Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Ndoa ni kujitoa muanga haina huruma kwa mwanaume.
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Endapo kama Wanandoa tarajali tayari kila mmoja anamiliki Mali zake, ni muhimu sana kuzisajili mali hizo kabla watu hao hawajaamua kuingia au kufunga Ndoa ili kuepusha migogoro ya ndoa na ya umiliki wa mali siku za baadaye endapo kama ndoa hiyo itaingia kwenye mgogoro. Sina uhakika kama Prenuptial Contracts zinatambulika kisheria hapa nchini Tz.
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Mi Sina mpango maishani mwangu kupeleka jambo mahakamani la mahusiano!!

Najua sitoshinda!!

Kama amezaa namwambia Baki hapa Lea vijana Hawa Mungunalitupa!zile frem pale plus vyumba vile uwe unachukua kodi za kulelea vijana!halafu ishi tu maisha yako nanmimi niishi yangu kama Kuna changamoto tutashirikishana TU!!

Hawezi kukusumbua kabisa!!ukitaka ligi inakula kwako!!

Wanawake ni so possessive wa vitu,wabinafsi na hawapendi kunshare na mtu!

Ukiishi na mwanamke ukazaa name watoto usihesabu una Mali tena za kujivunia unabaki kuwa mshauri tu,Mali zako ni pesa za mfukoni ficha hizo Kwa benki au laini ya simu!!

Tangu nijifunze hilo sipati shida kabisa!

Kinachonisumbua ni vifo vya wanaume watenda dhambi kuanzia mwaka huu 2024 Sasa sijui nashindaje jaribu lile aiseh!!!

Usijisumbue na hayo!!
 
IMG-20240331-WA0008.jpg
 
Naona vijana mshaanza kutishana tena....😂
Mbona minaona kama ndoa ni kitu chema tu, labda kama kuna sehem ulikosea but haikufanyi usivunje ndoa mkuu.
Ukiona mmeshindwana basi vunja ndia kisha oa tena, maana ndoa sio kaburi
 
Sema wanaume kwa kweli jasho letu linachukiliwa na hawa viumbe bure kabisa.Kuna mwamba kapiga mishe kajinyima sana mpaka kuna kipindi wana tunamaindi jamaa Akaja akajenga nyumba zake tatu za maana akaona sasa kukimbizana migodini basi akafungua na duka la vifaa vya ujenzi la jumla la lejaleja dah!!!Hakumaliza hata mwezi alipata ajali mbaya sana yaan mwanamke baada ya msiba kaweka ndugu zake kwenye nyumba za mme wake watu bado tuna machungu tunasikia Dukani anauxa na jamaa yake mmoja inaumiza sana mali za jamaa ndo basi tena maana mwanamke kakata kabisa mawasiliano na ndugu wa mwanaume maana nao wamekaa kimya kwa tukio la ndugu yao kufa ghafla.
 
Sema wanaume kwa kweli jasho letu linachukiliwa na hawa viumbe bure kabisa.Kuna mwamba kapiga mishe kajinyima sana mpaka kuna kipindi wana tunamaindi jamaa Akaja akajenga nyumba zake tatu za maana akaona sasa kukimbizana migodini basi akafungua na duka la vifaa vya ujenzi la jumla la lejaleja dah!!!Hakumaliza hata mwezi alipata ajali mbaya sana yaan mwanamke baada ya msiba kaweka ndugu zake kwenye nyumba za mme wake watu bado tuna machungu tunasikia Dukani anauxa na jamaa yake mmoja inaumiza sana mali za jamaa ndo basi tena maana mwanamke kakata kabisa mawasiliano na ndugu wa mwanaume maana nao wamekaa kimya kwa tukio la ndugu yao kufa ghafla.
Huenda kifo cha huyo jamaa kimetokana na 'the Russian Game of Roulette.'
 
Sema wanaume kwa kweli jasho letu linachukiliwa na hawa viumbe bure kabisa.Kuna mwamba kapiga mishe kajinyima sana mpaka kuna kipindi wana tunamaindi jamaa Akaja akajenga nyumba zake tatu za maana akaona sasa kukimbizana migodini basi akafungua na duka la vifaa vya ujenzi la jumla la lejaleja dah!!!Hakumaliza hata mwezi alipata ajali mbaya sana yaan mwanamke baada ya msiba kaweka ndugu zake kwenye nyumba za mme wake watu bado tuna machungu tunasikia Dukani anauxa na jamaa yake mmoja inaumiza sana mali za jamaa ndo basi tena maana mwanamke kakata kabisa mawasiliano na ndugu wa mwanaume maana nao wamekaa kimya kwa tukio la ndugu yao kufa ghafla.
Sasa hapo tatizo liko wapi? Si mkewe ulitaka arithi nani hizo mali??
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
nishachemka
 
Siku hizi wanandoa hawaaminiani kabisa .... mwanamke anaingiza mguu mmoja ndani mguu mwingine nje kwenye ndoa ....

Kiufupi anaolewa huku psychologically kashajiandaa kuachika [emoji23]
 
Nilikuwa namwambia rafiki yangu juzi,idadi kubwa ya wanaume kufa huchangiwa na Wanawake na sio magonjwa.
 
Sasa mkizikataa ndoa mnataka wanawake waoane wenyewe au na nyie wanaume muoane wenyewe! Na wakifanya/mkifanya hivyo mtarudi hapa na kuanza kulaani vitendo vyao. Narejea tena kusema "Ndoa ni kwa wanaume na sio watoto wa kiume"
Wanaume huwa tunajitoa muhanga huku tukimtanguliza Mungu atusaidie sana, kwa akili/uwezo wa kibinadamu hakuna mtu anaeiweza ndoa.
 
Back
Top Bottom