Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Huo ni uchizi + ujinga yaani unapigia magoti mbususu wakati mtaani zimejazana huko😅😅😅
Kipindi kabla mifuko ya plastiki haijapigwa marufuku,kuna mitaa ilikuwa ukipita na mfuko transparent wenye chips kavu na kachumbari madem na wamama wazima wanakuwahi wanguu,wanakugombania kabisa kama tulivyokuwa tunawahi magari ya watu.
 
Tulia ww hakuna anayehangaika hapa nawaweka sawa tu machalii wanaoshindwa kusimamia misingi yao.
Tukio la adamu pia linathibitisha kua wanaume sisi tuna mapenzi ya kweli na tupo waaminifu sana. Ila nyie vivuruge tu, ila sema adamu hakua na option nyingi Mungu alimbania
Thats naturee bruhh
 
Kipindi kabla mifuko ya plastiki haijapigwa marufuku,kuna mitaa ilikuwa ukipita na mfuko transparent wenye chips kavu na kachumbari madem na wamama wazima wanakuwahi wanguu,wanakugombania kabisa kama tulivyokuwa tunawahi magari ya watu.
😅😅😅 Kwenye chips hapo wanaume wa dar mnaferi pakubwa
 
Kipindi kabla mifuko ya plastiki haijapigwa marufuku,kuna mitaa ilikuwa ukipita na mfuko transparent wenye chips kavu na kachumbari madem na wamama wazima wanakuwahi wanguu,wanakugombania kabisa kama tulivyokuwa tunawahi magari ya watu.
Uongo,... si kweli, andika vitu vya uhalisia ndugu
 
Sio kweli kuwa wanaume wote wanapenda kuongoza,acha kuwa na msimamo potofu,,
Sio misimamo potofu it's nature I do believe wewe ni mkristo.
Mwanzo 2.

Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimuumba Mwanaume na mwanamke… Mungu akawaambia kua zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi na kuitiisha, mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani na kila kiumbe chenye uhai

Ukisoma hio paragraph utaona kua baada ya Mungu kuumba vitu vyote, kisha akamuumba binaadamu wa kiume na wakike. Wote wawili Mungu aliwapatia haki ya umiliki wa kila kitu lakini Mungu alimpa haki Binaadamu wa jinsia ya Kiume(Mwanaume) Kummiliki binaadamu wa jinsia ya kike (Mwanamke). Mfumo huu umewekwa miaka na miaka toka dunia kuumbwa, hakuna anayeweza kwenda kinyume ya mfumo huu, hata kama akienda kinyume lazima tu atarudii kwenye mfumo.

Kuna wanaume wanapenda wanawake watakao wa challenge na wengine wanapenda kuwa submissive kwa wake zao,...tembea uone
Kweli kabisa na kuna wanawake wanapenda kua Dominant kwa Mwanaume. Ukiona hivyo basi tambua kua kuna tatizo kwenye homoni zake au shetani kashafanya yake kwa watu hao hataki wasimame katika misingi yao ya jinsia zao.
 
Mimi ilo Na lijua ila bado Na teswa tu Sasa sijui kama nime rogwa au

Mimi ndo wakuteswa Na kiumbe kinachoitwa mwanamke Mimi
Man Up hutakiwi kumuonyesha ulegevu hata chembe. Wewe ni mwanaume muonyeshe unaweza bila yeye
 
Mwaume unayejielewa haiwezekani unalia, unashindwa kulia kisa mwanamke wako kakuzingua ni aibu mazee. Halafu wanawake wa sasa washajua wanaume wa sasa ni maboya tu hivyo wanakanyagia mafuta tu ya kuwaumiza maana washajua hamjui dhamana yenu duniani. Hivi unaanzaje kulia kisa mwanamke?
Samson kwa Delila na. Daud kwa Mke wa Uria nao wanaingia hapa?? Au hawa hawakuteseka kisa mbunye??
 
Samson kwa Delila na. Daud kwa Mke wa Uria nao wanaingia hapa?? Au hawa hawakuteseka kisa mbunye??
Hao woye hawakulia kisa mapenzi kwanza walikua na milupo mingi tu sema waliteleza wakawaamini sana hao wanawake
 
Sio kweli kuwa wanaume wote wanapenda kuongoza,acha kuwa na msimamo potofu,, Kuna wanaume wanapenda wanawake watakao wa challenge na wengine wanapenda kuwa submissive kwa wake zao,...tembea uone
Sisi Wanaume tunasema hivi kwenye Wanaume kuna sisi Wanaume. Hakuna katika sisi Wanaume tukawa na hizo fikra bali sisi Wanaume huwa tuna kuwa bora kwa wake zetu,hili ndilo la msingi.
 
Hao woye hawakulia kisa mapenzi kwanza walikua na milupo mingi tu sema waliteleza wakawaamini sana hao wanawake
Na hao wanaolia hapo bongoland nao nao wameteleza tuu
Kama wewe ulivoteleza kipind fulan kwa yule mwanamke sasa hivi umekomaaa

Kila kitu na wakati wake

Kaa kwa kutulia
 
Back
Top Bottom