Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Umeongea mambo ya msingi boss Kuna watu tumeamua kuacha familia kwa sababu ya mwanamke kufanikiwa kuwa na kipato kikubwa na kujitanua kwapa
Japo wanawake wengi wasio kua na heshima katika ndoa zao akiisha achika akaolewa tena familia mpya wanazo jenga hata paka kamwe hakanyagi
 
Na hao wanaolia hapo bongoland nao nao wameteleza tuu
Kama wewe ulivoteleza kipind fulan kwa yule mwanamke sasa hivi umekomaaa

Kila kitu na wakati wake

Kaa kwa kutulia
Mkuu umejuaje kama niliteleza😅
Au ramli tu
 
Umeongea mambo ya msingi boss Kuna watu tumeamua kuacha familia kwa sababu ya mwanamke kufanikiwa kuwa na kipato kikubwa na kujitanua kwapa
Japo wanawake wengi wasio kua na heshima katika ndoa zao akiisha achika akaolewa tena familia mpya wanazo jenga hata paka kamwe hakanyagi
Mentality ya wanawake wengi wanaamini kua kinachofanya mwanamke kua chini ya mume ni ukosefu wa kipato, hivyo wakiwa na kipato wanawaza kua juu ya Mwanaume kumbe sio hivyo it's just a nature.
Ndio maana dini ya kiislam hairuhusu sana mwanamke kwenda kutafuta pesa
 
Dunia ilipofikia ndio inabadilisha wanaume kuwa viumbe vya ajabu bila wanaume husika kuzania kua wamebadilishwa.
1) hofu ya kupoteza fursa
Wanawake siku hizi ndio wana deal Nene Nene utake usitake wana deals Nene
2. Kupenda slope
Wanaume sikuhizi wamekua ni ma escorter wa wanawake kwasababu wana susiwa pesa na vitu vitu kujikimu
Nk
 
Sio kweli kuwa wanaume wote wanapenda kuongoza,acha kuwa na msimamo potofu,, Kuna wanaume wanapenda wanawake watakao wa challenge na wengine wanapenda kuwa submissive kwa wake zao,...tembea uone
Wanaume wote wanapenda kuongoza!
Utofauti Ni kwamba wengine wanapenda kujadiliana maamuzi na mke, na wengine hawapendi mjadala
 
By default wanadamu tulipoumbwa kila jinsia ilipewa majukumu yake, jukumu la viumbe wenye jinsia ya kiume (wanaume) wameumbwa kutawala jinisia ya kike (kike) katika kila Nyanja na jinsia ya kike imeumbwa kutawaliwa na jinisa me.

Sio maneno yangu bali ni maneno ya vitabu vyote vya dini Quran na bible pia science/psychology inakubaliana na hilo, mwanaume anajiona mkamilifu zaidi pale anapoweza kumtawala (sio kimabavu), kumuongoza na kumuhudumia mwanamke na mwanamke anajisikia amani na usalama zaidi anapopata mwanaume anayeweza kusimamia misingi ya uanaume wake yaani kutawala, kuongoza na kuhudumia .

Ikitokea jinsia moja imeenda kinyume na mfumo huo wa asili chaos must happen, labda mwanamke anapesa zake na maisha mazuri anataka afanye vile vitu anavyotakiwa kufanya mwanaume ajili ya kiburi cha pesa zake lazima mwanaume huyo kama anajitambua apinge (rebel) ajabu sasa mwanaume akiamua kuvumilia huyo mwanamke ajili ya pesa alizonazo mwanamke huyo atamdharau na kumuona fala sababu ameshindwa kusimama katika misingi ya kiume mahusiano hayo hayatadumu,that’s nature bwana.

Mwanaume umepewa dhamana kubwa duniani haijalishi mwanamke ana mapembe, mabawa, mkia, miiba au ana umri mkubwa na cheo zaidi yako bado atabaki kua mwanamke mtu na kanuni ni ileile atabaki kua chini yako daima, vijana wa sasa sijui mnafeli wapi aisee yaani mnadhalilisha jinisa na mamlaka yenu mbele ya wanawake.

Mwaume unayejielewa haiwezekani unalia, unashindwa kulia kisa mwanamke wako kakuzingua ni aibu mazee. Halafu wanawake wa sasa washajua wanaume wa sasa ni maboya tu hivyo wanakanyagia mafuta tu ya kuwaumiza maana washajua hamjui dhamana yenu duniani. Hivi unaanzaje kulia kisa mwanamke?

Wanaume tunapendwa sana na Mungu sijui hamjui au ni vipi hebu tembea mtaani, mitando ya kijamii uone wadada wazuri walivyojazana hao wote wameumbwa ajili ya mwaume awafaidi. Kwa hesabu za haraka duniani kuna watu zaidi ya bilioni 7 wanaume billion 3 na wanawake billion 4, yaani tukisema leo kila mwaume aoe mke mmoja mmoja kuna billion 1 ya wanawake itabaki haina kazi inapuyanga tu.

Logic
ya mungu kuumba wanawake wengi kuliko wanume ni kwamba kila mwaume apate uwanja mpana wa kuchagua mwanamke amtakae, pia kaumba wanawake wengi ili isije kutokea hata kwa bahati mbaya mwaume kuteseka kisa mapenzi/mwanamke.

Mungu anasikitika na kushangaa sana anapoona mwanaume analia na kuteseka kisa mwanamke mmoja wakati kashaumba wengi ni wewe kuchagua tu.

Mungu fundi sana yaani kaumba kikosi cha kwanza cha wanawake kisha akaumba Subs pia ili ikitokea uwanjani mmoja hakabi inavyopaswa basi anatolewa chap sub kutoka benchi anaingia kuendeleza kabumbu sasa wewe mwanaume unaona kabisa player uliyenaye analeta mazabe uwanjani badala ya kumuweka benchi uchukue sub wewe unabaki kulialia, walahi Mungu atawapa kipigo nyie maana mnashindwa kutumia raslimali zake ipasavyoo.

Halafu sasa wanawake hua wanapenda mwanaume mwenye wanawake wengi aua mwenyekuweza kupata mwanamke yoyote wakati wowote usipokua hivyo mwanamke anadharau anajiona keki anajua huna pengine pa kwenda. Hapo ndio utaona mwanaume anaomba msamaha kwa kosa alofanya mwanamke kisa asiachwe. Ngedere wewe

Wanaume achene ubwege wa kulialia kisa wanawake, simamieni misingi ya uanaume kenge nyie.

Women are yours to tomment😛😛

Kukuelewa hapa lazima mtu awe mkomavu kiakili! Otherwise watu wa haki sawa watakupinga
 
Mimi ilo Na lijua ila bado Na teswa tu Sasa sijui kama nime rogwa au

Mimi ndo wakuteswa Na kiumbe kinachoitwa mwanamke Mimi
Ukiona hivyo ujuwe hilo siyo fungu lako,labda umelikwapua kwa Mtu mwingine,fungu lako Mwanaume ukikohaa tu hata kwa bahati mbaya lazima moyo wake ustuke kidogo hata Kama yuko usingizini!!
 
Dunia ilipofikia ndio inabadilisha wanaume kuwa viumbe vya ajabu bila wanaume husika kuzania kua wamebadilishwa.
1) hofu ya kupoteza fursa
Wanawake siku hizi ndio wana deal Nene Nene utake usitake wana deals Nene
2. Kupenda slope
Wanaume sikuhizi wamekua ni ma escorter wa wanawake kwasababu wana susiwa pesa na vitu vitu kujikimu
Nk
Nani kakudanganya wanawake wana deals nene nene? Hujui unachoongea.
 
Thibitisha kuwa Mungu ameumba wanawake wengi kuliko wanaume.

Kwa takwimu.
 
Back
Top Bottom