Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Wao mbona hawatutoi out na wanafanya kazi?

Kikawaida mwanamke hufanya vile afanyavyo mumewe.
Mume Akiwa mchoyo mwanamke anakuwa mchoyo mara MBILI.
Mume Akiwa anajali wanawake wanajali Mara mbili Yale.

Mimi huwa nashangaa ninaposikia watu wakisema wanawake hawatoi pesa wakati Sisi wengine hizo pesa tangu tunasema sekondari pesa Zao tumezila Sana Mpaka sasa tuwatu wazima
 
Mkuu ulivohamaki nikajua unamzungumzia mama, nilishaanza kujutia na michozi Kwa mbali ilikuwa inanilenga,

Ila nilivoona mbele umesema mke ikabidi nianze kucheka Sasa.

Wanaume wenzangu nawaambieni Kila siku chagueni wanawake wakujiwekeza kwao, sio Kila mwanamke anastahili jasho lako Hawa wengine ni washenzi kabisa.

Sijasoma andiko lako mpaka mwisho ila uliposema tu pekeka mkeo out nikajua huyu tayari.

Kuna mawili yako kwako kijana Moja hujaona lakini la pili Kuna kiumbe mnaibiana na hajakuonyesha upande wake wapili.

Siku akikuonyesha huyo ni nani utakuja kuomba radhi Kwa maneno yako haya.

Kiongozi wanawake wameisha, wanawake hamna . Hawa tulionao ni washirika na shetani.

Nasema kaka ngoja kwanza uweke hivyo viumbe ndani uone.

Wewe wapigie tu makofi Kuna siku utakuja niambia mim, hao viumbe wajuaji, dharau, hamnazo, kejeli na Kila aina ya ujinga unaoujua wewe wanao.

Ni wachache saana kiongozi wanastahili hayo.
MWANAUME BORA LAZIMA UMTOE OUT MKEO NA KUMNUNULIA ZAWADI. HAIWEZEKANI MWAKA MZIMA HUJAFANYA HIVYO. HUO NI USHENZI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Siku 365 na masaa kadhaa Mkeo na watoto wapo nyumbani kama gereza la Kinguruila. Kila siku kupika chakula hapo nyumbani huyo Mkeo hachoki tuu. Huyo Mkeo hakinaiwi tuu kila siku Kula chakula anachopika yeye

Hivi unaakili sawasawa?

Miezi kumi na mbili mwanamke hata kumnunulia zawadi, hata nguo ya elfu kumi tuu. Wapi! Hata kumnunulia kiatu cha elfu saba wapi!

Mkeo ananuka jasho kwa kukosa matunzo. Hata kumnunulia Sababu ya elfu mbili na perfume za elfu tanotano wapi!

Alafu unataka huyo mwanamke akuheshimu, akupende, akuchekee chekee. Mtu kafubaa kama nguo za gereji atapataje Hilo tabasamu?

Alafu wanaume wa aina hii ndio haohao utawakuta wakishupalia hawataki Mke afanye Kazi ili wamchitishe, wamfubaze kisha waseme wanawake wanawahi kuzeeka wakati wao ndio wamewazeesha. USHENZI mtupu!

MKE Hana furaha kwa sababu umeshindwa mambo madogo ataachaje kuzeeka.
Unakuta mdada wa Miaka 28 tuu kazeeka utadhani Anamiaka 50 huko.

Alafu unajiita Mwanaume. Hakuna mwanaume hapo.
Mwanaume ni majukumu. Kujua kuhudumia Mkeo na watoto

Kujua kutumia rasilimali za familia kuinufaisha familia na kuifanya iwe na furaha.

Unataka Mke awe kama Msukule wako hapo. Yaani yupoyupo. Ananuka mijasho. Kapauka na kufubaa. Anavaa nguo Moja kama Sanda ya maiti. Dadeki! Acha USHENZI dogo.

Wanawake wafanye Kazi. Nawe kama Mume lazima ufanye Kazi zaidi kuliko mkeo.

Mtoe Out Mkeo.
Amua siku Moja muende hata Hoteli ya Nyota tano mkalale huko. Mkafurahie maisha. Usitake kuniambia mwaka mzima mkijipanga utakosa pesa ya kujivinjari na Kula bata na familia.

Wanasome ndoa ndoani ni Makafiri, wapagani na Waabudu mashetani.
Haiwezekani mkutane watu mnaopendana kwa hiyari yenu alafu ati mje mseme Ndoa ndoani.
Kama kuna Mmoja alileta Utapeli, hakuwa anamaanisha, Fukuza, omba Talaka. Tafuta mwingine mnayeendana.
Hivyohivyo Mpaka upate.

Mashetani ndio hugeuza kitu kizuri kuwa Kibaya. Ndio hao wanaokuambia ukiingia ndoani mambo huwa Mabaya.


Haiwezekani wewe kila siku au kwa wiki unaenda Bar kujivinjari, unaenda kuangalia mipira huko kwenye mabanda umiza, unaagiza na bia Moja mbili Tatu alafu Mkeo na familia mwaka mzima umeifungia ndani hutaki kuitoa out. Huo ni USHENZI ambao hata Wanyama na mashetani wenyewe hawawezi kuufanya.

Mtoe Mkeo Out
Itoe Familia yako Out angalau kila baada ya miezi mitatu ikiwa uchumi wenu ni hafifu.
Lakini kama uchumi wenu ni mzuri mtoe Out Kila mwezi.
Kama unamuda zaidi mtoe kila baada ha wiki mbili.

Alafu Kule Out sio lazima muagize vitu vingi vya gharama. Ukiwa na elfu hamsini tuu kama unafamilia ya watu watano inatosha Kabisa.

Kama ni wewe na Mkeo. Wala sio gharama kubwa.
Kilo Moja ya nyama ya mbuzi ya kuchoma ni elfu 16-20. Agiza kilo Moja na nusu. Agiza na kinywaji kama ni mnywaji wa pombe pombe nyingi za kawaida bei yake ni 2000 Mpaka 5000 kama mpo wawili ni Chupa mbili tuu zinawatosha.
Pigeni Stori mfurahie.

Siku nyingine sio lazima muagize nyama. Mnaweza kuagiza tuu juisi hata ya miwa ambayo haizii elfu tano.

Nendeni Beach zipo za bure. Kama mnahitaji Faragha nendeni za kulipia.

Sio mambo mengine muishie kuyaona kwenye Filamu kama watoto. Ninyi tayari ni watu wazima.
Msisubiri muanze kuumwa na uzee uwakabili..

Mwaka 2025 uwe mwaka Mkubwa kwenu. Mwaka wa Familia. Mwaka wa kuifurahisha na kujifurahisha na familia yako.
Maisha ndio hayohayo. Hakuna maisha mengine.

Haiwezekani ufurahishe wanawake wengine huko alafu uache Mkeo aliyekuzalia watoto. Hiyo kama sio Laana ni nini? Huko kama sio kulogwa ni nini?

Haiwezekani ufurahie pesa zako na marafiki mkienda Bar alafu Mkeo na watoto ati wao hawataki hizo Raha. Huko kama sio kulogwa au Laana ni nini?

Angalia jamii zilizobarikiwa ukajifunze kwao.
Jamii zilizobarikiwa kama Watibeli, wazungu, Waarabu, Wairan, Wachina n.k.
Family First.
Yaani Jambo lolote la furaha Familia lizma ifurahie Kwanza ndipo wengine wafuate. Wengine ni ndugu, jamaa na marafiki.

Wazungu wanatoka na Familia Zao maelfu ya kilometres kuja Afrika, kwenda Duniani kujivinjari.
Wewe unashindwaje kutoka out hata mtaa mwingine na familia yako. Lakini wewe huyohuyo ndiye wakwanza kujifanya unalipia Mzunguko ya bia Bar uwapo na marafiki zako. Bado unajiona hujalogwa au hauna Laana?

Mwaka 2025 uwe mwaka wa kulinda kilichochako(familia yako) kuifurahisha familia yako.

Usipomtoa Mkeo na watoto Out Nani mwingine wakufanya hivyo? Embu Acha Ukengemaji.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kikawaida mwanamke hufanya vile afanyavyo mumewe.
Mume Akiwa mchoyo mwanamke anakuwa mchoyo mara MBILI.
Mume Akiwa anajali wanawake wanajali Mara mbili Yale.

Mimi huwa nashangaa ninaposikia watu wakisema wanawake hawatoi pesa wakati Sisi wengine hizo pesa tangu tunasema sekondari pesa Zao tumezila Sana Mpaka sasa tuwatu wazima
Mnanyota ya kupendwa au mnajua kugegeda vizuri
 
Ungejua kuna wanawake hawaridhiki tangu tarehe 1 January to 31 December usingepoteza muda kuandika page ndefu hivyo

Mkuu ishu hapo sio kuridhika au kutokuridhika.
Haufanyi hivyo kumridhisha Bali unafanya jukumu Lako la kumpa Mkeo furaha ili familia yako iwe na Furaha.

Alafu mwanamke akishakuwa Mkeo anatoka kundi la Wanawake anakuwa na sifa nyingine Spesho ambayo wanawake wengine hawana ndio maana anaitwa Mke.
Hivyo kwenye generalisation hupaswi kumuita Mkeo mwanamke au kumjumuisha Mkeo na wanawake wengine. Huko ni kukosa adabu.

Ni Sawa na Mama yako. Mwanamke akishakuwa Mama anapata sifa ya ziada zaidi ya mwanamke. Hivyo unaposema Wanawake automatically Mama yako anakuwa hayupo kwenye kundi hilo.

Hii pia kwa Sisi wanaume.
Mkeo hapaswi kukujumuisha kwa ujumlaujumla kwa kutumia kauli ninyi wanaume, wanaume Tabia zenu. Huyo Mkeo anakukosea heshima. Kwa sababu wewe tayari unasifa za ziada zinazokutofautisha na wanaume wengine ndio maana unaitwa Mume wake.

Mke ambaye akiongea atakuweka kwenye kundi Moja na wanaume wengine. Huyo anapoteza sifa ya kuwa Mke wako. Nawe wewe sio Mume wake.
 
mbona terms kama mkeo mwanamke wako
wanawake ndo zmetawala japo sijasoma yote

Kama hujasoma yote sidhani kama hata ujumbe wa Mada unaujua.
Wewe ni wale watu ambao mnakiherehere kitu hamjakijua Mpaka mwisho mnakipapukia. Hizo ni Tabia za ushambenga
 
Mkuu ulivohamaki nikajua unamzungumzia mama, nilishaanza kujutia na michozi Kwa mbali ilikuwa inanilenga,

Ila nilivoona mbele umesema mke ikabidi nianze kucheka Sasa.
Mke na Mama ni watu wawili tofauti.
Anachokupa Mke Mama hawezi kukupa.
Na alichokupa Mama mke hawezi kukupa.

Mama yako ni Mke wa Babaako.
Mwenye jukumu la kumpa mapenzi ni Babaako sio wewe.
Mama yako sio familia yako ndio maana hawezi kukuletea Ukoo. Mama yako ni familia ya Baba yako.

Umeshakuwa mwanaume hakuna atakayeuliza habari za Mama yako . Hata kwenye Historia yako mama yako hatatajwa kabisa ila Watoto na mke wanaweza kutajwa.

Wanaume wenzangu nawaambieni Kila siku chagueni wanawake wakujiwekeza kwao, sio Kila mwanamke anastahili jasho lako Hawa wengine ni washenzi kabisa.

Kama hastahili si umpe Talaka. Kwa nini uishi kinafiki? Yaani unaishi na mtu ambaye unamuita MKE alafu humpi Haki za Mke. Huo ni USHENZI.

Sijasoma andiko lako mpaka mwisho ila uliposema tu pekeka mkeo out nikajua huyu tayari.

Kuna mawili yako kwako kijana Moja hujaona lakini la pili Kuna kiumbe mnaibiana na hajakuonyesha upande wake wapili.

Kwa hiyo wewe kumtoa out Mkeo ndio ufikiri na uende mbali kwamba labda IPO siku mtavurugana. Vipi wewe ukiwa chanzo cha kumvuruga Binti wa watu?
Siku akikuonyesha huyo ni nani utakuja kuomba radhi Kwa maneno yako haya.

Kiongozi wanawake wameisha, wanawake hamna . Hawa tulionao ni washirika na shetani.

Kama wameisha ishi pekeako.
Huwezi sema wanawake wameisha na ni mashetani alafu Muda huohuo unaishi na mwanamke ambaye ni shetani. Huo ni unafiki. Kuishi na Shetani itamanisha nawe ni shetani Mkubwa.
Ndio maana mashetani wanafukuzwa



Nasema kaka ngoja kwanza uweke hivyo viumbe ndani uone.

Wewe wapigie tu makofi Kuna siku utakuja niambia mim, hao viumbe wajuaji, dharau, hamnazo, kejeli na Kila aina ya ujinga unaoujua wewe wanao.

Wakifanya hayo mabaya unayoyasema unafukuza. Unatafuta mwingine tena hivyohivyo.

Ndio maana Mimi nawaambia pia Mabinti hasa watibeli nao wasivumilia upumbavu na uovu wowote wa Sisi wanaume, yaani mwanaume akizingua nishawapa Ruhusa Binti zangu waombe Talaka.

Ubaya haupo kwa Wanawake pekee hata Sisi wanaume tunao huo ubaya. Na mifano IPO mingi.
Ni wachache saana kiongozi wanastahili hayo.

Hata wanaume ni Wachache Sana wenye sifa Njema. Mifano IPO mingine.
 
Kuna Dingi mmoja alifanya haya yote usemayooo ..... kumbe mke ana mpango kando na unamshughulikia sawa sawa
 
Kuna Dingi mmoja alifanya haya yote usemayooo ..... kumbe mke ana mpango kando na unamshughulikia sawa sawa

Sio tatizo mtu kuwa mwema kwa familia yake kisa kuna ubaya wa Siri unafanywa na mwenza wake.

Mashetani ndio hujipa excuse ya kufanya mambo mazuri kisa vitu kama hivyo
 
MWANAUME BORA LAZIMA UMTOE OUT MKEO NA KUMNUNULIA ZAWADI. HAIWEZEKANI MWAKA MZIMA HUJAFANYA HIVYO. HUO NI USHENZI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Siku 365 na masaa kadhaa Mkeo na watoto wapo nyumbani kama gereza la Kinguruila. Kila siku kupika chakula hapo nyumbani huyo Mkeo hachoki tuu. Huyo Mkeo hakinaiwi tuu kila siku Kula chakula anachopika yeye

Hivi unaakili sawasawa?

Miezi kumi na mbili mwanamke hata kumnunulia zawadi, hata nguo ya elfu kumi tuu. Wapi! Hata kumnunulia kiatu cha elfu saba wapi!

Mkeo ananuka jasho kwa kukosa matunzo. Hata kumnunulia Sababu ya elfu mbili na perfume za elfu tanotano wapi!

Alafu unataka huyo mwanamke akuheshimu, akupende, akuchekee chekee. Mtu kafubaa kama nguo za gereji atapataje Hilo tabasamu?

Alafu wanaume wa aina hii ndio haohao utawakuta wakishupalia hawataki Mke afanye Kazi ili wamchitishe, wamfubaze kisha waseme wanawake wanawahi kuzeeka wakati wao ndio wamewazeesha. USHENZI mtupu!

MKE Hana furaha kwa sababu umeshindwa mambo madogo ataachaje kuzeeka.
Unakuta mdada wa Miaka 28 tuu kazeeka utadhani Anamiaka 50 huko.

Alafu unajiita Mwanaume. Hakuna mwanaume hapo.
Mwanaume ni majukumu. Kujua kuhudumia Mkeo na watoto

Kujua kutumia rasilimali za familia kuinufaisha familia na kuifanya iwe na furaha.

Unataka Mke awe kama Msukule wako hapo. Yaani yupoyupo. Ananuka mijasho. Kapauka na kufubaa. Anavaa nguo Moja kama Sanda ya maiti. Dadeki! Acha USHENZI dogo.

Wanawake wafanye Kazi. Nawe kama Mume lazima ufanye Kazi zaidi kuliko mkeo.

Mtoe Out Mkeo.
Amua siku Moja muende hata Hoteli ya Nyota tano mkalale huko. Mkafurahie maisha. Usitake kuniambia mwaka mzima mkijipanga utakosa pesa ya kujivinjari na Kula bata na familia.

Wanasome ndoa ndoani ni Makafiri, wapagani na Waabudu mashetani.
Haiwezekani mkutane watu mnaopendana kwa hiyari yenu alafu ati mje mseme Ndoa ndoani.
Kama kuna Mmoja alileta Utapeli, hakuwa anamaanisha, Fukuza, omba Talaka. Tafuta mwingine mnayeendana.
Hivyohivyo Mpaka upate.

Mashetani ndio hugeuza kitu kizuri kuwa Kibaya. Ndio hao wanaokuambia ukiingia ndoani mambo huwa Mabaya.


Haiwezekani wewe kila siku au kwa wiki unaenda Bar kujivinjari, unaenda kuangalia mipira huko kwenye mabanda umiza, unaagiza na bia Moja mbili Tatu alafu Mkeo na familia mwaka mzima umeifungia ndani hutaki kuitoa out. Huo ni USHENZI ambao hata Wanyama na mashetani wenyewe hawawezi kuufanya.

Mtoe Mkeo Out
Itoe Familia yako Out angalau kila baada ya miezi mitatu ikiwa uchumi wenu ni hafifu.
Lakini kama uchumi wenu ni mzuri mtoe Out Kila mwezi.
Kama unamuda zaidi mtoe kila baada ha wiki mbili.

Alafu Kule Out sio lazima muagize vitu vingi vya gharama. Ukiwa na elfu hamsini tuu kama unafamilia ya watu watano inatosha Kabisa.

Kama ni wewe na Mkeo. Wala sio gharama kubwa.
Kilo Moja ya nyama ya mbuzi ya kuchoma ni elfu 16-20. Agiza kilo Moja na nusu. Agiza na kinywaji kama ni mnywaji wa pombe pombe nyingi za kawaida bei yake ni 2000 Mpaka 5000 kama mpo wawili ni Chupa mbili tuu zinawatosha.
Pigeni Stori mfurahie.

Siku nyingine sio lazima muagize nyama. Mnaweza kuagiza tuu juisi hata ya miwa ambayo haizii elfu tano.

Nendeni Beach zipo za bure. Kama mnahitaji Faragha nendeni za kulipia.

Sio mambo mengine muishie kuyaona kwenye Filamu kama watoto. Ninyi tayari ni watu wazima.
Msisubiri muanze kuumwa na uzee uwakabili..

Mwaka 2025 uwe mwaka Mkubwa kwenu. Mwaka wa Familia. Mwaka wa kuifurahisha na kujifurahisha na familia yako.
Maisha ndio hayohayo. Hakuna maisha mengine.

Haiwezekani ufurahishe wanawake wengine huko alafu uache Mkeo aliyekuzalia watoto. Hiyo kama sio Laana ni nini? Huko kama sio kulogwa ni nini?

Haiwezekani ufurahie pesa zako na marafiki mkienda Bar alafu Mkeo na watoto ati wao hawataki hizo Raha. Huko kama sio kulogwa au Laana ni nini?

Angalia jamii zilizobarikiwa ukajifunze kwao.
Jamii zilizobarikiwa kama Watibeli, wazungu, Waarabu, Wairan, Wachina n.k.
Family First.
Yaani Jambo lolote la furaha Familia lizma ifurahie Kwanza ndipo wengine wafuate. Wengine ni ndugu, jamaa na marafiki.

Wazungu wanatoka na Familia Zao maelfu ya kilometres kuja Afrika, kwenda Duniani kujivinjari.
Wewe unashindwaje kutoka out hata mtaa mwingine na familia yako. Lakini wewe huyohuyo ndiye wakwanza kujifanya unalipia Mzunguko ya bia Bar uwapo na marafiki zako. Bado unajiona hujalogwa au hauna Laana?

Mwaka 2025 uwe mwaka wa kulinda kilichochako(familia yako) kuifurahisha familia yako.

Usipomtoa Mkeo na watoto Out Nani mwingine wakufanya hivyo? Embu Acha Ukengemaji.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mda wote kuwaza kufurahisha mwanamke ni dalili za udhaifu,walikuwepo kina Mwaka na ngonjera zao wako wapi saizi? Hayanaga formula.
 
Back
Top Bottom