Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee umechafukwa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
Aisee nimecheka hadi nimedondosha simu 😂😂Mimi ingewezekana baada ya kumlipa hela demu,ningekua namfunga ili asipate utamu,nipate utamu peke yangu tu niliyelipa hela zangu.
Anakosaje hela ya kusuka kama hana hilo jukumu la wazazi wakeMkuu hata hela za kusuka tusiwape unataka wanyoe vipara? Hapana bhana wapeni wanawake zenu hela
Waishi mileleWanaotoa bila kuombwa Mungu awabariki sana.
Wewe toa hela bwana acha maswali mengi🤣Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
Tangia niisikie hii dhana karne hii ya 21 sijawahi ielewa yaani una 100k unataka upewe hata 5k. hii haieleweki kabisaNjaa zingine za kisenge, kwanza hio laki hana maana una laki unaanzaje kuwaza elfu kumi ya mtu mwengine.
Unaweza kuta unaupataga mwenyewe pia 🤣🤣🤣🤣Mimi ingewezekana baada ya kumlipa hela demu,ningekua namfunga ili asipate utamu,nipate utamu peke yangu tu niliyelipa hela zangu.
Eeeh!! naona mnaringia vidudu vyenu, kwani iliumbwa ili ifanywe nini? si ili ikunwe, sasa mnaringia ili iweje? kwani ukinibariki niikune kisawa sawa utapata hasara gani as long as ni safe sex? unakitunza mwisho kitapata kutu.Kuhusu hilo msichokijua ni kwamba hamuwakomoi wanawake, tena nawashauri mkiliamua hilo hakikisheni mmeliamua kwa dhati kabisa, na siyo kwa kusikilizia eti wanawake watafanyaje maana kwa vizazi hivyo vinavyotabiriwa kuja nawahakikishia dunia haitarudi zama za babu na bibi zetu hata ibadili mzunguko wake, kwahiyo kama mnafanya kwa lengo la kuwakomoa wanawake ninyi ndio wa kupewa pole
Hayo mambo ndio yalinishindaga 🤣Tangia niisikie hii dhana karne hii ya 21 sijawahi ielewa yaani una 100k unataka upewe hata 5k. hii haieleweki kabisa
wanazingua hawa wadudu wa dampo🤣mzee umechafukwa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi kanichekeshaa🤣🤣🤣Aisee nimecheka hadi nimedondosha simu 😂😂
Kweli lakini una point!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alamsikii[emoji1787]
Utachora chiniiWewe toa hela bwana acha maswali mengi🤣
🤣🤣 Wadanganye wenzio wakati umetoka kuthibitisha.Utachora chinii
😀😀😀😀😀😀 nimedhibitisha kweli kwamba hatutumi hela kwa ma hawara🤣🤣 Wadanganye wenzio wakati umetoka kuthibitisha.
Hahaha halafu kweli, hata mimi nimegundua mara nyingi kwenye mada kama hizi huwa tuna miandiko sawa, hata wewe huandika mengi yaliyopo kichwani mwanguHonestly Jadda can be my friend in person….. you sounds exactly like me…
Muda si mrefu ningeandika comment kama hii, Jana umenijibia mtu mmoja ambaye aliniqoute sehemu exactly ambavyo ningemjibu.
Umalaya umefanywa kawaida halafu watu hawataki kulipia huduma, how on earth? Mtu anaombaje K kwa mtu ambaye hajamuoa na hana mpango huo? Kwahiyo raha ni kumtumia mwenzie tu kibao kikigeuka mayowe!
Tena nasikia siku hizi wanatozwa kiingilio, ukitongoza tu unapigwa kiingilio utajua mwenyewe ubaki au uondoke, game limekuwa tamu sana, laiti ningekuwa soko nijionee hehehe! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huelewi sababu si mwanamke! Mi mbona nimeelewa alichosema. Mambo ya wanawake tuachie wenyewe mwisho utataka kuelewa tukishikwa kis.mi tunajisikiaje.Tangia niisikie hii dhana karne hii ya 21 sijawahi ielewa yaani una 100k unataka upewe hata 5k. hii haieleweki kabisa