Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Sasa mkizikataa ndoa mnataka wanawake waoane wenyewe au na nyie wanaume muoane wenyewe! Na wakifanya/mkifanya hivyo mtarudi hapa na kuanza kulaani vitendo vyao. Narejea tena kusema "Ndoa ni kwa wanaume na sio watoto wa kiume"
Wanaume huwa tunajitoa muhanga huku tukimtanguliza Mungu atusaidie sana, kwa akili/uwezo wa kibinadamu hakuna mtu anaeiweza ndoa.
Kifupi tu ni kwamba mfumo jike umesha kumeza kisawasawa kilicho baki kam unawatoto wa kiume hakikisha hawawezi kama baba yao
 
Endapo kama Wanandoa tarajali tayari kila mmoja anamiliki Mali zake, ni muhimu sana kuzisajili mali hizo kabla watu hao hawajaamua kuingia au kufunga Ndoa ili kuepusha migogoro ya ndoa na ya umiliki wa mali siku za baadaye endapo kama ndoa hiyo itaingia kwenye mgogoro. Sina uhakika kama Prenuptial Contracts zinatambulika kisheria hapa nchini Tz.
unaweza kuandikisha hizo mali zako halafu huyo mwbnamke wako akatumia njia fupi yaani akakuua halafu yeye ndio akazimiliki mali zako kwa asilimia miamoja. Na hili nalo utalikwepaje? Kwasababu wakati mwanaume anahangaika kuhakikisha familia inapata mahitaji. Muda huo mwanamke huhangaika ni jinsi gani atamteka mume wake yaani kwa kumtawala nakuchonganisha na watoto ndugu marafiki kisha kumletea mikosi maishani ikiwemo kumwendea kwa waganga kuzini njee! Na kumnyima mbunye kisha kumharibu kisaikolojia kwa dharau za hapa na pale. Kiburi, kununa bila sababu nk.
 
Ni upumbavu TU msingi ishi maisha Yako usiweke tumaini lako kwa mwenza au watoto chochote kinaweza badilika kama umejiandaa haikupi shida.
Unakuta pumbavu linajiua/ ua kisa mapenzi ,au kwenda jela kisa mapenzi au kulialia eti watoto hawanisaidiii.
 
KESI hazifanani pia matukio hayafanani unapotezaje mda kukaa unaenda kusikiliza kesi za ndoa hata kama hauna kazi ya kufanya yote ni kuweka tumaini kwa mtu
 
Wanawake wengi wanapata mali za bwerere,mie siwezi kuruhusu mtu ale mali yangu kabla hajala lazima jambo lifanyike
si anakufanyia mipango ya kimya kimya bila wewe kujua kisha anakuua ghafla halafu anamiliki. Wakati huo wewe uko kaburini. Halafu anaolewa ndani ya miezi mitatu baada kifo chako!
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Wewe uligundua nini baada ya kufanya hayo unayotushauri tuyafanye? Sio wote tuna muda wa kwenda kushinda siku nzima uko mahakamani
 
unaweza kuandikisha hizo mali zako halafu huyo mwbnamke wako akatumia njia fupi yaani akakuua halafu yeye ndio akazimiliki mali zako kwa asilimia miamoja. Na hili nalo utalikwepaje? Kwasababu wakati mwanaume anahangaika kuhakikisha familia inapata mahitaji. Muda huo mwanamke huhangaika ni jinsi gani atamteka mume wake yaani kwa kumtawala nakuchonganisha na watoto ndugu marafiki kisha kumletea mikosi maishani ikiwemo kumwendea kwa waganga kuzini njee! Na kumnyima mbunye kisha kumharibu kisaikolojia kwa dharau za hapa na pale. Kiburi, kununa bila sababu nk.
Je, unafahamu kitu kinachoitwa 'Pre-marrital Contract' ??????
Ni suala la kuamua wewe mwenyewe juu ya namna ya nami hasa anayetakiwa kuwa mmiliki au mrithi wa Mali zako hata baada ya wewe mwenyewe kufariki dunia. Hata mwenza wako wa ndoa anaweza kukosa haki zote za kumiliki Mali zako ulizochuma wewe mwenyewe peke yako baada ya wewe kufa, ni suala la kupanga, kuamua na kukubaliana tu kati ya wenza kabla ya kuingia au kufunga ndoa yenu. 'Kupanga ni Kuchagua,' Uamuzi ni wako.
 
Cha msingi fanya Hakimi principle tu, akijigeuza unamuacha apinduke na body chassis unabaki nayo.
 
Siku hizi wanandoa hawaaminiani kabisa .... mwanamke anaingiza mguu mmoja ndani mguu mwingine nje kwenye ndoa ....

Kiufupi anaolewa huku psychologically kashajiandaa kuachika [emoji23]
Kuachika na kichukua mali.
 
Ila binadamu, mwanaume hata akiugua hapo kitandani miaka 10 siku akidanja lazma tu "mke kamuua" mnachekesha nyie
Wanawake huwa wanahusikankwa kiasi kifupi katika Vigo vya Waume zao. Kuna Jamaa yangu alikuja Zanzibar akawa anapambana sana na biashara za vyakula akawa ana supply mpaka kwenye mahotel akakutana na PISI ya kule Kasikazini ilikuwa inafanywa kazi hotel akaamua kuishi nayo na Jamaa mambo yalimuendea vizuri alifungua maduka matatu pale Stone town. Na hapa Dar akanunua kiwanja na anajenga nyumba ya kiwango. Jamaa akaanza na safari za China, Thailand na Turkey alikuwa anaenda kuchukua mizigo.
Siandiki yote Jamaa alikufa akiwa amekaza sebureni na alikuwa tegemezi kwa Wazee wale Kijijini walifanya utafiti yule Mwanamke ndiye alihusika.
Mwanamke Sasa hivi kaolewa na Jamaa mwingine ni marufuku sana na hela anayo ya kutosha.
Kuweni na huruma Wanawake Dunia hii tunapita
 
Wanawake huwa wanahusikankwa kiasi kifupi katika Vigo vya Waume zao. Kuna Jamaa yangu alikuja Zanzibar akawa anapambana sana na biashara za vyakula akawa ana supply mpaka kwenye mahotel akakutana na PISI ya kule Kasikazini ilikuwa inafanywa kazi hotel akaamua kuishi nayo na Jamaa mambo yalimuendea vizuri alifungua maduka matatu pale Stone town. Na hapa Dar akanunua kiwanja na anajenga nyumba ya kiwango. Jamaa akaanza na safari za China, Thailand na Turkey alikuwa anaenda kuchukua mizigo.
Siandiki yote Jamaa alikufa akiwa amekaza sebureni na alikuwa tegemezi kwa Wazee wale Kijijini walifanya utafiti yule Mwanamke ndiye alihusika.
Mwanamke Sasa hivi kaolewa na Jamaa mwingine ni marufuku sana na hela anayo ya kutosha.
Kuweni na huruma Wanawake Dunia hii tunapita
Vifo vya wanaume lazma mke ahusishwe......mna mambo
 
Moja kwa moja kwenye mada


Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.

Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.

Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.

Ukibahatika zaidi nenda kamuulize mwanaume aliopo kwenye hiyo kesi vipi mke wake mwanzoni alikuaje.......? Na sura alionayo leo mke wake ndio hiohio alikua nayo siku wanafunga ndoa.......?

Halafu kama huyo mwanaume analia muulize analilia nini......?

NB
Mfumo jike ni mkubwa na hatari kaa kijanja
Huwezi pata mke sahihi kwa njia hiyo,
 
Back
Top Bottom