Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

Mleta mada ni sawa na brother K wa kipindi cha futuhi

Wakukurupuka....
 
Una elewa maana ya neno ndoa?

Kinacho pingwa hapa ni ndoa.

Sio mwanamke.

Unaweza kuishi na mwanamke bila hata hiyo ndoa.
 
We oa inatosha Mkuu sio kila mtu anahitaji kukaa na Mwanamke hiyo Kazi ya kuosha sufuria mbona ni ya kawaida Sana. Ukilinganisha na kuishi Mwanamke ambaye Hana content kichwani
Rais wa zamani wa US Barack Obama alisema anapenda kuosha vyombo, ni kazi inayomtuliza mawazo.

Na huyo ni mtu aliyeongoza dunia, ana mke na wafanyakazi, na mashine za kuosha vyombo.

Lakini anajua kujitegemea, anajua nidhamu ya kazi, anajua mke wake si mtumwa wake.

Huko kwetu mtu anaona akioa kapata mtu wa kupika, kuosha vyombo, kufua na kulea watoto.

Ndiyo maana umasikini hauishi.
 
Upo sahihi sana
 
Achana na wajinga hao. Unaanzaje kupinga msingi wa familia. Hao no vijana wa ovyo wiolelewa na mtaa so wana intrinsic bifu na familia.
 
Hata maana ya neno ndoa hujui.

Mna kurupuka tu kuandika.

Kuishi na mwanamke sio lazima mfunge ndoa.

Mnaweza kuishi bila hata hiyo ndoa.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha.....! Sasa mimi na wewe asiyejua maana ya neno ndoa ni nani?

Mnawezaje kuishi maisha ya ndoa bila kufunga ndoa? Ndoa ndiyo hayo maisha ya wawili wanapoishi wawili kama mume na mke! Nadhani unachanga ndoa na harusi!

Ndoa ni tendo la kuishi pamoja kama mume na mke. Hii inahusisha kushiriki tendo la ndoa.

Aliyekurupuka kuandika ni wewe siyo mimi. Rudi shuleni.
 
Kwamba uki ishi pamoja na mwanamke hiyo automatically ni ndoa?
 
Kwamba uki ishi pamoja na mwanamke hiyo automatically ni ndoa?
Ni jambo la ajabu kidogo lakini katika ulimwengu wa kiroho tayari nyie ni mume na mke! Kiserikali pia ukiishi kindoa na mwanamke kwa muda wa kama sikusei miezi sita huyo ni mke wako tayari na ana haki zote kisheria kama mkeo!

Mkifunga ndoa Kanisani na msifanye tendo la ndoa hiyo ndoa ni batili na hakuna ndoa hapo! Ndoa inafungwa na wawili kitandani shahidi yao namba moja ni Mungu! Narudia tena, mkifunga ndoa Kanisani na msifanye tendo la ndoa sikumbuki vizuri baada ya muda gani toka ndoa ifungwe, kama mmoja akalalamika kwa kanisa lililofungisha hiyo ndoa litaivunja hiyo ndoa!
 
Mbona umeandika ufara unawashauli watu kuoa wakati mana make ya siku hizi ni ma shenzi bora kwa ambao hawajaoa wajibakie single unaishi kwa uhuru
 
Kupanga ni kuchagua maitaji yake sio maitaji yako kwa upande wake yuko sawa na haina haja yakumtusi
 
Mwanamume anayeogopa kuo sio mwanamume kamili

Yani ana mapungufu na ndio maana anaogopa kuishi na mwanamke
Wengine tunataka ku cerebrate tu maisha na kwenye familia zenu watoto wetu wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…