Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
ktk ndoa content kichwani inayotegemewa zaidi ni ya mwanamume,sasa kama unadhani utamkuta mwanamke na content ya kukusaidia sana,endelea tu na kampeni ya kataa ndoa[emoji16][emoji16].We oa inatosha Mkuu sio kila mtu anahitaji kukaa na Mwanamke hiyo Kazi ya kuosha sufuria mbona ni ya kawaida Sana. Ukilinganisha na kuishi Mwanamke ambaye Hana content kichwani
Kwamba ukirushia vitunguu na nyanya ukiskia ile shwaa shwaaa unajiskia amani sana sio mkuu? 🤣Duh aisee yaani me hata nikioa kwa jinsi navyopenda kupika lazima niwe napika...najisikia amani sana kukatakata vitunguu,hoho,nyanya,karoti,biringanya, nyanya chungu kisha kuzimwagia kwenye nyama,samaki au dagaa...
anayepinga ndio sio mwanaume kamili...ila anayeogopa hana shida maana huwezi kuoa ilhali uchumi wao ni kujitafuta sana lazma uogopeMwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili
Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
kaka mwanamke mwenye content anakuaje?We oa inatosha Mkuu sio kila mtu anahitaji kukaa na Mwanamke hiyo Kazi ya kuosha sufuria mbona ni ya kawaida Sana. Ukilinganisha na kuishi Mwanamke ambaye Hana content kichwani
Maudhui ndo content yenyewe kuishi katika usafi wa Mwili roho na Matendo.kaka mwanamke mwenye content anakuaje?
ww oa mwanamke mwenye heshima,mchapakazi,mwenye hofu ya Mungu,msafi na mwenye roho nzuri
CONTENT ya mwanamke inasaidia nn katika ndoa?
kama hana usafi wa mwili,roho na matendo...huyo muepuke kama ukomaMaudhui ndo content yenyewe kuishi katika usafi wa Mwili roho na Matendo.
Mjomba we kama ikiwezekana waoe wote mpaka wangu kama unamfaham nimerizika na masufuria na mabeseni ni kheri ya haya kuliko kutembea barabarani kusema peke yang kwa wanawke wasiojua wanataka nnUkweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
mkuu nna watoto wa2 nna michepuko mi4 nkitaka papuchi muda wwte napata sasa apo kipi cha ziada mpaka niweke ng'ombe ndan na wakat maziwa napataMwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili
Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
Shit gets outrageous
Kumbe wengi mmeoa kwasababu ya uvivu wa kupika?
Kataa ndoaNgoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali
define mwanaume kamiliHao kataa ndoa wengi wao bado wanaishi kwao na kwa ndugu. Mwanaume kamili huwezi kukataa ndoa
NDOA NI KIFOKuna jamaa Iringa kapigwa rungu na mke wake mpk umauti umempata.
Jamaa asingeoa, angekuwepo mpk sasa hivi
Ina onesha hata maana ya ndoa huelewi na hujui.Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Una elewa maana ya neno ndoa?Mwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili
Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
Ua elewa maana ya neno ndoa?Ngoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali