Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Hakuna mjanja wa wajanja,

Kila mtu na mjanja wake..

Huyo anayekuliza wewe na yeye anamlilia mwingine..

Na huyo unayemlilia wewe mwingine anamuona dada wa kazi.

That's human nature.
Kwa ukiburi na ujeuri wangu nikilia ajili ya mwanamke dunia itatikisika. I say this coz I don't care a thing. Choose me or leave me I don't care.
Kupendwa na kutokupemdwa kwangu is equal to 0
 
Hapa ndo wanawake hushangaza sana 🙄 Kwamba akijua umeweka kambi kwake pekee, anakuona pimbi.
Wanapenda kila mwanaume awe polygamous!
Wanawake ni viumbe wa ajabu kweli. Yaani ile kiteseka na kuumia juu yake unakosa raha na kumsumbua sumbua juu ya unavyojiskia basi anaona raha kweli. Na anakua anakufanyia ujeuri kabisa! Usimruhusu mwanamke wako akajua yeye ndio kila kitu kwako utajuta.

Ila kama ukiwa hujali lolote basi ndio atakuona wa maana ndio maana kuna uzi niliandika unasema " Mwanamke akikosa attention anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunafanya apatikane kirahisi"
 
Kenge mwezangu nimekuelewa na cha kujazia nyie makenge wazangu mnatakiwa muwe na vijumba vidogo maana bila ya kufanya hivyo mtakufa mapema,kenge nyie
 
Samsoni mzembe Sana,Adam ndio kabisaaaa. Mwanamke wa kunifanyia Mimi studentTeacher walichofanyiwa Adam na Samsoni hayupo na hatakuwepo. Nina nguvu ambazo zinawindwa kwa kutumia wanawake tena warembo lakini hola,ni miaka zaidi ya 15 sasa nazilinda kwa udi na uvumba. Mwanamke kujidanganya kutumia utamu wake kutaka kunipumbaza na kunipenyezea agenda zake nyeusi hilo kwangu hata Shetani anajua wazi limebuma!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
15 years hujanwaga shawaha au asee Kama ni kweli ni pm unishauri asee duuh mi namwaga daily mkuu sijui ni umri au ni nn maana hivi vikijoleo bana
 
Walao nimepata mawili matatu, maana kama kuteseka kisaikolojia na hawa wenzetu naweza kua miongoni mwa wengi, nashukuru uzi huu kidogo umenipa tumaini 2023 nitakua na fikra nyingine dhidi ya wanawake.

Asante sana mleta mada
Tatizo ulioa muiraq
Komaa nae tuu weupe ulikuchanganya
Ulioa sura mzee baba pole
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu kweli. Yaani ile kiteseka na kuumia juu yake unakosa raha na kumsumbua sumbua juu ya unavyojiskia basi anaona raha kweli. Na anakua anakufanyia ujeuri kabisa! Usimruhusu mwanamke wako akajua yeye ndio kila kitu kwako utajuta.

Ila kama ukiwa hujali lolote basi ndio atakuona wa maana ndio maana kuna uzi niliandika unasema " Mwanamke akikosa attention anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunafanya apatikane kirahisi"
Hapana. Ukimpenda mwanamke ingia miguu yote miwili ili uenjoy ladha halisi ya mapenzi kama akizingua kwa kuudharau Upendo wako kwake toka miguu yote miwili chap kwa haraka kama ulivyoingia.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Ambacho akijitambui ni hiki kichwa chetu chenye kipara kisichoota nywele tunachokificha ila hiki chenye nywele kinajitambua
 
By default wanadamu tulipoumbwa kila jinsia ilipewa majukumu yake, jukumu la viumbe wenye jinsia ya kiume (wanaume) wameumbwa kutawala jinisia ya kike (kike) katika kila Nyanja na jinsia ya kike imeumbwa kutawaliwa na jinisa me.
Vipi Rombo na nchi jirani wanakotandikwa bakora na wake zao
 
Sure, hata kama ingekuwa ni wewe kwa ile rangi usingepindua!
Ila nyuma ya rangi bwana!!
Pole mkuu
Ila sema ukweli kaka hujawahi kusikia habari za hilo kabila kabla hujaoa?

Au ulijizima data kuwa ipo siku atabadilika??
 
Samsoni mzembe Sana,Adam ndio kabisaaaa. Mwanamke wa kunifanyia Mimi studentTeacher walichofanyiwa Adam na Samsoni hayupo na hatakuwepo. Nina nguvu ambazo zinawindwa kwa kutumia wanawake tena warembo lakini hola,ni miaka zaidi ya 15 sasa nazilinda kwa udi na uvumba. Mwanamke kujidanganya kutumia utamu wake kutaka kunipumbaza na kunipenyezea agenda zake nyeusi hilo kwangu hata Shetani anajua wazi limebuma!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
unajishaua tu
 
Mungu alimuumba Adam kwa mfano wake, baadaye Mungu ndio akamuumba Eva kutoka ubavuni mwa Adam.

Ukitaka world population IPO viganjani mwako unatumia internet kwa faida gani kama vitu vidogo kama hivi huvijui?

Hata sensa ya Tanzania ina prove hili Tanganyika na Zanzibar kote idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume.

Halafu nachukizwa sana ninapoona mtu anashindwa kutumia akili wakati Mungu alikupa ubongo wa kazi gani?
Bando la kuangalizia x
 
Kuteseka na mapenzi kwa wanaume ukweli tatizo ni Hela, Mwanaume unapaswa kuangalia kipato chako na aina ya mwanamke unaye muhitaji SI una Kaa IST chako unaanza kushindania pisi Kali mjini utakufa na stress.
Wanawake wa Sasa wanaongozwa na tamaa kuliko mapenzi!
 
Back
Top Bottom