Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Wala sifundishi ubahili mkuu, hata nyie wanawake mnazo mbinu zenu mnazotumiaga kujustify upendo wa wanaume wenu.
Mkuu mojawapo ya mbinu za wanawake ni "mwananmke ukiona mwananume hakupi pesa jua kuwa HAKUPENDI!!!! "
Povu rukhsa
Ukitaka sababu nitakupa
 
Mimi ninachokiona hapo wakulungwa tujitahidi kutafuta hela tuu hakuna namna wazee. Hayo mengine ni mateso mtupu📌 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hapo ndipo mnafeli, mwanamke ambae yupo level ya kuomba pesa ya pad ni mzigo. Kuna vitu wanawake mnapaswa kuomba na kuna vitu unaweza maliza mwenyewe.
Wafundishe hao, demu unanipigia mchana saa za kazi eti nikutumie buku ya bando, unashindwa kujimudu hata kwenye bando? Yaani huu uzi umepata comments nyingi ndani ya muda mfupi kwasababu umewagusa sana malaya malaya, wanaojiuza.
 
Sasa umalaya kama huu ndo tutoe hela, au ndo mseme tutafute hela, kwataarifa yenu tutarndelea kuwapiga tu miti na pesa mtapata kwa kupimiwa.
Ffyatuaneni wenyewe kwa wenyewe tu. tatizo nini?
Tunawafahamu kwa miandiko yenu tu.
 
Wewe unaonekana ni gold digger kabisa maana nyie ndo mnasababisha wanawake wengi waonekane omba omba.
Mimi Huwa natumia neno malaya anayejiuza, sikopeshagi.
 
Kukimbia majukumu.....mnapenda kula msipopeleka mboga
Hata hela ya pad tu unashindwa kumpa demu wako
Uchoyo tu ....hizi ni tabia za kivulana hakuna mwanaume kamili anayeweza kuweza hivi....grow up..be a man
Hela ya pad? Huwezi kujinunulia mwenyewe? Kwanini wanawake mnageuka kuwa ombaomba mnajitweza utu wenu.
 
Kukimbia majukumu.....mnapenda kula msipopeleka mboga
Hata hela ya pad tu unashindwa kumpa demu wako
Uchoyo tu ....hizi ni tabia za kivulana hakuna mwanaume kamili anayeweza kuweza hivi....grow up..be a man
Kuna wanawake wapambanaji hawana time na hela ya mwanaume na anajali mahusiano yake.
 
Back
Top Bottom