Kuna tafauti kubwa sana baina ya kuoa na kuishi na mwanamke. Unaweza kuishi na mwanamke bila ya kumuoa, unajua hilo au bado uko century kadhaa nyumaMwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili
Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
Sioni shida kwa anaesema kataa ndoa ila nitaingia wasi wasi akisema kataa kusex na mwanamke!!!!!Ngoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali
Yoyote mwenye akili hawezi kuishi na Mwanamke,ukiona wewe umeweza kuishi na Mwanamke jua una akili za kawaida.Kumbuka 99% ya Wanaume Duniani wana akili za kawaida ndio maana tunaweza kuishi na mwanamke.Mwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili
Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
🤣🤣🤣Wewe shida yako nini ...oa weka mwanamke ndani ishi nae vizuri yakikukuta ni wewe, we ya wenzako yanakuhusu Nini....🤣Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Duh aseInamaana hujui jinsi gani ninavyokupenda na niko tayari kukutahamini, kukutunza, kukujali na kukuenzi katika penzi letu Mrembo?
Ndege yohana umetishaDuh aisee yaani me hata nikioa kwa jinsi navyopenda kupika lazima niwe napika...najisikia amani sana kukatakata vitunguu,hoho,nyanya,karoti,biringanya, nyanya chungu kisha kuzimwagia kwenye nyama,samaki au dagaa...
Mm najitegemea binafc ni mwaka wa 3 huu, kiuchumi nipo vzr tu, Sina tatzo lolote la nguvu za kiume wala Sina historia yyte ya kuumizwa na mwanamke Ila "suala ndoa limenikalia kushoto"na nipo kwenye mahusiano na bitches kadhaa wanawake kila muda ninapohtaji nakula.Hao kataa ndoa wengi wao bado wanaishi kwao na kwa ndugu. Mwanaume kamili huwezi kukataa ndoa
[emoji23]hv hii product ya bby care kweli bdo ipo? Umenikumbusha smell yke ile aisee kitambo sanaBaby care for lifeeeee
Ni kweli Kuna shida mahaliNgoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali