Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Moja kwa moja kwenye mada
Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.
Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.
Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.
Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?
Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?
NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.
Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.
Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.
Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?
Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?
NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja