Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Bahati nzuri sijawahi kuwa falla hii ni jf soma pita tu mkuu.

Eneo peke la kufanyia ujinga usioweza kuufanya hadharani ni chichat usisahau pia
Keep ya Head Up sir✌️
 
Wangine ni natural morons japokua shule walienda
 
Hao wanawake wengi unao wasema
Wengi ni wajane!
Wengi ni single mother
Wengi ni wabibi
Wengi ni wanafunzi

Sasa mkuu unasemaje[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wanaume pamoja na uchache wao lakini wengi Ni mateja, wafungwa, wababu, ndugu nk
 
Ujengewe sanamu uwanja wa mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…