Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
mzee umechafukwa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
Wewe toa hela bwana acha maswali mengi🤣
 
Kuhusu hilo msichokijua ni kwamba hamuwakomoi wanawake, tena nawashauri mkiliamua hilo hakikisheni mmeliamua kwa dhati kabisa, na siyo kwa kusikilizia eti wanawake watafanyaje maana kwa vizazi hivyo vinavyotabiriwa kuja nawahakikishia dunia haitarudi zama za babu na bibi zetu hata ibadili mzunguko wake, kwahiyo kama mnafanya kwa lengo la kuwakomoa wanawake ninyi ndio wa kupewa pole
Eeeh!! naona mnaringia vidudu vyenu, kwani iliumbwa ili ifanywe nini? si ili ikunwe, sasa mnaringia ili iweje? kwani ukinibariki niikune kisawa sawa utapata hasara gani as long as ni safe sex? unakitunza mwisho kitapata kutu.

Ngoja tusubiri tesla bot na zikija 'k' mtageuza vibubu vya kutunzia coin.. 🤣
 
Honestly Jadda can be my friend in person….. you sounds exactly like me…

Muda si mrefu ningeandika comment kama hii, Jana umenijibia mtu mmoja ambaye aliniqoute sehemu exactly ambavyo ningemjibu.

Umalaya umefanywa kawaida halafu watu hawataki kulipia huduma, how on earth? Mtu anaombaje K kwa mtu ambaye hajamuoa na hana mpango huo? Kwahiyo raha ni kumtumia mwenzie tu kibao kikigeuka mayowe!

Tena nasikia siku hizi wanatozwa kiingilio, ukitongoza tu unapigwa kiingilio utajua mwenyewe ubaki au uondoke, game limekuwa tamu sana, laiti ningekuwa soko nijionee hehehe! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha halafu kweli, hata mimi nimegundua mara nyingi kwenye mada kama hizi huwa tuna miandiko sawa, hata wewe huandika mengi yaliyopo kichwani mwangu

Hawa ndugu zetu wanajitoa ufahamu sana utasikia "wanawake mtupende kama tulivyo", hapo ujue anamaanisha umpende yeye pamoja na tabia zake zote mbovu umalaya, ulevi, ubinafsi, et al wakati wao wenyewe hawana mapenzi ya aina hiyo

Hapo kwenye urafiki unakaribishwa tu muda wowote
 
Back
Top Bottom