Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

Kuishi kwa Akili na mwanamke ni jukumu la mwanaume hata usingeambiwa.
Amri hizo zimetolewa kwa watu ambao hawawezi kujiongeza Mpaka waambiwe
Kiongozi hii sio kauli fikirishi, Hawa viumbe wameumbwa complicated saana.. na ndo jeshi la shetani hili kama hujui.
Na hapa Wala hakuambiwa mtu asiyeweza kujiongeza kaambiwa Kila mtu.

Hivi hujawahi sikia mwanaume akilalamika kuwa mwanamke alikuwa anapata Kila kitu kwangu ila Cha ajabu kaenda kunifanyia mambo ya hovyo saana na shamba boy??

Hiki kiumbe sio Cha mchezo hakitabiliki, mpende yy Kwa ajili ya uzao wako sio jamaa Ako huyu jua Hilo.
Mama hawezi kudai popote umtoe Out au umpe Zawadi kwa sababu sio HAKI yake kwako. Ila Mke anaweza kulalamika popote na akawa na hoja. Ikiwemo kumlalamikia Mamaako kuwa Mume(wewe) hutimizi wajibu wako
Ni kweli hawez kudai Kwa sababu anajua ni jukum lako ww kumjali yey,

Mke kulalamika ni kawaida tu na anafanya hivo ili usipate mda wakurudisha fadhila Kwa wazaz wako.

Nilishawahi kusikia mke anasema mi natafuta yatima mwenye uwezo niolewe nae. Unajua kwann anasema hivo?

Wanawake wengi ni wabinafsi kiongoz
Watoto wanaopenda kuwafurahisha Mama zao ni matokeo ya Baba Zao kutofanya wajibu wao kwa Wake zao(mama za watoto)
Sio kweli, huu ni upendo Ambae mtoto hufundishwa na wazaz sio kwakuwa bab yao hatimizi.

Hakuna baraka zinazochotwa Kwa mke ila Kwa wazaz zipo.
 
Back
Top Bottom