Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Mda wote kuwaza kufurahisha mwanamke ni dalili za udhaifu,walikuwepo kina Mwaka na ngonjera zao wako wapi saizi? Hayanaga formula.

Nazungumzia Familia ambapo ni Mkeo na watoto..
Wanawake ni neno ambalo ukilitamka halijengi sifa Njema kama utamanisha Mamaako au Mkeo au bintiyo.

Ni Sawa na Binti yako atamke Wanaume alafu humo ndani akumaanishe na wewe. Huo ni ukosefu wa adabu
 
Mkuu hiyo sio kambi ya JKT ni nyumba ya watu wenye maamuzi yao bianafsi

Mapenzi kwa Mkeo sio hiyari ni LAZIMA. Ni wajibu wako kufanya hivyo

Ni Sawa useme Mkeo kukuheshimu na kukutii ni hiyari yake. Utakuwa huelewi mambo ya Ndoa
 
Unakosea Sana.
Ukisema wanawake wote mashetani utamjumuisha Mamaako?

Nafikiri protocol za kimahusiano na vyeo vya mahusiano vinawachanganya wengi.
Hivyo hivyo nilivyosema,hata mama yangu au wako ni shetani muulize baba Yako ana majibu Mazuri zaidi yangu
 
Mke na Mama ni watu wawili tofauti.
Anachokupa Mke Mama hawezi kukupa.
Na alichokupa Mama mke hawezi kukupa.

Mama yako ni Mke wa Babaako.
Mwenye jukumu la kumpa mapenzi ni Babaako sio wewe.
Mama yako sio familia yako ndio maana hawezi kukuletea Ukoo. Mama yako ni familia ya Baba yako.

Umeshakuwa mwanaume hakuna atakayeuliza habari za Mama yako . Hata kwenye Historia yako mama yako hatatajwa kabisa ila Watoto na mke wanaweza kutajwa.
Kwahiyo hapa kiongoz unasema mama hastaili kabisa kupata upendo wangu Kwa kuwa ni familia ya baba angu eti!?

Kijana fikiria tena hili jambo, mama nifamilia yako.. akiwa anaulizwa familia yake huaga nawewe unatajwa hapo ndo unapoingia wewe.

Acha kuhalaridha hi mambo kiongozi, haya mawazo yako ndo yanayofanya wanawake wengi wasielewane na mama wakwe(mama wa wanaume ) zao.

Kwasababu anafikri yeye sio sehem ya familia yake.

Umeshajiuliza kwann tumeambiwa tuishi nao Kwa akili!?

Yaani aliyewaumba ametuambia tuishi nao Kwa akili, kiongozi we huogopi hapo!?
 
Inasikitisha sana, badala ya kuhamasisha vijana wajijenge kiuchumi mnawapa mawaidha ya kitoto hivi.
 
Kwahiyo hapa kiongoz unasema mama hastaili kabisa kupata upendo wangu Kwa kuwa ni familia ya baba angu eti!?

Unaweza kumpenda lakini huwezi kumpenda kama Mkeo.
Mkeo ni familia yako.
Mama yako ni familia ya Baba yako.
Ndio maana Mama au Baba atakufukuza ukaanzishe mji wako(familia yako"Mkeo na watoto).

Hapa hatuzungumzii Nani zaidi ya mwenziye. Ila Nani anastahili kipi kutoka kwa Nani.

Mama hawezi kudai popote umtoe Out au umpe Zawadi kwa sababu sio HAKI yake kwako. Ila Mke anaweza kulalamika popote na akawa na hoja. Ikiwemo kumlalamikia Mamaako kuwa Mume(wewe) hutimizi wajibu wako.
Kijana fikiria tena hili jambo, mama nifamilia yako.. akiwa anaulizwa familia yake huaga nawewe unatajwa hapo ndo unapoingia wewe.

Mama sio familia yako. Mama ni familia ya Babaako.
Ndio maana Baba anaweza kukuingilia usimsumbue mkewe(Mamaako) na wakakufukuza hapo nyumbani.


Acha kuhalaridha hi mambo kiongozi, haya mawazo yako ndo yanayofanya wanawake wengi wasielewane na mama wakwe(mama wa wanaume ) zao.
Kama humpi Mkeo HAKI yake Mkeo hawezi kuelewana na wazazi wako
Na kama Babaako hakumpa Mama yako mapenzi lazima ayatafute mapenzi kwa watoto.

Watoto wanaopenda kuwafurahisha Mama zao ni matokeo ya Baba Zao kutofanya wajibu wao kwa Wake zao(mama za watoto)

Kwasababu anafikri yeye sio sehem ya familia yake.

Umeshajiuliza kwann tumeambiwa tuishi nao Kwa akili!?

Yaani aliyewaumba ametuambia tuishi nao Kwa akili, kiongozi we huogopi hapo!?

Kuishi kwa Akili na mwanamke ni jukumu la mwanaume hata usingeambiwa.
Amri hizo zimetolewa kwa watu ambao hawawezi kujiongeza Mpaka waambiwe
 
Inasikitisha sana, badala ya kuhamasisha vijana wajijenge kiuchumi mnawapa mawaidha ya kitoto hivi.

Familia ni sehemu ya uchumi.
Wpi huelewi
Familia kama haina furaha inaweza kuathiri uchumi wa vijana.

Wewe hujui maisha yako yalivyo ni matokeo ya familia ulikotoka? Au wewe hulioni hilo
 
Mkuu, umeandika kitu ambacho natamani nikiishi, big up sana mtibeli, sikupingi ✊🏻👊🏻
 
Back
Top Bottom