Mwanaume jipe kipaumbele wewe mwenyewe

Mwanaume unatakiwa ujipendeje ivo hadi usione umuhimu wa kuwa na mahusiano na mwanamke.
Mwishoe upende mwanaume mwenzako muwe mashoga sasa.
 
Kweli, unaangalia na mazingira. Kama mkeo hakutunzi wakati huu hawezi kukutunza uzeeni hivyo jiongeze mapema ila kama mkeo anakutunza wakati huu mtuze yeye na wanao. Kuna wanaume mke akiondoka hata siku mbili tu anachakaa.
 
Kweli, unaangalia na mazingira. Kama mkeo hakutunzi wakati huu hawezi kukutunza uzeeni hivyo jiongeze mapema ila kama mkeo anakutunza wakati huu mtuze yeye na wanao. Kuna wanaume mke akiondoka hata siku mbili tu anachakaa.
Bila kujali mkeo anakunza au hakutunzi, mwanaume usisahau kujiwekea akiba ya mali kwa ajiri ya nyakati zako za uzee
 
Mimi nipo hapa kwa ajiri ya kuwasemea wanaume wenzangu, kama wewe unataka kuwasemea wanawake wenzako kaanzishe uzi wako, jf ni jukwaa huru muhimu tu usivunje sheria zake.
Nisaidie nipate namba za Jadda, huyu shangazi anaonekana ni mtamu balaa, lakini amejaa ufeminist
 
Mimi nipo hapa kwa ajiri ya kuwasemea wanaume wenzangu, kama wewe unataka kuwasemea wanawake wenzako kaanzishe uzi wako, jf ni jukwaa huru muhimu tu usivunje sheria zake.
Wewe ni nani mpaka unipangie cha kuandika humu, ukishaweka uzi hapa jukwaani unakuwa siyo mali yako tena bali ni mali ya jf, ni sheria gani ya jf niliyovunja kwani nimetumia lugha za matusi au nimetoka nje ya mada
 
Siku zote mkishapigwaga kwenye mshono, huwa mnakimbilia kuwaita watu majina ambayo mnadhani yatawauma ili mjifariji masikini, hili nalo ni moja ya matatizo ya akili ambayo yanaisumbua sana hii nchi
Ulipotea sana ๐Ÿ˜
 
Ujumbe kutoka kwa 50 cent.

"When a woman is broke , 99% of men will do everything to change her status . When a man is broke , 99% of women will walk out on him , dear young kings , be safe out there . Donโ€™t go broke โ€œ

โ€œThere are women who will be with you even if you are broke , have no dollars or a home . That woman is your mother or sister . Most women these days walk out of your life the moment you got nothing"
 
Kwangu kujipa kipaumbele ni pamoja na kuiloweka , na ninapo iloweka lazima nipajali ili pazidi kunivutia zaidi, ni katika hali ya kujipenda zaidi mkuu๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Aikooo.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Changes are real. Naona mtu flani anawekewa Sukari kwenye lips. Somo la jinsi ya kuiomba umesafisha cheti min ake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ