Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

This is true. Kuna mwanamke katika mipango yetu nlimwambiaga ntampa 5m afanye biashara sasa akawa akiomba hela nampa mara mbili yan kama elfu hamsini nampa laki hiyo nyingine asave aniwekee nna shida nayo. Zoezi likaenda vizuri na liliambatana na record matata kwenye excel moja kwenye pc yangu, baada ya mwaka zikafika zile hela excel si ilikuwa inajumlisha nikamwomba ile hela naona analeta M1, nikaichukua nikamwambia ukweli ilitakiwa iwe 5M na hii ndio hela nilitaka kukupa, nikaigawa ile hela nusu kwa nusu tukagawana hasara na stori ikaishia hapo.
Aisee 😂
 
Man all i know UBAHILI KWA WANAWAKE NI DEAL BREAKER, and if you don't give them money its a turnoff.
And sikuiz kutokana na maisha kuwa magumu wanawake wamejiwekea price tag ambayo we huijui ila ye anaijua kwamba ikitokea mtu akampampa vihela vya hapa na pale na vizawadi vya uongo na ukweli, basi hapo atapewa pusay kama malipo.

Wasichokijua wanawake mwanaume akiwafata huwa tayari anajuaga huyu mwanamke kajigrade wapi, so huwa kama yupo serious anataka kumvua chupi huwa anamwekea budget yake ambayo hiyo budget ikifika mwisho hajala mzigo anapiga chini , anaona kama ni alidaka odds 3 akakandamiza stake then magwaya na vijana wake wakachana mkeka.

Na mara nyingi hapa ndio wanapokujaga dadazetu kupoteana sababu jamaa kaamua kupotezea na kakata zile pesa haziend tena wao wanaumiaga, inakuja siku anashida kweli kweli unashangaa kamvutia waya jamaa yule yule anataka asaidiwe ila saivi anakuwa anajua bila kumpa hawez nipa sababu nilishamzingua , sasa ngoja nikampe anisaidie shida zangu , then ntajifanya nampenda kweli kweli ili nimrudishe kwenye track. Kanajipeleka kwa mhuni anaenda kukakandamizwa msumari wa moto(yale majamaa yanayokaza huku yananong’oneza), demu anaelewa show na hela kapewa, akirud kwake misms kibao ya kuelewa na nini akijua anamjaza jamaa mazima, bwanamkubwa akikumbuka upuuz aliofanyiwa anaona bora aende kwa jeni yule ambae hana makuu, and the loop goes on and on.

The thing is wakati wanawake wanadhan wanajipandisha value kwa kuset standard fulan za kuendesha relationship ndio hapo hapo huwa wanajishusha value. Hii ndio sababu relationship nyingi sana zinavunjika.

Sisemi kama usimpe hela mwanamke wako hapana, wenzako watamkaza mchana kweupe kila siku utakuwa unalia, nachojaribu kusema kuna namna wanawake wanafanya wakidhan wanajibrand kumbe ndio wanajibrandua …OVA..
Hakika nimependa maoni yako mkuu
 
Ukiwa serious Sana na mwanamke utawehuka , kazi ya mwanaume is-to- fu-ck na kulea , basi ..kama pesa unayo mpe , kama huna huna tuu , akizingua yes hapo go for another one ... Don't be serious na hawa watu utakuwa chizi , mwanamke anaongozwa na hsia na reaction zake huwa ni kulingana na current issue , mwanamke hanaga kitu kinaitwa future , mwanaume ana kitu kwenye mindset kinaitwa future na uwezo wa ku-foreseen na ndo mana ana stahimili na kuvumilia magumu ili aweze kuyakabili mazingira , mwanamke yeye ameumbwa just to spend ready made environment, unaweza jifanya unampima kumbe mwenzako akareact badly we Kwa akili yako mbovu ukamwacha ukaenda Kwa mwingine...!! Usiichukulie akili ya mwanamke same to akili ya mwanaume kwenye kumake judgement.. hawanaga busara na hekima pia hawana
Nimekuelewa Sana mkuu ahsante kwa ushauri wako mzuri
 
Tena wazijue size zao kweli kweli!

Mimi wa kwangu nimempa bure mapenzi miaka na miaka sababu nilijua atakuwa wangu, kitu ambacho kweli kilitokea, now mimi ni muhasibu wake! How about that 😜

Honestly: mtu hana mpango wowote na wewe, ana demu wake, au mke wake, hajakuonesha kama anakupenda, yupo kimitego mitego mguu ndani mguu nje, ana siri kama zote halafu umpe mapenzi bure! Aaaiii subutu sio kweli! Wao wanaume wangekuwa sisi wangetoa K bure??

Kauli mbiu, haiuzwi lakini haitolewi bure.
Wanaume wote hawafanani unaweza unajikuta unapata mtu sahihi Ila kwasababu umekariri Maisha kulingana na past relationship yako utajikuta unampoteza huyo mtu sahihi kwa matendo yako
 
Uchanga kwenye mambo ya mapenzi huwa unachekesha sana. Mtu anakaa sehemu anabuni theories za ajabu, mara ukitaka kujua umemridhisha demu wako baada ya gemu angalia hiki na kile..... mara ukitaka kupima penzi fanya hiki.... yaani unakuwa hujiamini amini hivi. Dogo ukikua utakuja kugundua kuwa haya makitu hayana formula maalum.
Ni kweli, lakn huwezi kukubali kitu bila ya kutest kwanza..
 
Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
Alafu unashangaa wanawashangaa wanawake wenzao wanaojiuza barabarani na kwenye mitandaoni wakati biashara wanaoifanya ni moja tu tofauti ni namna wanavyofanya umalaya but haiondoi kuwa wote ni malaya
 
Ni kweli Dada, lakn Majambazi siku hizi ni wengi san kwahyo ni vema kupimana kidogo.
 
Ukisoma hizi comments ndipo utajua siku hizi ngono imekuwa rahisi sababu inathaminishwa na pesa na si upendo tena na ndio maana Single parent kuisha ni kazi sana kwani kila siku linazidi kuongezeka.

Ila ndio life letu vijana wa siku hizi kivyetuvyetu,siku hizi ukiwauliza wana wanakwambia "pale hela yako........" na ukimfuata binti "utawasikia acha ubahili....",ukiwa mwelewa inakuwa mwendo wa kuwagonga tuuu.
 
Tumeona brothers waliosomesha mademu zao wanaishia kusalitiwa inapelekea wanajinyonga sad.wanawake muwe na huruma
 
Back
Top Bottom